Bra-joe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,828
- 1,409
Mama Samia.
- Makamu wa Rais wa kwanza mwanamke Tanzania.
- Rais wa kwanza kuwa dv4 shule ya upili.
- Rais wa kwanza kuwahi kupata asilimia zaidi ya 97 uchaguzi mkuu.
- Rais wa kwanza kuingia madarakani baada ya watu wengi kufa, kuumia, mali kuharibiwa na maelfu kukamatwa na kufunguliwa kesi za uhaini.
- Rais wa kwanza kukataliwa na Watanzania waziwazi.
- Atakuwa Rais wa kwanza kujiuzulu, kukimbia nchi au kupinduliwa.
- Atakuwa Rais wa kwanza kushtakiwa kwa makosa aliyoyafanya akiwa madarakani.