Rais Samia Kodi ya mafuta na kwenye miamala ni kaa la Moto, furaha imetoweka tena

Mlikuwa mna maisha magumu ila sasa yatazidi mara 100 zaidi! Magufuli hajawahi kugusa life la mnyonge kwa makodi ya ajabu ajabu
Hawatakubali asilani...mwamba alizuia mvua kote, wote tukapiga goti kuomba mvua, tukaanza kupendana, sasa mvua inanyesha kwa mafungu na maji hayatiririki kwenye mifereji, kuna wenye kuikinga yote iingie kwenye matanki yao.

Mwamba alianza kutiririsha maji kwenye mifereji kwa kukwepa wakingaji wa juu kwa juu, wakachukia kwamba wao hawawezi kufata maji miferejini na si sawa wanaofata miferejini kuyafurahia maji😀

Sasa mama anaupiga mwingi, kina balaboo na muro wanarudi, mateja wameaanza kuchomoza, risiti hakuna tena, uwoya kaanza kuchop money, muda si mrefu wadada wa kufunga mzigo China watafufuka n.k
 
Hawatakubali asilani...mwamba alizuia mvua kote, wote tukapiga goti kuomba mvua, tukaanza kupendana, sasa mvua inanyesha kwa mafungu na maji hayatiririki kwenye mifereji, kuna wenye kuikinga yote iingie kwenye matanki yao.

Mwamba alianza kutiririsha maji kwenye mifereji kwa kukwepa wakingaji wa juu kwa juu, wakachukia kwamba wao hawawezi kufata maji miferejini na si sawa wanaofata miferejini kuyafurahia maji😀

Sasa mama anaupiga mwingi, kina balaboo na muro wanarudi, mateja wameaanza kuchomoza, risiti hakuna tena, uwoya kaanza kuchop money, muda si mrefu wadada wa kufunga mzigo China watafufuka n.k
Umegusa penyewe kabisa, kuna watu wataanza kujikingia mvua juu kwa juu aisee ila kichapo ni halali yetu sie watoto wa mmbwa!

China akiruhusu movement tu ngoma inanaenda back to square one ngada kama kawaida!
 
Kwanza kabisa mimi sio mwanachama wala shabiki wa mbogamboga, Mimi ni mwanachama na mfuasi wa chadema.

Leo nimekutana na wafuasi wa CCM nao wanalalamika, yote haya waliyataka wao kwa kukubali vipande vya fedha kuuza wananchi wao.
Kipindi Cha mwendazake tulikuwa na huzuni kubwa sana na alipoingia mama tulianza kuiona furaha Ila imedumu muda mfupi sana.

Kitendo cha mama kusema tu kuwa sh.100 kwa lita ni ndogo kimetuhuzunisha sana. Mama sh.100 kwa lita ni kubwa, kipindi Cha JK alikuwa akiongeza Ila ilikuwa ni sh 30, wakati mwingine sh 40. Bahati mbaya haya yanafanyika tulikuwa bado na usingizi wa hasira kwa awamu iliyopita.

Na ieleweke ni kweli bei ya mafuta duniani imepanda, ila sio kwa kiwango tunachonunua Tanzania. Huku Tanzania bei ipo hivi sababu ya utitiri wa Kodi, na ikaongeza hiyo 100.

Kama mama alihitaji kutufuta machozi, kurudisha furaha ilipaswa apunguze baadhi ya Kodi kwenye mafuta na sio kuongeza. Hiyo haitoshi wameongeza maradufu gharama ya kutuma na kupokea pesa.

Nilitegemea tabasamu la Mama lingejikita katika kupunguza mzigo kwa mwananchi wa kawaida. Furaha imetoweka, huu ni ukweli mchungu.

Haya yote mmeyaleta tukiwa kwenye usingizi wa hasira ya mwendazake, sasa kumekucha tumejikuta kuna haya maumivu mapya.
Mama Anajenga UCHUMI kwa KUWAKOMOA WANYONGE
 
Ukipandisha kodi kwenye mafuta tayari umeongeza gharama za kuishi! Ina maana huko mof wamejaa wachumi uchwara tu. Basi wakati wa kutunga bajeti wawe wanatushirikisha tuwe tunawapa mawazo! Nchi ina bahari kwa nini mafuta yetu yawe Juu kuliko nchi zote ktk afrika?
 
Haya yote mmeyaleta tukiwa kwenye usingizi wa hasira ya mwendazake, sasa kumekucha tumejikuta kuna haya maumivu mapya.
Kwa kweli Mwendawazimu alipokufa mdomo wazi, nilikua na fura isio kifani.
Bi, Chokochoko ameturudisha kwenye simanzi. Nchi ngumu sana hii.
 
Wacha uongo wewe!!! Hebu weka ushahidi wa kusifia huko badala wa KUKURUPUKA na kuandika ujinga.


HUMUHUMU KUANZAI CHADEMA MLISIFIA HII BAJET KUWA INAWAJALI WANYONGE..NDO SHIDA YA KUWA NA WAZIRI KILAZA.MBONA ENZI ZA MPNGO HAYA MABAJETI YA OVYOVYO HAYAKUWEPO NA MDINGI ULIPIGA KAZI SANA
 
Tuweni wazalendo jamani..! Mbona hili la kupanda bei petrol ni afadhali kuliko kukosa uhuru wa kujimwayamwaya kama ilivyokuwa miezi mi5 nyuma...
 
Kwenye Bandiko kama hili ni bora kiambatanisho kikawa orodhesho LA utitiri wa Kodi watu waelewe
 
Kuwa mzalendo,ipende nchi yako.
Haha nafurahi sana mnavyowajibu kima hawa SHIDA JF WATU WANAJIFANYA WAKO SMART SANA KUMBE HOVYO KABSA KILA KITU WAO WANAJUA Bi mkubwa fanya yako ni muda wako leta mpka kodi za TV NDANI TUTALIPA HAKUNA JINSI
 
Ukipandisha kodi kwenye mafuta tayari umeongeza gharama za kuishi! Ina maana huko mof wamejaa wachumi uchwara tu. Basi wakati wa kutunga bajeti wawe wanatushirikisha tuwe tunawapa mawazo! Nchi ina bahari kwa nini mafuta yetu yawe Juu kuliko nchi zote ktk afrika?
Bia zimepunguziwa kodi huko nenda ukazioge
 
Back
Top Bottom