Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,082
- 13,959
Mnasahau kauli ya mama kipindi cha kampeni.Risasi16 wapiiiii askari wa revolution party wana shabaha na akimiss anawajibishwa.
Kwani kuna lazima gani ya kutengeneza na kubeba "ZIGO" la kinyesi linalokupaka harufu kila uendako!mzigo wa kutoa "MAAMUZI SAHIHI'
kwa wakati sahihi.
Nitakupa mfano japo sijapendaa kuutoa huu mfano.
Unakumbuka ben saa nane alipokuwa anahoji elimu ya mtu fulani kilimpata nini?.
Unakumbuka lisu alivyokuwa anatoa vitisho kuwa tutashtakiwa MIGA kilimkuta nini?
Azory gwanda,mawazo n.k n.k.
Sijapenda kutoa hii mifano ila imebidi.
"NDO MAANA NASEMA HILO NI ZIGO"
Kama hizi kauli ndio mwanzo..., binafsi naona mwanzo huu sio mzuri.....
Any Man (Woman in this Case)..., Who has to Say am the King...., He is no true King....
Tywin Lannister
Utaumia na njaa bure siku 40, JPM alishamaliza kilichobaki ni unyapara mdogo mdogo tu na kukabiziwa mradi, sema mama akamilishe kazi za JPM na aanze project zake mpya
Kama hizi kauli ndio mwanzo..., binafsi naona mwanzo huu sio mzuri.....
Any Man (Woman in this Case)..., Who has to Say am the King...., He is no true King....
Tywin Lannister
Mama nina hakika kila jicho linamuangalia na kuna majicho aina mbili zuri na baya pia akitaka kufanya kazi vzr afukuze wote watu wa mzee kuanzia vyombo vya ulinzi na maamuzi kwani wengi walipo ni wafwasi wa mzee so itakapo onekana anaenda tofauti na mzee wataanza kuleta ukizani ktk kazi au majukumu
Bahati mbaya sana mama hana watu royal kwake coz haijawai kutokea makamu Tanzania akawa rais zaidi ya kustaafu na Boss wake ,so makamu inakuwa ngumu kutengeneza watu royal kwake zaidi ya kuambatana na watu royal wa Boss wake na kama watapatikana watu royal kwa mama itakuwa si royal kweli itakuw ni watu wanaojipendekeza tu aidha kupata vyeo au kuwa karibu na mama .
Huyu mama kwa imani yake sidhani kama anaweza kufanya mauaji ya Watanzania wanaopingana nae kama aliyoyafanya mtangulizi wake. Tusubiri
Hizi ni kauli za kutojiamini na hili ndio tatizo kubwa kwa sasa.
acha kutuletea upumbavu wa magufuli Pumbavuuu kabisa
kikwete
Wapo waliosimama kidete kupinga na ndiyo kuchelewesha kutangaza msiba. Libariki Jeshi la Nchi hii. Walitaka wasimike wa kwao. Nchi ya Katiba hii na utafuatwa mpaka mshike adabu mbadilishe. Na ninajua fika nguvu kubwa itakuwa kubadili katiba hasa kipengele la automatic kurithi Urais maana kimewachanganya mno safari hii. Kujichanganya wenye hila zao. Piga kazi mama tuko nyuma yako. Wewe ndiyo Rais sema hukutakiwa kusema hili leo mbele ya wageni. Ungekuja kulichomeka kwenye hotuba yako Bungeni. Ila hakuna tabu umeekeweka.
Hata wageni alichokiongea kinawahusu.Wasifikiri Tanzania ni kibonde
Na bado ....tutaelewana tu...kimetoka chuma ...kimeingia chama kingine...
Kwamba Tulia alambwe mboko kumi hadharani kwa kumuangalia rais kwa mazereu😀😀😀😀
Kuua hawezi,ila ataingoza kwa uthabiti na kwa staili yakeHuyu mama kwa imani yake sidhani kama anaweza kufanya mauaji ya Watanzania wanaopingana nae kama aliyoyafanya mtangulizi wake. Tusubiri
Kwani kuna lazima gani ya kutengeneza na kubeba "ZIGO" la kinyesi linalokupaka harufu kila uendako!
Unajitwisha zigo la hiari, utamlalamikia nani.
Labda sikumuelewa lakini aliwatumia hawa wawili figuratively...Polepole kila mtu anayefuatilia siasa za nchi hii anamjua. Huyo doroth gwajima tangu ateuliwa amekuwa ni mtu wa vituko na maigizo yasiyo na kichwa wala miguu, sijui bado anaendelea na nyungu
Asamehewe bure. Huyu nahisi alikuwa anaumwa si kwa kujikoholesha vile jana na bila barakoa. Maana baada ya msiba wa Likwelile alikuwa MIA kwa muda....Kwamba Tulia alambwe mboko kumi hadharani kwa kumuangalia rais kwa mazereu😀😀😀😀