Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 34,562
- 55,400
Umeanza ujinga wako?Nukuu maneno tuyasome.. au lete aliyoandika.
Makonda oyeee
Kazi iendelee
Umeanza ujinga wako?Nukuu maneno tuyasome.. au lete aliyoandika.
Makonda oyeee
Kazi iendelee
Kumtetea Huyo Fala unatakiwa kuwa na nati ikiyolegea kichwani.Huwezi kutumia madaraka yako vizuri kama hujui kwanini umewekwa hapo.
Makonda ni kiongozi anayejielewa hajui unafiki.
Anasema jambo kwaajili ya kusaidia jamii yake. Yupo kwaajili ya jamii na ndio maana anapendwa na watu.
Ukitaka nawewe kupendwa jitoe fanya mambo kwaajili ya jamii yako.
Huwezi kujitoa endelea kula hela za serikali kwa urefu wa kamba lakini swala kupendwa na watu utalisikia kwenye bomba.
Hakuna kitu cha bure hapa duniani. Ukitaka kupendwa lazima ujitoe kwa watu wako na kuamua kuwatumikia wao watakupenda tu. Unataka upendwe huku unakula pesa zote peke yako wananchi wako wanateseka. Hilo sahau.
Zaidi utaendelea kujawa na wivu kila ukiomwona makonda kashika mic mwisho pressure hiyo hapo.
Ndio
Nawe kuna muda unakuwaga kajinga sana.Huwezi kutumia madaraka yako vizuri kama hujui kwanini umewekwa hapo.
Makonda ni kiongozi anayejielewa hajui unafiki.
Anasema jambo kwaajili ya kusaidia jamii yake. Yupo kwaajili ya jamii na ndio maana anapendwa na watu.
Ukitaka nawewe kupendwa jitoe fanya mambo kwaajili ya jamii yako.
Huwezi kujitoa endelea kula hela za serikali kwa urefu wa kamba lakini swala kupendwa na watu utalisikia kwenye bomba.
Hakuna kitu cha bure hapa duniani. Ukitaka kupendwa lazima ujitoe kwa watu wako na kuamua kuwatumikia wao watakupenda tu. Unataka upendwe huku unakula pesa zote peke yako wananchi wako wanateseka. Hilo sahau.
Zaidi utaendelea kujawa na wivu kila ukiomwona makonda kashika mic mwisho pressure hiyo hapo.
Ndio
Kinachoonekana Makonda ni kama vile maji. Usipoyanywa utayaoga.Today JF is all about Makonda makonda
Makonda makonda
Duuh
Nilipoona umeandika neno lambda badala ya labda nishajua mkoa unaotokeaNi kweli unampenda Sana Makonda, na hii huwa inatokea mtu fulani kumpenda mtu fulani automatic, inatokana na ku share spiritual rim, njozi na maono ya pamoja.
Ni kweli Makonda kwako ni kijana mtiifu na mnyenyekevu amekuwa hivyo tangu akiwa Mkuu wa Mkoa, alipotoka, alipokuwa mwenezi na sasa Mkuu wa Mkoa Arusha
Kwako binafsi hakuna baya lolote alilofanya na sababu unampenda hata akifanya kosa kwako huwa ni kosa dogo la utoto ambapo unaamini atajirekebisha
Madhara ya tabia za Makonda na consistence ya tabia hizo
1. Hulka ya kupenda ukuu, cheo na sifa:
a) ilianza kuonekana alipokuwa Mkuu wa Mkoa alijilinganisha na mawaziri na kuonekana mawaziri hawana lolote dhidi yake Mkuu wa Mkoa, kuna wakati alikua na msafara mkubwa kuliko waziri Mkuu na Makamu wa Rais.
Hulka hio ameendelea nayo alipokuwa mwenezi, alimdharau RC Chalamila mbele ya Kadamnasi, akamwagiza Waziri Mkuu Majaliwa kama yeye ndio Mkuu wa Chama, akifanya hivyo kwa mawaziri na ikapelekea baadhi yao kutokubaliana nae yupo Bashe ambaye alitoka hadharani kuonesha kutokukubaliana na maagizo ya Makonda swali je Cheo Cha katibu Mwenezi ni Command kwa Waziri Mkuu na Mawaziri .. Hilo nakuachia wewe Kadinali Pengo ujibu.
B. Akajipa msafara wa magari na kuwa yeye ndiye mtu anayewindwa Sana auwawe mara afanye ziara mkoani alale Dar kwa Maaskofu.
C. Akagoma kufuata maelekezo ya Katibu Mkuu Comred Nchimbi, Kadinali wewe unajua Askofu Mkuu wa Jimbo ndiyo mkuu wako wa kazi kama wewe ni padri au askofu msaidizi sharti ufuate maelekezo yake, kazi yako inakuwa kupeleka ushauri na mapendekezo na kuomba kibali cha utekelezaji. Makonda hakutaka kufuata uratibu wa kawaida kuwa ndani ya Chama Yuko chini ya Katibu Mkuu, Bali yeye alitaka ndio asikulizwe na aongoze, kwa kuwa hakuwa cooperative hii kitu imekisumbua Sana Chama ndipo Rais kaona isiwe tabu ampe ukuu wa Mkoa kwa sababu ni dhahili anagombana na kila mtu ndani ya Chama.
d. Imetokea tena alipofika Arusha, kujikusanyia Msafara wa Magari, Gari yake ya RC tena yenye bendera kupakia watoto wake (watu wa protocol wanaelewa zaidi je bendera na plate namba yenye cheo fulani inaweza kutumika ndivyo sivyo..?)
haya Leo tena kutuhumu mawaziri kuwa wanamtukana Rais hili jambo limefedhehesha Baraza la mawaziri, nchi na vyombo kwa ujumla, je ni kuwajulisha mawaziri kuwa hawezi kuwatii sababu kimsingi mkuu wa mkoa si mkubwa kwa Waziri ndio mana yuko chini ya Tamisemi. Kwan kauli hio Makonda kajitwalia uwaziri Mkuu wake na kuonesha baadhi ya mawaziri hawana hadhi ya kumtuma kwa kile tuu yeye anawaona wanamtusi Rais wa JMT
Hii tabia yake ya Ufitini, uchonganishi, kupenda madaraka, uzushi na uongo bado kwako Kadinali unaonaje ni makosa madogo....?
Vipi kwa Baraza la mawaziri wanaichukuliaje na wanamchukuliaje kijana wako kipenzi?
Viongozi wanaishi kwa kuheshimiana hata kama hawajakubaliana, mfano Kinana na Nchimbi, wapo washindanu January na Mwigulu wote hao si kitu kimoja lakini wanaishi kwa kuheshimiana bila kuvuka mipaka
Uungwana ni kitendo
Kama Kadinali utamwacha Makonda na tabia hizi lambda kwako ndio sifa za uongozi, Sisi tunasema Yetu Macho
Anapigia Mbuzi GitaPengo aliyeukataa waraka wa Katoliki na kuwasaliti wenzake unadhani atakusikiliza wewe?
Ngoja kwanza Pengo alikuwepo?Nilikuwa najiuliza huyu Mzee na umri wake wote, kafuata nini Arusha?
Akapimwe. Maneno yale ni mazito mnoNi kweli unampenda Sana Makonda, na hii huwa inatokea mtu fulani kumpenda mtu fulani automatic, inatokana na ku share spiritual rim, njozi na maono ya pamoja.
Ni kweli Makonda kwako ni kijana mtiifu na mnyenyekevu amekuwa hivyo tangu akiwa Mkuu wa Mkoa, alipotoka, alipokuwa mwenezi na sasa Mkuu wa Mkoa Arusha
Kwako binafsi hakuna baya lolote alilofanya na sababu unampenda hata akifanya kosa kwako huwa ni kosa dogo la utoto ambapo unaamini atajirekebisha
Madhara ya tabia za Makonda na consistence ya tabia hizo
1. Hulka ya kupenda ukuu, cheo na sifa:
a) ilianza kuonekana alipokuwa Mkuu wa Mkoa alijilinganisha na mawaziri na kuonekana mawaziri hawana lolote dhidi yake Mkuu wa Mkoa, kuna wakati alikua na msafara mkubwa kuliko waziri Mkuu na Makamu wa Rais.
Hulka hio ameendelea nayo alipokuwa mwenezi, alimdharau RC Chalamila mbele ya Kadamnasi, akamwagiza Waziri Mkuu Majaliwa kama yeye ndio Mkuu wa Chama, akifanya hivyo kwa mawaziri na ikapelekea baadhi yao kutokubaliana nae yupo Bashe ambaye alitoka hadharani kuonesha kutokukubaliana na maagizo ya Makonda swali je Cheo Cha katibu Mwenezi ni Command kwa Waziri Mkuu na Mawaziri .. Hilo nakuachia wewe Kadinali Pengo ujibu.
B. Akajipa msafara wa magari na kuwa yeye ndiye mtu anayewindwa Sana auwawe mara afanye ziara mkoani alale Dar kwa Maaskofu.
C. Akagoma kufuata maelekezo ya Katibu Mkuu Comred Nchimbi, Kadinali wewe unajua Askofu Mkuu wa Jimbo ndiyo mkuu wako wa kazi kama wewe ni padri au askofu msaidizi sharti ufuate maelekezo yake, kazi yako inakuwa kupeleka ushauri na mapendekezo na kuomba kibali cha utekelezaji. Makonda hakutaka kufuata uratibu wa kawaida kuwa ndani ya Chama Yuko chini ya Katibu Mkuu, Bali yeye alitaka ndio asikulizwe na aongoze, kwa kuwa hakuwa cooperative hii kitu imekisumbua Sana Chama ndipo Rais kaona isiwe tabu ampe ukuu wa Mkoa kwa sababu ni dhahili anagombana na kila mtu ndani ya Chama.
d. Imetokea tena alipofika Arusha, kujikusanyia Msafara wa Magari, Gari yake ya RC tena yenye bendera kupakia watoto wake (watu wa protocol wanaelewa zaidi je bendera na plate namba yenye cheo fulani inaweza kutumika ndivyo sivyo..?)
haya Leo tena kutuhumu mawaziri kuwa wanamtukana Rais hili jambo limefedhehesha Baraza la mawaziri, nchi na vyombo kwa ujumla, je ni kuwajulisha mawaziri kuwa hawezi kuwatii sababu kimsingi mkuu wa mkoa si mkubwa kwa Waziri ndio mana yuko chini ya Tamisemi. Kwan kauli hio Makonda kajitwalia uwaziri Mkuu wake na kuonesha baadhi ya mawaziri hawana hadhi ya kumtuma kwa kile tuu yeye anawaona wanamtusi Rais wa JMT
Hii tabia yake ya Ufitini, uchonganishi, kupenda madaraka, uzushi na uongo bado kwako Kadinali unaonaje ni makosa madogo....?
Vipi kwa Baraza la mawaziri wanaichukuliaje na wanamchukuliaje kijana wako kipenzi?
Viongozi wanaishi kwa kuheshimiana hata kama hawajakubaliana, mfano Kinana na Nchimbi, wapo washindanu January na Mwigulu wote hao si kitu kimoja lakini wanaishi kwa kuheshimiana bila kuvuka mipaka
Uungwana ni kitendo
Kama Kadinali utamwacha Makonda na tabia hizi lambda kwako ndio sifa za uongozi, Sisi tunasema Yetu Macho
Wameshiba hao.....sisi mfumuko wa bei inatutesa.Mama Samia, huyu alishasema utii wake ni kwa genge la wale jamaa, anachofanya ni kudhoofisha serikali yako na chama, ambavyo vilikiwa imara kwa muda mrefu kabla ya kumuingiza yeye.
Kwa kuwa ni jini umelitoa kwenye chupa, angalia jinsi ya kulimaliza.
Kwenye chama kuna watu hawakutaka upuuzi wake, ametoka, sasa yuko kwako, kaja kukubomoa
Alilalamika lini?Nyie ndio mnataka kuleta fitina
Mbona hata Samia huwa analalamikaga sana Kuna watu wanampiga vita ndani ya CCM
(hapo vipi)
Acheni uchochezi
Alichokisema makonda ni sahihi
Askofu wa Jimbo Fulani alivimba miguu anashindwa kutembea kazunguka mahospitali wapi hakuna kitu akaambiwa weweee uaskofu ni ajira jali maisha yako akaenda Kwa mganga alitolewa midude ya ajabu ajabu na akaambiwa mitego iliyopelekea haya IPO madhabahuni kanisa kuu la Jimbo unakosalisha wakaenda napo ng'oa Kila kitu nikasema du hatari askofu akapona alipouliza sababu akaambiwa shida ni hiyo nafasi kuna mtu alikuwa anaitaka, sasa mtu mwenyewe aliyefanya hayo ni ndugu mmoja mtiifu Kwa askofu hakuna Mfano chezea Dunia weyeHayo ni maneno ya mtaani tuu
Mzee ni mtumishi wa Mungu
Uongo mtupuAskofu wa Jimbo Fulani alivimba miguu anashindwa kutembea kazunguka mahospitali wapi hakuna kitu akaambiwa weweee uaskofu ni ajira jali maisha yako akaenda Kwa mganga alitolewa midude ya ajabu ajabu na akaambiwa mitego iliyopelekea haya IPO madhabahuni kanisa kuu la Jimbo unakosalisha wakaenda napo ng'oa Kila kitu nikasema du hatari askofu akapona alipouliza sababu akaambiwa shida ni hiyo nafasi kuna mtu alikuwa anaitaka, sasa mtu mwenyewe aliyefanya hayo ni ndugu mmoja mtiifu Kwa askofu hakuna Mfano chezea Dunia weye
Should we we wait to hear another leakage of recorded voices? Or even short videos?in politics nothing happens out of mere coincidence, everythings are normally well planned, organized and executed in order to achieve, a certain political objectives 🐒
RC makonda statement is very significant politically speaking...
is it ex dentally or planned statement ?
who is the targeted individual within the government?
what is the objective of the statement politically?
is it a trap layed down for that targeted individual personal to respond and then kicked out of the government like what happened to former speaker of the National assembly?
is it ground for the next cabinet and government reshafle, as we are heading to serikali za mtaa elections soon at the end of the yr 2024🐒
let's wait and see 🐒
Pengo achana na zandiki Makonda la sivyo wewe sio rafiki wa wakatoliki.Ni kweli unampenda Sana Makonda, na hii huwa inatokea mtu fulani kumpenda mtu fulani automatic, inatokana na ku share spiritual rim, njozi na maono ya pamoja.
Ni kweli Makonda kwako ni kijana mtiifu na mnyenyekevu amekuwa hivyo tangu akiwa Mkuu wa Mkoa, alipotoka, alipokuwa mwenezi na sasa Mkuu wa Mkoa Arusha
Kwako binafsi hakuna baya lolote alilofanya na sababu unampenda hata akifanya kosa kwako huwa ni kosa dogo la utoto ambapo unaamini atajirekebisha
Madhara ya tabia za Makonda na consistence ya tabia hizo
1. Hulka ya kupenda ukuu, cheo na sifa:
a) ilianza kuonekana alipokuwa Mkuu wa Mkoa alijilinganisha na mawaziri na kuonekana mawaziri hawana lolote dhidi yake Mkuu wa Mkoa, kuna wakati alikua na msafara mkubwa kuliko waziri Mkuu na Makamu wa Rais.
Hulka hio ameendelea nayo alipokuwa mwenezi, alimdharau RC Chalamila mbele ya Kadamnasi, akamwagiza Waziri Mkuu Majaliwa kama yeye ndio Mkuu wa Chama, akifanya hivyo kwa mawaziri na ikapelekea baadhi yao kutokubaliana nae yupo Bashe ambaye alitoka hadharani kuonesha kutokukubaliana na maagizo ya Makonda swali je Cheo Cha katibu Mwenezi ni Command kwa Waziri Mkuu na Mawaziri .. Hilo nakuachia wewe Kadinali Pengo ujibu.
B. Akajipa msafara wa magari na kuwa yeye ndiye mtu anayewindwa Sana auwawe mara afanye ziara mkoani alale Dar kwa Maaskofu.
C. Akagoma kufuata maelekezo ya Katibu Mkuu Comred Nchimbi, Kadinali wewe unajua Askofu Mkuu wa Jimbo ndiyo mkuu wako wa kazi kama wewe ni padri au askofu msaidizi sharti ufuate maelekezo yake, kazi yako inakuwa kupeleka ushauri na mapendekezo na kuomba kibali cha utekelezaji. Makonda hakutaka kufuata uratibu wa kawaida kuwa ndani ya Chama Yuko chini ya Katibu Mkuu, Bali yeye alitaka ndio asikulizwe na aongoze, kwa kuwa hakuwa cooperative hii kitu imekisumbua Sana Chama ndipo Rais kaona isiwe tabu ampe ukuu wa Mkoa kwa sababu ni dhahili anagombana na kila mtu ndani ya Chama.
d. Imetokea tena alipofika Arusha, kujikusanyia Msafara wa Magari, Gari yake ya RC tena yenye bendera kupakia watoto wake (watu wa protocol wanaelewa zaidi je bendera na plate namba yenye cheo fulani inaweza kutumika ndivyo sivyo..?)
haya Leo tena kutuhumu mawaziri kuwa wanamtukana Rais hili jambo limefedhehesha Baraza la mawaziri, nchi na vyombo kwa ujumla, je ni kuwajulisha mawaziri kuwa hawezi kuwatii sababu kimsingi mkuu wa mkoa si mkubwa kwa Waziri ndio mana yuko chini ya Tamisemi. Kwan kauli hio Makonda kajitwalia uwaziri Mkuu wake na kuonesha baadhi ya mawaziri hawana hadhi ya kumtuma kwa kile tuu yeye anawaona wanamtusi Rais wa JMT
Hii tabia yake ya Ufitini, uchonganishi, kupenda madaraka, uzushi na uongo bado kwako Kadinali unaonaje ni makosa madogo....?
Vipi kwa Baraza la mawaziri wanaichukuliaje na wanamchukuliaje kijana wako kipenzi?
Viongozi wanaishi kwa kuheshimiana hata kama hawajakubaliana, mfano Kinana na Nchimbi, wapo washindanu January na Mwigulu wote hao si kitu kimoja lakini wanaishi kwa kuheshimiana bila kuvuka mipaka
Uungwana ni kitendo
Kama Kadinali utamwacha Makonda na tabia hizi lambda kwako ndio sifa za uongozi, Sisi tunasema Yetu Macho
Ila wewe kama sio mke wa makonda basi. Akipotea unapotea akirudi unarudiAnawagusa pale hamupendi...
Mtasaga meno kiaina ingine...
Makonda oyeeeeee... X3 😃😃😃
Kazi inendelee
Hawawezi kuongea kama Makonda kwa sababu wanajitambua, na kufahamu mipaka ya utendaji wao.Hivi wakuu wa mikoa wengine wanaweza kuongea kama Makonda anavyofanya?
Na wewe ni chawa ?Huwezi kutumia madaraka yako vizuri kama hujui kwanini umewekwa hapo.
Makonda ni kiongozi anayejielewa hajui unafiki.
Anasema jambo kwaajili ya kusaidia jamii yake. Yupo kwaajili ya jamii na ndio maana anapendwa na watu.
Ukitaka nawewe kupendwa jitoe fanya mambo kwaajili ya jamii yako.
Huwezi kujitoa endelea kula hela za serikali kwa urefu wa kamba lakini swala kupendwa na watu utalisikia kwenye bomba.
Hakuna kitu cha bure hapa duniani. Ukitaka kupendwa lazima ujitoe kwa watu wako na kuamua kuwatumikia wao watakupenda tu. Unataka upendwe huku unakula pesa zote peke yako wananchi wako wanateseka. Hilo sahau.
Zaidi utaendelea kujawa na wivu kila ukiomwona makonda kashika mic mwisho pressure hiyo hapo.
Ndio