Amani ya kuuwa raia!“Ulinzi imara ndio msingi wa amani na maendeleo ya nchi yetu.” Samia Suluhu Hassan
Katafute haki uvira congomlionae jirani mwambieni sio amani bali HAKI........
Ukileta ucenge unafumuliwa komwe Ili wengine waendelee kuishi kwa amaniAmani ya kuuwa raia!
Mbona neno 'HAKI' wanalikimbia/hawalisemi sana badala yake wanalitanguliza sana neno 'AMANI'??!!“Ulinzi imara ndio msingi wa amani na maendeleo ya nchi yetu.” Samia Suluhu Hassan
Kabisa mkuu. Kama ni dhambi Mungu atusamehe, ccm na huu uongozi vinatupa maumivu makali sanaIfike mahali mwenyezi Mungu naye atusamehe tu dhambi zetu huko peponi sisi watanzania, uongozi tulionao huku ni adhabu tosha kabisa.
AMANI tuko nayo tangu uhuru ila HAKI imepotea kwa sasa ndo maana hii AMANI wanayoihubiri iko mashakani na ndo maana kila mara wanaihubiri AMANI bila kugusa HAKI kwasababu wanajua hawatendi HAKI kwa raia wao.HAKUNA AMANI BILA HAKI.AMANI BILA HAKI NI UWOGA
amani ipi?Ukileta ucenge unafumuliwa komwe Ili wengine waendelee kuishi kwa amani
Sio kweli ukishamwaga damu hauwezi kupata amani ya kweli, bila wahanga kulipiza kisasi. Angalia nchi zote zilizomwaga damu kama zimetulia?Ukileta ucenge unafumuliwa komwe Ili wengine waendelee kuishi kwa amani
angekuwa amefumuliwa marinda mama yako ungepanua huo mdomo wakoUkileta ucenge unafumuliwa komwe Ili wengine waendelee kuishi kwa amani
Hakuna amani bila haki“Ulinzi imara ndio msingi wa amani na maendeleo ya nchi yetu.” Samia Suluhu Hassan