MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
"Nilimpigia Simu Waziri Simbachawene na kumwelezea kilichotokea Kwanza alishangaa na Kusikitishwa mno na Maamuzi ya IGP Sirro na Polisi wake", James Mbatia NCCR- Mageuzi.
Mama ( Mheshimiwa Rais ) unamchelewesha sana huyu IGP Sirro kumbadilisha kwani tunajua Barua zake za kuomba Kustaafu zipo nyingi tu hapo Ikulu tokea Kipindi cha Hayati Rais Dkt. Magufuli na sijui kwanini bado mpo nae.
Na tokea nimjue ni Shabiki Mwandamizi wa Timu Moja hivi nisiyoipenda Tanzania na Duniani yenye Wajukuu wengi wa Franco Luanzo Makiadi na Mobutu Seseseko Kuku wa Zabanga ndiyo nimemchukia zaidi japo Wote ni wala Sato na Sangara.
Mama ( Mheshimiwa Rais ) unamchelewesha sana huyu IGP Sirro kumbadilisha kwani tunajua Barua zake za kuomba Kustaafu zipo nyingi tu hapo Ikulu tokea Kipindi cha Hayati Rais Dkt. Magufuli na sijui kwanini bado mpo nae.
Na tokea nimjue ni Shabiki Mwandamizi wa Timu Moja hivi nisiyoipenda Tanzania na Duniani yenye Wajukuu wengi wa Franco Luanzo Makiadi na Mobutu Seseseko Kuku wa Zabanga ndiyo nimemchukia zaidi japo Wote ni wala Sato na Sangara.