Rais Samia, kuna Fursa nyingine huko 'Kazungula Bridge'

Tungekua na Bandari kavu hata singida Malori ya Rwanda na Burundi yakaishia pale, inamaana tungeweza kuaccomodate mizigo mingi ya Uganda pia maana umbali ungekua umepungua na hapo tungewanyemelea Sudan kusini kwa hivo reli na mabehewa ya express ya kusogeza mizigo kutoka Dar port hadi mfano dry port singida ingekua kitu kizuri sana
Hakika kabisa
 
Botwsana hawezi kutumia bandari ya Dar , Tayari kuna port efficient na zisizo na urasimu kama durban na walvis bay.
 
SSH yeye kipaumbele chake ni kufungulia nchi kila takataka iingie haya ya kuweza jinsi ya kuboresha miundombinu ili kuunganisha biashara ni matatizo yenu wananchi, pambaneni na hali yenu.
 
Mada nzuri mno welldone mtoa hoja ILA daraja hili la Kazungula ni bad news kwetu,sasa DRC itasukuma zaidi Mizigo kule kuliko kuileta hapa Dar es salaam port,tumechelewa mno maana future ya Africa kibiashara ni DRC
Kujenga uchumi na ku dominate uchumi inahitaji kuthubutu na kutumia akili sana kwenye kuangalia fursa na kuweka mazingira Bora zaidi kwa upande wako. Hili tukilitumia vizuri hakuna wa kututisha
 
SSH yeye kipaumbele chake ni kufungulia nchi kila takataka iingie haya ya kuweza jinsi ya kuboresha miundombinu ili kuunganisha biashara ni matatizo yenu wananchi, pambaneni na hali yenu.
Embu acha dharau kwa mama yetu kutokana na chuki zako za kiburundi kijana
 
Hai
Nmesoma akili yako imevutiwa kuona daraja la kazungula ukaokota okota mawili matatu kuonyesha Tz inaweza faidika na uwepo wa hilo daraja. Kiuhalisia HAIWEZEKANI layman tu ndio anaweza fikiri uliyoandika..fursa za east africa hatujazitumia licha ya uwepo wa miundombinu wezeshi..barabara, reli na usafiri wa majini, halafu unawaza ya mbali ambako hatuwezi kufika huo ni zaidi ya ujinga.
Haiwezekani Kwa mujibu wa akili yako fupi na ndogo. Kwa wenye akili kubwa inawezekana
 
Embu acha dharau kwa mama yetu kutokana na chuki zako za kiburundi kijana
Si ndio ukweli huo, kipaumbele chake ni kufungulia nchi kila takataka iingie, haya ma miradi yenu ni matatizo yetu wananchi tu, Rais anashinda angani na kwenye matamasha kila uchwao, anamaliza 2months saivi haongelei miradi ya kimkakati anaongelea ujinga ujinga tu wa kuridhisha watu as if hayo ndio matatizo ya watanzania haswa.
 
Tunaweza chukua ilo soko kama tukitumia akili zetu vizuri.
Malawi jirani zetu kabisa mizigo ya ulaya wanashushia Namibia,
Walivis bay ni bandari yenye ufanisi wa juu sana na ni cheap port vile vile.
Walvis bay meli ya magari ikitia nanga alfajiri , mchana magari yameshatoka mnaendesha uraiani,
Copper ya Zambia tuliyokuwa hadi tunaisafirisha kwa ndege kule mtwara sasa hivi inasafirishwa kupitia walvis bay
 
Hai

Haiwezekani Kwa mujibu wa akili yako fupi na ndogo. Kwa wenye akili kubwa inawezekana
Kuwaza Songwe na Mbeya ndio akili kubwa? Hata kifaranga cha kuku kina akili ya kutafuta chakula ardhini..lkn si ile ya kumkwepa mwewe asimshukie.
 
Kuwaza Songwe na Mbeya ndio akili kubwa? Hata kifaranga cha kuku kina akili ya kutafuta chakula ardhini..lkn si ile ya kumkwepa mwewe asimshukie.
Endelea kutambika kwenye kabuli la mabati hapo kijijini chato na ukimaliza rudi kwenu Burundi. Mada hii ni kubwa sana kwako hata kuweza kuchangia
 
Malawi jirani zetu kabisa mizigo ya ulaya wanashushia Namibia,
Walivis bay ni bandari yenye ufanisi wa juu sana na ni cheap port vile vile.
Walvis bay meli ya magari ikitia nanga alfajiri , mchana magari yameshatoka mnaendesha uraiani,
Copper ya Zambia tuliyokuwa hadi tunaisafirisha kwa ndege kule mtwara sasa hivi inasafirishwa kupitia walvis bay
Na hapa ndo hoja ya Bandari ya Bagamoyo inapoingia. Bandari yenye ufanisi kwa maendeleo ya nchi yetu.

Kuna Maboresho makubwa sana kuhusu Bandari ya Dar es Salaam nayo tukipata muda tutaandika humu.
 
Si ndio ukweli huo, kipaumbele chake ni kufungulia nchi kila takataka iingie, haya ma miradi yenu ni matatizo yetu wananchi tu, Rais anashinda angani na kwenye matamasha kila uchwao, anamaliza 2months saivi haongelei miradi ya kimkakati anaongelea ujinga ujinga tu wa kuridhisha watu as if hayo ndio matatizo ya watanzania haswa.
Hayo ni Kwa mujibu wa akili yako. Kwa unavyodhani wewe Rais anatakiwa kuongelea hovyo hovyo miradi ya kimkakati ili iweje??? Kwani kwenye vikao vya cabinet wanafanya nini???

Hujui kiongozi wa kisiasa anapata namlaka ya kuongoza kutoka Kwa watu?? Sasa kwa nini asiongoze kwa matakwa ya watu anaowaongoza??? Mlishazoea ufedhuli na ushetani ndo mkazani ndo maisha sasa ndo mjue haitakiwi kuwa ivyo.
 
Hayo ni Kwa mujibu wa akili yako. Kwa unavyodhani wewe Rais anatakiwa kuongelea hovyo hovyo miradi ya kimkakati ili iweje??? Kwani kwenye vikao vya cabinet wanafanya nini???

Hujui kiongozi wa kisiasa anapata namlaka ya kuongoza kutoka Kwa watu?? Sasa kwa nini asiongoze kwa matakwa ya watu anaowaongoza??? Mlishazoea ufedhuli na ushetani ndo mkazani ndo maisha sasa ndo mjue haitakiwi kuwa ivyo.
Niondolee ufedhuli hapa, mwambieni Jumong wenu aendelee kufungulia kila takataka iingie nchini, ndio akili zake zimeishia hapo, what a waste kwa taifa.
 
Na hapa ndo hoja ya Bandari ya Bagamoyo inapoingia. Bandari yenye ufanisi kwa maendeleo ya nchi yetu.

Kuna Maboresho makubwa sana kuhusu Bandari ya Dar es Salaam nayo tukipata muda tutaandika humu.
Ufanisi hauanzi na maneno kama haya , tumezoea porojo na ndio shida yetu
Bagamoyo hata ikiwa bandari kubwa kama bado itakuwa gharama sawa na bandari ya dar , haitafanikiwa , tunapozungumzia efficiency ni pamoja na gharama za bandari husika
Nani ashushe au kupakia mzigo kwenye bandari ambayo gharama tu ni mara tatu zaidi ya bandari nyingine ? Hapo bado hajapambana na urasimu!
 
Amani iwe nawe Mama yangu.

Heri ya sikukuu ya Eid! Na Polee na uchovu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadan.

Kama nilivyotoa commitment ya kukuunga mkono Mara tu ulipochukua kiti cha kuongoza nchi yetu, leo napenda kuleta mada nyingine ya ushauri kwako ili tuutumie katika kuijenga na kuipeleka mbele kimaendeleo Tanzania yetu.

Hivi Karibuni, Botswana na Zambia wamezindua daraja la kuunganisha nchi zao linalojulikana kama Daraja la Kazungula. Daraja hili lililojengwa katika Mto Zambezi Lina njia za Magari kwa ajiri ya Magari na Pia wameweka sehemu ya kupitisha reli kwenye njia hii.

kukamilika kwa Daraja hili inaelezwa kuwa ni fursa adhimu ya kiuchumi kwa nchi zenye Bandari kuu za bahari hasa South Africa, Namibia na Tanzania kwa sababu daraja hili litazifanya hizi nchi kufanya biashara kwa kiwango kikubwa sana na kwa urahisi sana.

Tukiacha Namibia na South Africa , kwa Tanzania , nimeona kukamilika kwa daraja hili ni fursa kubwa sana ya kukua kiuchumi kwa Taifa letu endapo tu tutatumia hii kama fursa na kujitengeneza ki strategically hasa ukizingatia tukijipanga vizuri, mizigo yote ya Botswana na Zambia kutoka Middle East na Mashariki ya Mbali hasa Ulaya Mashariki na Asia( China na Japan) inaweza kuwa inapitishiwa Bandari zetu( Dar es Salaam na Bagamoyo Kama itajengwa) na kupelekwa kwao.

Hivyo kutokana na hii fursa, naomba serikali yako ianze kujipanga kufanya yafuatayo either yenyewe kama yenyewe au kwa kushirikiana na sekta binafsi.

1. Kujenga Bandari kubwa Kavu katika Mkoa wa Mbeya au Songwe, itakayokuwa inapokea mizigo yote Kwa ajiri ya nchi za DRC, Zambia, Zimbabwe na Botswana. Bandari hii itapokea mizigo hiyo kwa njia zote( Barabara na Reli kutoka Dar es Salaaam na Bagamoyo hapo badae

2. Kujenga upya miondombinu ya Mikoa ya Songwe na Mbeya. Naomba kwenye kufanikisha hili Mama yetu, angalia hata Kwa kufanya kupitia PPP( Kushirikiana na sekta binafsi) miundombinu ya kuingia Mbeya na Songwe hasa barabara ifumuliwe na kujengwa upya kwa viwango vya kisasa. Miji hii ina barabara nyembamba sana. Kuanzia Makambako hadi Mbeya na Songwe. Naomba mipango na utekelezaji uanze kufumua na kuzijenga kisasa katika viwango vipya vya ubora barabara hizi. Kwenye upana kuanzia makambako hadi songwe( Tunduma) na kuweka barabara zenye njia 3-4 kila line kwenye miji ya Mbeya na Tunduma ili kurahisisha usafiri wa abiria na mizigo. Kumbuka Mama njia hii ndo imeshika uchumi wa usafirishaji kwa Tanzania.

3. Mpango wa kuibadilisha reli ya TAZARA kutoka ilivyo kuwa SGR inayotumia umeme. Naomba kwa mipango ya badae reli hii inayofika Hadi Zambia iangaliwe kubadilishwa iwe kwenye mfumo wa SGR. Iboreshwe na kujengwa upya kisasa kwa viwango vipya vya ubora (SGR)

Mwisho ingawa wazo hili linaweza kuonekana la kufikirika zaidi kuliko uhalisia naomba Serikali yako ianze kufanya mipango ya kujenga daraja linalokatisha Ziwa Tanganyika na kuingia Congo Moja kwa Moja. Ninajua Kuna changamoto kubwa sana hasa kwenye kina cha lile ziwa Ila kwa kiwango cha teknolojia kilivyofika duniani Nina uhakika wapo watu wanaoweza kufanikisha hili. Ikiwa tutajenga kwa upande wa Rukwa sawa na ikiwa tutajenga kwa upande wa Kigoma sawa Ila naomba iyo mipango ianze sasa. Hata usipokuja kujenga wewe kama Rais wa Awamu ya Sita ila siku moja Rais mwingine atajenga tu. Kikubwa naomba uanzishe hiyo mipango kwa hata kufanyika feasibility studies na kuangalia ni watu gani wataweza kufanya hivyo huko mbeleni. Nasema hivi Kwa sababu, kama Tanzania, tukiweza kupata direct access ya kuingia Congo kibiashara itakuwa na faida kubwa sana kiuchumi kwa Taifa letu kuliko kutegemea k
Amani iwe nawe Mama yangu.

Heri ya sikukuu ya Eid! Na Polee na uchovu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadan.

Kama nilivyotoa commitment ya kukuunga mkono Mara tu ulipochukua kiti cha kuongoza nchi yetu, leo napenda kuleta mada nyingine ya ushauri kwako ili tuutumie katika kuijenga na kuipeleka mbele kimaendeleo Tanzania yetu.

Hivi Karibuni, Botswana na Zambia wamezindua daraja la kuunganisha nchi zao linalojulikana kama Daraja la Kazungula. Daraja hili lililojengwa katika Mto Zambezi Lina njia za Magari kwa ajiri ya Magari na Pia wameweka sehemu ya kupitisha reli kwenye njia hii.

kukamilika kwa Daraja hili inaelezwa kuwa ni fursa adhimu ya kiuchumi kwa nchi zenye Bandari kuu za bahari hasa South Africa, Namibia na Tanzania kwa sababu daraja hili litazifanya hizi nchi kufanya biashara kwa kiwango kikubwa sana na kwa urahisi sana.

Tukiacha Namibia na South Africa , kwa Tanzania , nimeona kukamilika kwa daraja hili ni fursa kubwa sana ya kukua kiuchumi kwa Taifa letu endapo tu tutatumia hii kama fursa na kujitengeneza ki strategically hasa ukizingatia tukijipanga vizuri, mizigo yote ya Botswana na Zambia kutoka Middle East na Mashariki ya Mbali hasa Ulaya Mashariki na Asia( China na Japan) inaweza kuwa inapitishiwa Bandari zetu( Dar es Salaam na Bagamoyo Kama itajengwa) na kupelekwa kwao.

Hivyo kutokana na hii fursa, naomba serikali yako ianze kujipanga kufanya yafuatayo either yenyewe kama yenyewe au kwa kushirikiana na sekta binafsi.

1. Kujenga Bandari kubwa Kavu katika Mkoa wa Mbeya au Songwe, itakayokuwa inapokea mizigo yote Kwa ajiri ya nchi za DRC, Zambia, Zimbabwe na Botswana. Bandari hii itapokea mizigo hiyo kwa njia zote( Barabara na Reli kutoka Dar es Salaaam na Bagamoyo hapo badae

2. Kujenga upya miondombinu ya Mikoa ya Songwe na Mbeya. Naomba kwenye kufanikisha hili Mama yetu, angalia hata Kwa kufanya kupitia PPP( Kushirikiana na sekta binafsi) miundombinu ya kuingia Mbeya na Songwe hasa barabara ifumuliwe na kujengwa upya kwa viwango vya kisasa. Miji hii ina barabara nyembamba sana. Kuanzia Makambako hadi Mbeya na Songwe. Naomba mipango na utekelezaji uanze kufumua na kuzijenga kisasa katika viwango vipya vya ubora barabara hizi. Kwenye upana kuanzia makambako hadi songwe( Tunduma) na kuweka barabara zenye njia 3-4 kila line kwenye miji ya Mbeya na Tunduma ili kurahisisha usafiri wa abiria na mizigo. Kumbuka Mama njia hii ndo imeshika uchumi wa usafirishaji kwa Tanzania.

3. Mpango wa kuibadilisha reli ya TAZARA kutoka ilivyo kuwa SGR inayotumia umeme. Naomba kwa mipango ya badae reli hii inayofika Hadi Zambia iangaliwe kubadilishwa iwe kwenye mfumo wa SGR. Iboreshwe na kujengwa upya kisasa kwa viwango vipya vya ubora (SGR)

Mwisho ingawa wazo hili linaweza kuonekana la kufikirika zaidi kuliko uhalisia naomba Serikali yako ianze kufanya mipango ya kujenga daraja linalokatisha Ziwa Tanganyika na kuingia Congo Moja kwa Moja. Ninajua Kuna changamoto kubwa sana hasa kwenye kina cha lile ziwa Ila kwa kiwango cha teknolojia kilivyofika duniani Nina uhakika wapo watu wanaoweza kufanikisha hili. Ikiwa tutajenga kwa upande wa Rukwa sawa na ikiwa tutajenga kwa upande wa Kigoma sawa Ila naomba iyo mipango ianze sasa. Hata usipokuja kujenga wewe kama Rais wa Awamu ya Sita ila siku moja Rais mwingine atajenga tu. Kikubwa naomba uanzishe hiyo mipango kwa hata kufanyika feasibility studies na kuangalia ni watu gani wataweza kufanya hivyo huko mbeleni. Nasema hivi Kwa sababu, kama Tanzania, tukiweza kupata direct access ya kuingia Congo kibiashara itakuwa na faida kubwa sana kiuchumi kwa Taifa letu kuliko kutegemea kuingia kule kupitia nchi zingine jirani.

Naomba kuwasilisha.

View attachment 1786878View attachment 1786879View attachment 1786880
.
Lord ushauri wako ni mzuri sana ingawaje uzi kama huu wa maono ya maendeleo unakuwa na wachangiaji wachache.

Lakini hao wachache walopitia nadhani kama vile Mbunge Shabiby leo kalizungumzia sana suala la bandari kavu. Naye Naibu Spika Tulia amelisemea barabara ya TANZAM na reli ya TAZARA kuboreshwa na kutumia umeme.

Shukurani nyingi zikufikie ndugu Lord
 
Mwisho ingawa wazo hili linaweza kuonekana la kufikirika zaidi kuliko uhalisia naomba Serikali yako ianze kufanya mipango ya kujenga daraja linalokatisha Ziwa Tanganyika na kuingia Congo Moja kwa Moja. Ninajua Kuna changamoto kubwa sana hasa kwenye kina cha lile ziwa Ila kwa kiwango cha teknolojia kilivyofika duniani Nina uhakika wapo watu wanaoweza kufanikisha hili. Ikiwa tutajenga kwa upande wa Rukwa sawa na ikiwa tutajenga kwa upande wa Kigoma sawa Ila naomba iyo mipango ianze sasa. Hata usipokuja kujenga wewe kama Rais wa Awamu ya Sita ila siku moja Rais mwingine atajenga tu. Kikubwa naomba uanzishe hiyo mipango kwa hata kufanyika feasibility studies na kuangalia ni watu gani wataweza kufanya hivyo huko mbeleni. Nasema hivi Kwa sababu, kama Tanzania, tukiweza kupata direct access ya kuingia Congo kibiashara itakuwa na faida kubwa sana kiuchumi kwa Taifa letu kuliko kutegemea kuingia kule kupitia nchi zingine jirani.
Naunga mkono daraja kwa malengo ya baadae, lakini kwa sasa hivi tunachelewa sana kujihusisha kati yetu na DRC.

Inatubidi tuweke juhudi kubwa kufanya biashara na nchi hii kwa karibu zaidi kuliko ilivyo sasa.

Mimi napendekeza, kwa malengo ya muda mfupi (5 years); pawepo na meli na bandari kadhaa, tokea kusini na mpaka na Zambia hadi mpakani na Burundi.

Sambamba na kuwa na meli kadhaa na bandari, tutumie njia kavu inayopitia Burundi na Rwanda, na hata Uganda kuingia kwenye soko la DRC.

Hii ina maana kwamba, lazima tuwe na Bandari zinazofanya kazi vizuri na Barabara pamoja na reli.

Bandari ya Dar es Salaam pekee haitamudu.

Nchi yetu inayofursa hii adhimu sana tuliyopewa na Mwenyezi Mungu; sasa ni wakati tuitumie ili itusaidie kuleta mabadiliko chanya kwetu.
 
SSH yeye kipaumbele chake ni kufungulia nchi kila takataka iingie haya ya kuweza jinsi ya kuboresha miundombinu ili kuunganisha biashara ni matatizo yenu wananchi, pambaneni na hali yenu.
Nadhani mwana mama huyu itabidi atulize kichwa hasa, maanake inaelekea haya mambo mazito bado hajayaweka maanani sana.

Inabidi akae chini na atafakari kwa makini sana ni mambo yapi hasa ya kimkakati yanayohitajika nchi yetu hii iyatekeleze.

Asikimbilie kuleta wakodisha vishamba vya kulima mahindi na kuyavusha kwenda kuuzwa huko kwa wawekezaji njaa hao.
Kama anataka kukomalia hilo, basi awawezeshe wakulima wetu, kazi hiyo wataifanya kwa umakini mkubwa kuliko hao anaowakimbilia waje hapa kama madalali.
 
Kama MWENDAZAKE alikuwa anaifuatilia hadi "SHILAWADU" sembuse Mama iwe ngumu kuingia Jamiiforum ?!

Kwa wasiyojua "JAMIIFORUM" ni miongoni mwa vyanzo muhimu sana vya taarifa vinavyotegemewa na serikali .

Humu kuna zaidi ya 89.3% ya viongozi wakuu wa serikali .

Kwamuhitimisha na bila kujali itikadi na mlengo wa KISIASA wa mtoa mada naomba tu niseme kuwa jamaa amewaza kwa upana sana na kwa nyongeza nikwamba jamaa ameiwasirisha mada kwa viwango vya kimataifa na nimtie moyo kwamba yeye ni miongoni mwa watu wanauoutumia vyema sana ufahamu wao kwenye eneo zima la kufikiri .

Kwakifupi tu :-
Tanzania inauwezo wa kuyatekeleza hayo yote aliyoyaeleza hata tu ndani ya miaka mitano kama tu tutaamua kwa pamoja kuyatekeleza .

Japo siyo kwa umuhimu .

Mzeebaba ndani ya miaka mitano na miezi sita na siku ishirini na tisa alizokaa ikulu ameongeza deni la Taifa kwa kiasi cha Tsh Trillion 30.8 according to CAG report ,hiki kiasi ni mara sita ya viongozi wenzake wote waliyomtangulia , tusipanic , hebu turelax maana ndiyo ishakuwa hivyo , hebu jengeni picture tena kwa utulivu wenu wa chooni tu unadhani maendeleo anayoyaeleza mwamba hapo yanagharimu kiasi gani cha pesa? Unadhani maendeleo yanayohubiriwa kutendwa na mzeebaba yanamaliza hata trillion 10? Let's wake up guys tusijichukulie poa , Taifa imara linajengwa na mipango na sera imara na dhamira mashubuti .

Don't understimate yourself and limit your thinking .

Hata inzi anaweza kutengeneza asali siku atakayoacha ufala .


Labda kama kuna chawa wake lakin yeye kama yeye mhh sidhani!
 
Amani iwe nawe Mama yangu.

Heri ya sikukuu ya Eid! Na Polee na uchovu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadan.

Kama nilivyotoa commitment ya kukuunga mkono Mara tu ulipochukua kiti cha kuongoza nchi yetu, leo napenda kuleta mada nyingine ya ushauri kwako ili tuutumie katika kuijenga na kuipeleka mbele kimaendeleo Tanzania yetu.

Hivi Karibuni, Botswana na Zambia wamezindua daraja la kuunganisha nchi zao linalojulikana kama Daraja la Kazungula. Daraja hili lililojengwa katika Mto Zambezi Lina njia za Magari kwa ajiri ya Magari na Pia wameweka sehemu ya kupitisha reli kwenye njia hii.

kukamilika kwa Daraja hili inaelezwa kuwa ni fursa adhimu ya kiuchumi kwa nchi zenye Bandari kuu za bahari hasa South Africa, Namibia na Tanzania kwa sababu daraja hili litazifanya hizi nchi kufanya biashara kwa kiwango kikubwa sana na kwa urahisi sana.

Tukiacha Namibia na South Africa , kwa Tanzania , nimeona kukamilika kwa daraja hili ni fursa kubwa sana ya kukua kiuchumi kwa Taifa letu endapo tu tutatumia hii kama fursa na kujitengeneza ki strategically hasa ukizingatia tukijipanga vizuri, mizigo yote ya Botswana na Zambia kutoka Middle East na Mashariki ya Mbali hasa Ulaya Mashariki na Asia( China na Japan) inaweza kuwa inapitishiwa Bandari zetu( Dar es Salaam na Bagamoyo Kama itajengwa) na kupelekwa kwao.

Hivyo kutokana na hii fursa, naomba serikali yako ianze kujipanga kufanya yafuatayo either yenyewe kama yenyewe au kwa kushirikiana na sekta binafsi.

1. Kujenga Bandari kubwa Kavu katika Mkoa wa Mbeya au Songwe, itakayokuwa inapokea mizigo yote Kwa ajiri ya nchi za DRC, Zambia, Zimbabwe na Botswana. Bandari hii itapokea mizigo hiyo kwa njia zote( Barabara na Reli kutoka Dar es Salaaam na Bagamoyo hapo badae

2. Kujenga upya miondombinu ya Mikoa ya Songwe na Mbeya. Naomba kwenye kufanikisha hili Mama yetu, angalia hata Kwa kufanya kupitia PPP( Kushirikiana na sekta binafsi) miundombinu ya kuingia Mbeya na Songwe hasa barabara ifumuliwe na kujengwa upya kwa viwango vya kisasa. Miji hii ina barabara nyembamba sana. Kuanzia Makambako hadi Mbeya na Songwe. Naomba mipango na utekelezaji uanze kufumua na kuzijenga kisasa katika viwango vipya vya ubora barabara hizi. Kwenye upana kuanzia makambako hadi songwe( Tunduma) na kuweka barabara zenye njia 3-4 kila line kwenye miji ya Mbeya na Tunduma ili kurahisisha usafiri wa abiria na mizigo. Kumbuka Mama njia hii ndo imeshika uchumi wa usafirishaji kwa Tanzania.

3. Mpango wa kuibadilisha reli ya TAZARA kutoka ilivyo kuwa SGR inayotumia umeme. Naomba kwa mipango ya badae reli hii inayofika Hadi Zambia iangaliwe kubadilishwa iwe kwenye mfumo wa SGR. Iboreshwe na kujengwa upya kisasa kwa viwango vipya vya ubora (SGR)

Mwisho ingawa wazo hili linaweza kuonekana la kufikirika zaidi kuliko uhalisia naomba Serikali yako ianze kufanya mipango ya kujenga daraja linalokatisha Ziwa Tanganyika na kuingia Congo Moja kwa Moja. Ninajua Kuna changamoto kubwa sana hasa kwenye kina cha lile ziwa Ila kwa kiwango cha teknolojia kilivyofika duniani Nina uhakika wapo watu wanaoweza kufanikisha hili. Ikiwa tutajenga kwa upande wa Rukwa sawa na ikiwa tutajenga kwa upande wa Kigoma sawa Ila naomba iyo mipango ianze sasa. Hata usipokuja kujenga wewe kama Rais wa Awamu ya Sita ila siku moja Rais mwingine atajenga tu. Kikubwa naomba uanzishe hiyo mipango kwa hata kufanyika feasibility studies na kuangalia ni watu gani wataweza kufanya hivyo huko mbeleni. Nasema hivi Kwa sababu, kama Tanzania, tukiweza kupata direct access ya kuingia Congo kibiashara itakuwa na faida kubwa sana kiuchumi kwa Taifa letu kuliko kutegemea kuingia kule kupitia nchi zingine jirani.

Naomba kuwasilisha.

View attachment 1786878View attachment 1786879View attachment 1786880
a editor, BBC World Service
A new bridge over the Zambezi River linking Botswana and Zambia has been officially opened and should boost trade in the region.
At a cost of more than $250m (£177m), the Kazungula road and rail bridge was paid for by the African Development Bank and a loan from the Japanese government.

Before it was built cargo had to be unloaded from lorries and taken across on barges.
Truck drivers can also now avoid long waits at Zimbabwe's border.
The Botswana government tweeted this shot of the 1km-long (0.6 mile) bridge earlier today:

Social embed from twitter​


ReportReport this social embed, make a complaint
Other countries in the region should get an economic boost as it'll speed up trade between South Africa's ports and countries to the north, including the Democratic Republic of Congo.

And there's a reason why it's curved - the former President of Zimbabwe Robert Mugabe was opposed to the project. So, in order to avoid encroaching on Zimbabwean territory, the bridge couldn't be built in a straight line.
 
Back
Top Bottom