Admin1988
JF-Expert Member
- Mar 30, 2017
- 1,603
- 1,835
- Thread starter
- #261
Hapo kwenye BUNGE kupiga kura ya MAONI hawata weza,Wakati wa kuteuliwa kuwa mgombea mwenza kwa mihula yote miwili walishangiria, walijielekeza kwenye ushabiki na kusahau katiba inasemaje, na mbaya zaidi walisahau kwamba hayati Magufuli ni binadamu lolote linaweza kutokea. Sasa limetokea lililo tokea, na katiba imefanya kazi yake wanaanza kutafutana. Kwa sasa wamesha chelewa maana mama amesha hapishwa na katiba inamtambua kama rais wa JMT na muda si mrefu uenyekiti wa genge lao utamuhusu. Kilicho baki kwao nikuingia mjengoni na kupiga kura za kutokuwa na imani nae (kama wataweza). Na wakilifanya hilo ndio itakuwa mwanzo wa kugawana fito. Hala hala muacheni mama amalize muhula wake halafu huko mbele ya safari mtapanga makubaliano mengine.
ATAWAHI KULIVUNJA BUNGE.....