sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
- Thread starter
- #21
Ndugu zangu nikuombe wew na mwenzako, mnaniomba radhi, lakini pia muombe radhi mkurugenzi wa JF na na watendaji wa jf mm namwacha mke wangu amelala kitandani nasogea pembeni naandika andiko zuri nyinyi mnatumia kama sehemu ya kutukanana hivi hamuoni aibu kweli watu wazima mnakuwa hivi kweli?Kimtokacho mtu kimo ndani yake.
Wewe ni SHOGA . Jadili hoja badala ya kukimbilia matusi. Nahodha wa kazi gani ?! Wakati wasomi wamejaa kitaa na kazi hawana !!
Moderetor tafadhali shughulikeni Ili jambo