Rais Samia: Hayati Magufuli alisema liwalo na liwe lazima tujenge bwawa

Kulwa Jilala

JF-Expert Member
Sep 6, 2022
3,510
7,755
Rais Samia leo wakati anazindua ujazwaji wa maji kwenye bwawa la kufua umeme la Mwl Nyerere amesema wakati wa awamu ya tano iliyokuwa inaongozwa na Hayati Magufuli pamoja na kwamba waliamua liwalo na liwe lakini akiwa makamu wa rais alishuhudia mikikimikiki mingi pamoja na hujuma mbalimbali zilizokuwa zinafanywa na watu ili kukwamisha mradi huo.!
Kwa kuwa taifa haliwezi kupona kwa kukaliana kimya na kusitiliana tunamuomba Rais Samia awataje hadharani wote waliokuwa wanashiriki kuhujumu mradi huo ili watanzania wawashughulikie na mbeleni isije ikajitokeza tena tabia kama hiyo. Haiwezekani tusomeshe watanzania kwa kodi zetu alafu wakishamaliza kusoma badala ya kuwasaidia watanzania wao wanaenda kuungana na mabeberu kuwanyonya na kuwaibia watanzania wenzao!!

Kuna shutuma mbalimbali kuwa akina Zito Kabwe, Mbowe, Lema ,John Heche, Nape Nauye, Tundu Lisu walikuwa wanahujumu mradi huu kwa lengo la kumkomoa Magufuli bila kujua kuwa huo ni mradi wa watanzania na siyo wa Magufuli.


 
Rais Samia leo wakati anazindua ujazwaji wa maji kwenye bwawa la kufua umeme la Mwl Nyerere amesema wakati wa awamu ya tano iliyokuwa inaongozwa na Hayati Magufuli pamoja na kwamba waliamua liwalo na liwe lakini akiwa makamu wa rais alishuhudia mikikimikiki mingi pamoja na hujuma mbalimbali zilizokuwa zinafanywa na watu ili kukwamisha mradi huo.!
Kwa kuwa taifa haliwezi kupona kwa kukaliana kimya na kusitiliana tunamuomba Rais Samia awataje hadharani wote waliokuwa wanashiriki kuhujumu mradi huo ili watanzania wawashughulikie na mbeleni isije ikajitokeza tena tabia kama hiyo. Haiwezekani tusomeshe watanzania kwa kodi zetu alafu wakishamaliza kusoma badala ya kuwasaidia watanzania wao wanaenda kuungana na mabeberu kuwanyonya na kuwaibia watanzania wenzao!!

Kuna shutuma mbalimbali kuwa akina Zito Kabwe, Mbowe, Lema ,John Heche, Nape Nauye, Tundu Lisu walikuwa wanahujumu mradi huu kwa lengo la kumkomoa Magufuli bila kujua kuwa huo ni mradi wa watanzania na siyo wa Magufuli.


Hao ulio wataja Raisi hakuwataja wewe ndo unawataja hapo ndo umeonyesha uko upande wa sukuma gang, ilio tuingizia hasara kubwa bila kufanya feasibility study kaanzisha project kubwa hivo ambao itakua na matunda mama anaangaika kuifanya reality ila tu.
 
Rais Samia leo wakati anazindua ujazwaji wa maji kwenye bwawa la kufua umeme la Mwl Nyerere amesema wakati wa awamu ya tano iliyokuwa inaongozwa na Hayati Magufuli pamoja na kwamba waliamua liwalo na liwe lakini akiwa makamu wa rais alishuhudia mikikimikiki mingi pamoja na hujuma mbalimbali zilizokuwa zinafanywa na watu ili kukwamisha mradi huo.!
Kwa kuwa taifa haliwezi kupona kwa kukaliana kimya na kusitiliana tunamuomba Rais Samia awataje hadharani wote waliokuwa wanashiriki kuhujumu mradi huo ili watanzania wawashughulikie na mbeleni isije ikajitokeza tena tabia kama hiyo. Haiwezekani tusomeshe watanzania kwa kodi zetu alafu wakishamaliza kusoma badala ya kuwasaidia watanzania wao wanaenda kuungana na mabeberu kuwanyonya na kuwaibia watanzania wenzao!!

Kuna shutuma mbalimbali kuwa akina Zito Kabwe, Mbowe, Lema ,John Heche, Nape Nauye, Tundu Lisu walikuwa wanahujumu mradi huu kwa lengo la kumkomoa Magufuli bila kujua kuwa huo ni mradi wa watanzania na siyo wa Magufuli.



Ni MAKAMBA kupitia wizara ya mazingira, na ndo huyo huyo ametuagiza crane la mchongo la 26 tonnes Kwa billion of shs.
 
Hao ulio wataja Raisi hakuwataja wewe ndo unawataja hapo ndo umeonyesha uko upande wa sukuma gang, ilio tuingizia hasara kubwa bila kufanya feasibility study kaanzisha project kubwa hivo ambao itakua na matunda mama anaangaika kuifanya reality ila tu.
Usoni ni mtu, kichwani ni kopo.
 
Ulikusudia kumsifia Magufuli ktk uzi huu. Lakini usichokijua ni kwamba Magufuli ndiye aliyelifikisha taifa kwenye mkwamo huu wa kiuchumi.
 
Kuna shutuma mbalimbali kuwa akina Zito Kabwe, Mbowe, Lema ,John Heche, Nape Nauye, Tundu Lisu walikuwa wanahujumu mradi huu kwa lengo la kumkomoa Magufuli bila kujua kuwa huo ni mradi wa watanzania na siyo wa Magufuli.
Acheni kuwasingizia kina Zitto. Huu mradi ulipingwa na jumuia za kimataifa kwa sababu za mazingira. Na hadi leo unapingwa ila Tanzania imeamua liwalo na liwe. Na kwa kuwa tuna gesi, kuutekeleza kilikuwa kiburi tu cha Magufuli kujifanya hapangiwi na mtu.

Halafu hiki kiburi cha viongozi wetu kuamua liwalo na liwe ndio linaleta ndege kukamatwa halafu mnaanza kulia. Hii dunia imekuwa kijiji, huwezi kujifanya wewe ndio wewe katika dunia hii ya globalization. Putin na umwamba wake anapigwa kwa kuamua liwalo na liwe, na hat hayo mafuta na gesi yake kuna wasiwasi baada ya miaka miwili vitamdodea asiwe na hata sehemu ya kuviuza. Sembuse Tanzania, kijisungusungu mnajifanya wa kuwakomalia jumuiya za kimataifa?
 
Acheni kuwasingizia kina Zitto. Huu mradi ulipingwa na jumuia za kimataifa kwa sababu za mazingira. Na hadi leo unapingwa ila Tanzania imeamua liwalo na liwe. Na kwa kuwa tuna gesi, kuutekeleza kilikuwa kiburi tu cha Magufuli kujifanya hapangiwi na mtu.

Halafu hiki kiburi cha viongozi wetu kuamua liwalo na liwe ndio linaleta ndege kukamatwa halafu mnaanza kulia. Hii dunia imekuwa kijiji, huwezi kujifanya wewe ndio wewe katika dunia hii ya globalization. Putin na umwamba wake anapigwa kwa kuamua liwalo na liwe, na hat hayo mafuta na gesi yake kuna wasiwasi baada ya miaka miwili vitamdodea asiwe na hata sehemu ya kuviuza. Sembuse Tanzania, kijisungusungu mnajifanya wa kuwakomalia jumuiya za kimataifa?
Watoto wa Lisu ni raia wa wapi??
 
Watoto wa Lisu ni raia wa wapi??
Watoto wa Lissu wanaweza kuwa raia wa Marekani kwa kuzaliwa. Huwa iko hivi, mtoto anapozaliwa nje ya nchi, anaweza kuwa na uraia wa nchi alikozaliwa hadi atakapofikisha miaka 18.

Kwa hiyo japo watoto wa Lissu wanaweza hata kuwa na passport za Tanzania, na hata kusoma Tanzania kama raia, haiwafanyi kuwa raia wa Tanzania rasmi. Watakapofika miaka 18 Tanzania itawataka wachague kuwa raia wa Tanzania au Marekani. Wakisema wanachagua Marekani, basi watakuwa wamejifuta rasmi kutambuliwa kuwa Watanzania na passport zao zitafutwa. Wakisema wanataka kuwa raia wa Tanzania wataambiwa waukane rasmi uraia wa Marekani.

Kwa hiyo kwa sasa Mtanzania mwenye namna fulani ya uraia pacha ni yule tu alie chini ya miaka 18 aliezaliwa kwenye nchi ambako ukizaliwa huko unakuwa automatically raia wa nchi hiyo, lakini ukifika miaka 18 lazima uraia wako urasimishwe.

UKiwa na miaka zaidi ya 18 na una passport ya Tanzania na nchi nyingine, kwa Tanzania hilo ni kosa la jinai, utawekwa kwa kuwa na passport ya kughushi hata kama ulipewa na uhamiaji, na ukiwa Tanzania utakamatwa na kupewa saa 24 kuondoka nchini

Ndio maana kina Generali Ulimwengu waliambiwa sio raia. Ina maana alizaliwa nje ya Tanzania na hakuwahi kurasimisha uraia wake wa Tanzania. UKiwa na mtoto aliezaliwa nje ya nchi hakikisha unarasimisha uraia wake wa Tanzania akifika miaka 18. Ndio hao utasikia wanaambiwa sio raia wa Tanzania, waombe rasmi, halafu watu wanasema wanaonewa! Mara nyingi inagundulika unapoanza kugombea vyeo au kuteuliwa, lakini kikubwa ni birth certificate
 
Acheni kuwasingizia kina Zitto. Huu mradi ulipingwa na jumuia za kimataifa kwa sababu za mazingira. Na hadi leo unapingwa ila Tanzania imeamua liwalo na liwe. Na kwa kuwa tuna gesi, kuutekeleza kilikuwa kiburi tu cha Magufuli kujifanya hapangiwi na mtu.

Halafu hiki kiburi cha viongozi wetu kuamua liwalo na liwe ndio linaleta ndege kukamatwa halafu mnaanza kulia. Hii dunia imekuwa kijiji, huwezi kujifanya wewe ndio wewe katika dunia hii ya globalization. Putin na umwamba wake anapigwa kwa kuamua liwalo na liwe, na hat hayo mafuta na gesi yake kuna wasiwasi baada ya miaka miwili vitamdodea asiwe na hata sehemu ya kuviuza. Sembuse Tanzania, kijisungusungu mnajifanya wa kuwakomalia jumuiya za kimataifa?
Acha kuabudu hizo jumuia za kimataifa sasa tumetekeleza hizo jumuia ziendelee kulalamika
 
Acheni kuwasingizia kina Zitto. Huu mradi ulipingwa na jumuia za kimataifa kwa sababu za mazingira. Na hadi leo unapingwa ila Tanzania imeamua liwalo na liwe. Na kwa kuwa tuna gesi, kuutekeleza kilikuwa kiburi tu cha Magufuli kujifanya hapangiwi na mtu.

Halafu hiki kiburi cha viongozi wetu kuamua liwalo na liwe ndio linaleta ndege kukamatwa halafu mnaanza kulia. Hii dunia imekuwa kijiji, huwezi kujifanya wewe ndio wewe katika dunia hii ya globalization. Putin na umwamba wake anapigwa kwa kuamua liwalo na liwe, na hat hayo mafuta na gesi yake kuna wasiwasi baada ya miaka miwili vitamdodea asiwe na hata sehemu ya kuviuza. Sembuse Tanzania, kijisungusungu mnajifanya wa kuwakomalia jumuiya za kimataifa?
Kaujinga kako ndio kipaji, ungewaelewa hao wajinga wenzio unao waita jumuiya ya kimataifa usinge watetea asilani abadani. Hakuna nguruwe anae itakia mema Afrika... hayupo na ikitokea umekuja na suluhu fulani wataibomoa kwa maneno mpaka kenge aina yako watawaunga mkono.
 
Kaujinga kako ndio kipaji, ungewaelewa hao wajinga wenzio unao waita jumuiya ya kimataifa usinge watetea asilani abadani. Hakuna nguruwe anae itakia mema Afrika... hayupo na ikitokea umekuja na suluhu fulani wataibomoa kwa maneno mpaka kenge aina yako watawaunga mkono.
Mpe shule huyo
 
Kaujinga kako ndio kipaji, ungewaelewa hao wajinga wenzio unao waita jumuiya ya kimataifa usinge watetea asilani abadani. Hakuna nguruwe anae itakia mema Afrika... hayupo na ikitokea umekuja na suluhu fulani wataibomoa kwa maneno mpaka kenge aina yako watawaunga mkono.
Kuna msemo wa kiingereza juu ya watu ambao hawana uwezo wa kuona mbali zaidi ya mwisho wa pua zao - watu hao ni kama wewe.
 
Back
Top Bottom