johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Rais Samia amesema hayati Mkapa ndiye aliyeinua uchumi wa nchi yetu baada ya kuishirikisha sekta binafsi kikamilifu
Rais Samia amesema unapotaka kuingia Uchumi wa nchi ushiriki wa sekta binafsi hauepukiki
Chanzo: ITV habari
Rais Samia amesema unapotaka kuingia Uchumi wa nchi ushiriki wa sekta binafsi hauepukiki
Chanzo: ITV habari