Rais Samia haropoki hana temper ni vitendo tu

Rais Samia haropoki hana temper ni vitendo tu

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
11,718
Reaction score
27,812
Mwanza ,as cold as January ungekuwa Europe ungeweza kusema hivyo ,huyu mama hapigi mayowe hakaripii mikutanoni habishani na wenye jazba ila Kuna watu wanaumia na kushtuka.

Walimwegu husema ogopa mtu asiyekujibu ukimtishia ,asiyekutukana ukimtukana ,asiyejibu hoja za chuki huwa anafanya kwa weledi wa hali ya juu.


Nikipomsikia Mdude akitukana,Mbowe akimfokea, Heche akimtishia,Lissu akimdhihaki nilihofu sana yeye akijibu kwa vitendo maana vitendo husema sana kuliko maneno.

Mtu dhaifu hupiga kelele nyingi aonekanane ananguvu aogopwe Ila mtu jasiri hujibu kwa staha na kujiamini,

Tunaojua nguvu ya Rais wa Tanzania (hata chadema waliwahi kukiri) tulishangaa matusi Yale na kejeri tukasema Mungu ampe Rais maamuzi ya busara na Sasa amejibu kwa busara, ametumia nguvu kidogo kudhihirisha mamlaka aliyonayo.

Kidumu Chama cha Mapinduzi


USSR
 
Hawa jamaa wa CHADEMA ni WAPUMBAVU sana. Mama alikuwa upande wao wakarudishiwa hadi milioni 300, wakazunguka kila kona wakifanya mikutano. Na yule Mdude wao akaachiwa wakati ushahidi wa kumfunga ulikuwepo, akaanza jeuri eti nitamnyoa kama mtangulizi wake.

Mbowe naye akaota mapembe akaanza maneno ya jeuri, mama akaona kumbe hawa sio wa kuwachekea hata kidogo. Walivyo wapuuzi hawaheshimu hata sikukuu ya waislamu wanaitisha makongamano ya katiba siku ya Iddi. Acha waonje joto ya jiwe tu.
 
Hawa jamaa wa CDM ni WAPUMBAVU sana. Mama alikuwa upande wao wakarudishiwa hadi milioni 300, wakazunguka kila kona wakifanya mikutano. Na yule Mdude wao akaachiwa wakati ushahidi wa kumfunga ulikuwepo, akaanza jeuri eti nitamnyoa kama mtangulizi wake. Mbowe naye akaota mapembe akaanza maneno ya jeuri, mama akaona kumbe hawa sio wa kuwachekea hata kidogo. Walivyo wapuuzi hawaheshimu hata sikukuu ya waislamu wanaitisha makongamano ya katiba siku ya Iddi. Acha waonje joto ya jiwe tu.
Nakubaliana na wewe hawa wamezingua hasa mbowe kujibu kiujeuri na yule mdude
 
Hawa jamaa wa CDM ni WAPUMBAVU sana. Mama alikuwa upande wao wakarudishiwa hadi milioni 300, wakazunguka kila kona wakifanya mikutano. Na yule Mdude wao akaachiwa wakati ushahidi wa kumfunga ulikuwepo, akaanza jeuri eti nitamnyoa kama mtangulizi wake. Mbowe naye akaota mapembe akaanza maneno ya jeuri, mama akaona kumbe hawa sio wa kuwachekea hata kidogo. Walivyo wapuuzi hawaheshimu hata sikukuu ya waislamu wanaitisha makongamano ya katiba siku ya Iddi. Acha waonje joto ya jiwe tu.
Million 300 zimerudishwa baada ya CDM kuigaragaza serikali kwenye rufaa sio favor hii.
 
nafikiri haya makongamano yaende Arusha na Moshi huko yafanyike hata miaka miwili kwanza na yakiisha huko na kuelewekeka yahamie Dar es salaam tena mwaka mzima mkimaliza huko mrudi tena Arusha na Moshi wengine wataelewa tu taratiiiibu... Yaani Arusha na Moshi wafanye kazi huku Mwanza in two weeks watu wakae kwenye tension na wasifanye kazi...
 
Mwanza ,as cold as January ungekuwa Europe ungeweza kusema hivyo ,huyu mama hapigi mayowe hakaripii mikutanoni habishani na wenye jazba ila Kuna watu wanaumia na kushtuka.

Walimwegu husema ogopa mtu asiyekujibu ukimtishia ,asiyekutukana ukimtukana ,asiyejibu hoja za chuki huwa anafanya kwa weledi wa hali ya juu.


Nikipomeikia mdude akitukana,mbowe akimfokea, Heche akimtishia,lisu akimdhihaki nilihofu Sana yeye akijibu kwa vitendo maana vitendo husema sana kuliko maneno.

Mtu dhaifu hupiga kelele nyingi aonekanane ananguvu aogopwe Ila mtu jasiri hujibu kwa staha na kujiamini,

Tunaojua nguvu ya rais wa Tanzania (hata chadema waliwahi kukiri) tulishangaa matusi Yale na kejeri tukasema Mungu ampe rais maamuzi ya busara na Sasa amejibu kwa busara ,ametumia nguvu kidogo kudhihirisha mamlaka aliyonayo


Kidumu chama cha mapinduzi


USSR
Wewe mpummbafu kweli - imbecile, nenda Mirembe hospital ukatibiwe, akili ya kuku kabisa
 
Mwanza ,as cold as January ungekuwa Europe ungeweza kusema hivyo ,huyu mama hapigi mayowe hakaripii mikutanoni habishani na wenye jazba ila Kuna watu wanaumia na kushtuka.

Walimwegu husema ogopa mtu asiyekujibu ukimtishia ,asiyekutukana ukimtukana ,asiyejibu hoja za chuki huwa anafanya kwa weledi wa hali ya juu.


Nikipomeikia mdude akitukana,mbowe akimfokea, Heche akimtishia,lisu akimdhihaki nilihofu Sana yeye akijibu kwa vitendo maana vitendo husema sana kuliko maneno.

Mtu dhaifu hupiga kelele nyingi aonekanane ananguvu aogopwe Ila mtu jasiri hujibu kwa staha na kujiamini,

Tunaojua nguvu ya rais wa Tanzania (hata chadema waliwahi kukiri) tulishangaa matusi Yale na kejeri tukasema Mungu ampe rais maamuzi ya busara na Sasa amejibu kwa busara ,ametumia nguvu kidogo kudhihirisha mamlaka aliyonayo


Kidumu chama cha mapinduzi


USSR

Ipo siku huu uzi utakumbukwa
 
Back
Top Bottom