Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Pamoja na kwamba umewaza mambo ya kimaendeleo lakini mengi ya uliyowaza kiuchumi hayana tija kwa nchi..kwanza si rahisi kuzifanya Botswana hata malawi kutegemea port za Tz eti kwa kupokea bidhaa zinazotoka mashariki ya kati, south afrika ina kila kitu ambacho nchi hizi zinahitaji, lkn hata tu mila, desturi na utamaduni wa watu wa nchi hizi wanajisikia vzr zaidi kushirikiana na south africa kuliko kutegemea east africa.
Daraja la kazungula limejengwa kuziwezesha nchi za kusini zishirikiane zaidi kibiashara, itakuwa ni kupoteza rasilimali za nchi kutaka kushindania soko la nchi za kusini. Tz inazungukwa na nchi 8 je tayari fursa zilizopo kwny nchi hizo imezitumia kikamilifu? Kama bado basi vyema nguvu kubwa ielekezwe huko na si kucheza pata potea unayopendekeza wewe.
Hii ni biashara. Kama biashara itaonekana inawalipa wanaokuja Dar, kwanini isiwezekane? Sasa hivi Durban ndio reliable port. Ni mbali kweli kweli. Beira ugaidi na mapigano ya ndani yanaifanya isiwe rafiki sana