Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,631
- 20,966
HAKIKA NI LA HOVYO KWELI PIA NI MATUMIZI MABAYA YA FEDHA ZA UMMAKwa mfano hilo la akina Mdee ni la ovyo sanA
HAKIKA NI LA HOVYO KWELI PIA NI MATUMIZI MABAYA YA FEDHA ZA UMMAKwa mfano hilo la akina Mdee ni la ovyo sanA
Mama akitaka kufanikiwa afanye kaz na watu wa calibre ya Prof Assad,chale kime, khamis kagasheki and the like !!! Aaachane na haya manyika eti mwigulu
Kasome katiba ya Jamhuri ya Muungano inshort ukishatumikia cheo cha CAG na ukastaafu hurusuwi tena kuwa mtumishi wa umma.
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2064053
Alistaafu liniKasome katiba ya Jamhuri ya Muungano inshort ukishatumikia cheo cha CAG na ukastaafu hurusuwi tena kuwa mtumishi wa umma.
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2064053
Kama ndivyo, kwani Assad alistaafu?Kasome katiba ya Jamhuri ya Muungano inshort ukishatumikia cheo cha CAG na ukastaafu hurusuwi tena kuwa mtumishi wa umma.
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2064053
Kwa nini asikuteue wewe
Kha!kha!, Kumbe??,Lkn kwa Bongo Rais si yupo juu ya Sheria?. Anaweza kumteua tena.Kasome katiba ya Jamhuri ya Muungano inshort ukishatumikia cheo cha CAG na ukastaafu hurusuwi tena kuwa mtumishi wa umma.
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2064053
Kumbe pale alitumia busara ni mnafiki tu.Alitumia busara unless hujui nguvu ya rais anapokuhoji maswali ya papo kwa papo tena ikulu mbele ya kamera.
Kuongoza hapa Tzn sio tuu taaluma inatakiwa ni pamoja na utamaduni wa jamii.Nakusalimu kwa jina la Tanganyika +Zanzibar
Tunapoelekea kuumaliza mwaka 2021 uliojaa kila aina ya misuko suko na maumivu..na kuukaribisha mwaka 2022..ambapo tunaamini nakutarajia yaliyo heri katika nyanja mbalimbali za kiuchumi..kijamii..kiafya na kisiasa.
Hivyo basi naombi kwako kama rais na kiongozi wetu ambaye unatamani hii nchi ipate mafanikio makubwa katika nyaja zote.
Ombi langu kwako ni kukuomba kwa nafasi yako mteue Prof Assad aliyekua CAG kuwa mbunge na kisha ikikupendeza zaidi awe waziri wa Fedha na Mipango.
Kwa maana ni mtu kwanza msomi wa ngazi kubwa ya kielimu katika masuala ya uchumi na fedha..pili ni mzalendo mwenye weredi..tatu na mtu mwenye msimamo anayesimamia principle na miongozo ya kazi...pamoja na hayo ameonyesha uwezo mkubwa sana pindi alipokua CAG kwa kutekereza majukumu yake ipasavyo..hadi baadhi ya wahuni kuanza kuchukia na kumletea figisu.
Nakuomba sana ili ufanikiwe katika kauli mbiu ya kazi iendelee fanya kazi na wanataaluma wenye uwezo..achana na wanasiasa ambao wengi wao huwazia zaidi chaguzi zianazofuata hivyo hufanya mambo sio kwa maslahi ya taifa bali kwa maslahi yao ili waweze kushinda chaguzi za mbele yao.
Nihayo tu kwa leo..naamini wazee wa vetting mtamfikishia mama hili na kumsadia katika hili ili tuweze kusonga mbele kiuchumi na kimaendeleo.
#MaendeleoHayanaChama View attachment 2063951
Inauma sana ( It pains)!!!!HAKIKA NI LA HOVYO KWELI PIA NI MATUMIZI MABAYA YA FEDHA ZA UMMA
MkuuHuyu hafai. Hata Marope hakufaa kuwa kwenye cabinet. Na Nepa naye hawezi kuwa kwenye cabinet.
Watu wasioweza kumvumilia kiongozi mkuu wa nchi ni hatari sana.
Lakini pia kuteuliwa kwao kunaleta funzo baya hata kwa wengine. Kwamba unaweza ukatunisha misuli kwa viongozi wa juu wa nchi, na bado serikali ikakuona unafaa?
Ni sawa na mama kushabikia mtoto anayeoonyesha ukorofi wazi wazi kwa baba, hata kama wazazi wana ugomvi.
Mtu anayeweza kuonyesha unafiki na ukorofi wazi wazi kwa mkuu A wa nchi, bado anaweza akamgeuka mkuu B wa nchi.
Sio watu wa kuwaamini kwenye serikali.
Kwenye utumishi wa umma na uongozi wa umma hata kama boss ni kilaza, basi heshimu hicho kiti (cheo chake).
Watu wanaonyesha dharau ya wazi wazi kwa cheo katika public leadership hawafai hata milele kurudi kwenye public leadership position.
Assad ni mjuaji(arrogant).Mkuu
Hapo nadhani unashindwa kutofautisha mtu kuwa na "Confidence " na hali ya kuwa na "Arrogance ". Nisameheni maneno hayo sina kiswahili chake kizuri.
Prof Assad alikuwa na Confidence ya anacho kijua, kifanya. Japokuwa walionekana mkorofi hasa kwa wale miungu watu.
2. Arrogance ni pale unapokuwa jeuri, dharau na wakati mwingine kuwa mjuaji unayejiona unajua kila kitu hali hujui.
Pale unapo lewa madaraka na kuwajibu ovyo k.m " Asiyetaka aende Burundi " hiyo ni dharau na arrogance ya hali ya juu.
Dont blame you, blame your lack of skillsKiburi sio akili. Usiendekeze.