digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,921
- 14,429
Somalia nayo ni nchi ,Kama unaona rais wetu ni bure ,hamia huko.Huyu mama bure kabisa, sijawahi ona kiongozi wa nchi hopeless like her. Yaani hapa bongo kama nchi imelamba garasa!! wakina Kagame na Museveni wanatucheka balaa toka kupoteza kiongozi mwenye vision hadi kuja kuokoteza hili garasa,.tumeliwa.