Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,755
Rais sijui ana nongwa gani na kijana Sabaya. Kazi aliyofanya Sabaya kwa CCM halafu anakomolewa na Serikali ya CCM ni jambo la kushangaza. Anachokitafuta Rais Samia ndani ya CCM ni kukiangamiza chama tu.
Mtu kama Lema na itikadi zake za ubinafsi unajidai kumpenda ili alete nini CCM? Watu wabinafsi wenye sera ya ulafi ujambazi wana faida gani CCM? Sabaya amepambana kuimarisha chama kwa vitendo. Ameonesha kutetea maslahi ya umma hadi kuhatarisha maisha yake.
Nani anabisha kama jimbo la hai mbowe alikuwa analishikilia kwa vitisho na hila dhidi ya wapinzani wake. Aligeuza kama mali yake na yeye ndio Sultani. Leo hii Sabaya anateseka kwa kulipwa kisasi na hao mafisadi kwa kusaidiwa na dola.
Licha ya Mahakama kumkuta hana kosa dola ya Rais Samia bado inaendelea kumshikilia kijana mfia CCM huku ikiwakumbatia wenye sera na itikadi za ubinafsi na juzi lema ameanza kuwakejeri vijana kwa ajira zao halali za bodaboda.
Urafiki na wahuni na wababaishaji hauwezi kumsaidia kwenye siasa za Tanzania. CCM msingi wake ni kutetea maslahi ya umma na sio kuwafutia kesi wakimbizi bandia na vibaraka wa mabeberu.
Hayo ni matumizi mabaya ya madaraka kwa kiongozi anayetokana na chama cha mapinduzi.
#Aliyekutwa na kesi ya kujibu na mahakama yuko nje ,aliyekutwa hana hatia na mahakama yuko ndani! Only in Tanzania.
Mtu kama Lema na itikadi zake za ubinafsi unajidai kumpenda ili alete nini CCM? Watu wabinafsi wenye sera ya ulafi ujambazi wana faida gani CCM? Sabaya amepambana kuimarisha chama kwa vitendo. Ameonesha kutetea maslahi ya umma hadi kuhatarisha maisha yake.
Nani anabisha kama jimbo la hai mbowe alikuwa analishikilia kwa vitisho na hila dhidi ya wapinzani wake. Aligeuza kama mali yake na yeye ndio Sultani. Leo hii Sabaya anateseka kwa kulipwa kisasi na hao mafisadi kwa kusaidiwa na dola.
Licha ya Mahakama kumkuta hana kosa dola ya Rais Samia bado inaendelea kumshikilia kijana mfia CCM huku ikiwakumbatia wenye sera na itikadi za ubinafsi na juzi lema ameanza kuwakejeri vijana kwa ajira zao halali za bodaboda.
Urafiki na wahuni na wababaishaji hauwezi kumsaidia kwenye siasa za Tanzania. CCM msingi wake ni kutetea maslahi ya umma na sio kuwafutia kesi wakimbizi bandia na vibaraka wa mabeberu.
Hayo ni matumizi mabaya ya madaraka kwa kiongozi anayetokana na chama cha mapinduzi.
#Aliyekutwa na kesi ya kujibu na mahakama yuko nje ,aliyekutwa hana hatia na mahakama yuko ndani! Only in Tanzania.