Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
- Thread starter
- #21
Hakika kabisaTungekua na Bandari kavu hata singida Malori ya Rwanda na Burundi yakaishia pale, inamaana tungeweza kuaccomodate mizigo mingi ya Uganda pia maana umbali ungekua umepungua na hapo tungewanyemelea Sudan kusini kwa hivo reli na mabehewa ya express ya kusogeza mizigo kutoka Dar port hadi mfano dry port singida ingekua kitu kizuri sana