Rais Samia haropoki hana temper ni vitendo tu

Rais Samia haropoki hana temper ni vitendo tu

Mwanza ,as cold as January ungekuwa Europe ungeweza kusema hivyo ,huyu mama hapigi mayowe hakaripii mikutanoni habishani na wenye jazba ila Kuna watu wanaumia na kushtuka.

Walimwegu husema ogopa mtu asiyekujibu ukimtishia ,asiyekutukana ukimtukana ,asiyejibu hoja za chuki huwa anafanya kwa weledi wa hali ya juu.


Nikipomsikia Mdude akitukana,Mbowe akimfokea, Heche akimtishia,Lissu akimdhihaki nilihofu sana yeye akijibu kwa vitendo maana vitendo husema sana kuliko maneno.

Mtu dhaifu hupiga kelele nyingi aonekanane ananguvu aogopwe Ila mtu jasiri hujibu kwa staha na kujiamini,

Tunaojua nguvu ya Rais wa Tanzania (hata chadema waliwahi kukiri) tulishangaa matusi Yale na kejeri tukasema Mungu ampe Rais maamuzi ya busara na Sasa amejibu kwa busara, ametumia nguvu kidogo kudhihirisha mamlaka aliyonayo.

Kidumu Chama cha Mapinduzi


USSR
Hivi watu wote tungekuwa na roho ya kike kama wewe ingekuwaje,wako wako wamepewa uwezo Wa kutojinyeanyea kama wewe taga2.

KUMBAF.
 
Mwanza ,as cold as January ungekuwa Europe ungeweza kusema hivyo ,huyu mama hapigi mayowe hakaripii mikutanoni habishani na wenye jazba ila Kuna watu wanaumia na kushtuka.

Walimwegu husema ogopa mtu asiyekujibu ukimtishia ,asiyekutukana ukimtukana ,asiyejibu hoja za chuki huwa anafanya kwa weledi wa hali ya juu.


Nikipomsikia Mdude akitukana,Mbowe akimfokea, Heche akimtishia,Lissu akimdhihaki nilihofu sana yeye akijibu kwa vitendo maana vitendo husema sana kuliko maneno.

Mtu dhaifu hupiga kelele nyingi aonekanane ananguvu aogopwe Ila mtu jasiri hujibu kwa staha na kujiamini,

Tunaojua nguvu ya Rais wa Tanzania (hata chadema waliwahi kukiri) tulishangaa matusi Yale na kejeri tukasema Mungu ampe Rais maamuzi ya busara na Sasa amejibu kwa busara, ametumia nguvu kidogo kudhihirisha mamlaka aliyonayo.

Kidumu Chama cha Mapinduzi


USSR
Kipindi cha nyuma kulikua na rais mmoja akiongea unatamani kujificha uvunguni
 
Cdm wanazingua tatizo la waTz wengi kwa sasa ni Tozo....

Apo wangetingisha mwembe.....!
 
Wewe mpummbafu kweli - imbecile, nenda Mirembe hospital ukatibiwe, akili ya kuku kabisa

Ona kichaa Anapokula ugali na mbofu ya samaki wa pichani. Wewe kama sio mdude? Vipi mkuu mdude. Bado una mpango wa kumnyoa marehemu.
 
Ni mpumbavu pekee yake ndiye anayeweza kuamini nguvu zimewahi kishinda akili.

Kwenye hili, washindi ni CHADEMA. Baada ya miezi sita, utanielewa.

Siku zote ukitenda ambacho mpinzani wako alitarajia utatenda, ujue umeanguka.
 
Mwanza ,as cold as January ungekuwa Europe ungeweza kusema hivyo ,huyu mama hapigi mayowe hakaripii mikutanoni habishani na wenye jazba ila Kuna watu wanaumia na kushtuka.

Walimwegu husema ogopa mtu asiyekujibu ukimtishia ,asiyekutukana ukimtukana ,asiyejibu hoja za chuki huwa anafanya kwa weledi wa hali ya juu.


Nikipomsikia Mdude akitukana,Mbowe akimfokea, Heche akimtishia,Lissu akimdhihaki nilihofu sana yeye akijibu kwa vitendo maana vitendo husema sana kuliko maneno.

Mtu dhaifu hupiga kelele nyingi aonekanane ananguvu aogopwe Ila mtu jasiri hujibu kwa staha na kujiamini,

Tunaojua nguvu ya Rais wa Tanzania (hata chadema waliwahi kukiri) tulishangaa matusi Yale na kejeri tukasema Mungu ampe Rais maamuzi ya busara na Sasa amejibu kwa busara, ametumia nguvu kidogo kudhihirisha mamlaka aliyonayo.

Kidumu Chama cha Mapinduzi


USSR
Subiri umuone anavyokutana na upinzani mdanganyeni tu na ataharibu hujawahi ona
 
Back
Top Bottom