Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,962
Wapingaji wa mipango ya Samia?Kijakazi nenda kasome kwanza huo mkataba wa EPA. Issue ya kodi ni misconception ya wapingaji wa Mipango ya Rais Samia. Hii kitu inaopetate kama AGOA ya US.
Huu mkataba haukukataliwa Sasa tu, ulikataliwa wakati wa mkapa, kikwete na Magufuli.
Hao nao walipinga mpango wa hao maraisi?