Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,641
- 1,536
Rais wetu na vyombo vya ulinzi na usalama nchini,
Salaàm!
Nimefuatilia mienendo ya kukijenga chama cha CDM hapa nchini - iko wazi kuwa CDM wanatumia njia hiyo kama sehemu ya haki yao ya kukusanyika, kuandamana, kuongea na kutoa maoni.
Kinachonipa mashaka ni iwapo wanatumia forum HIYO kistarabu
* Kashfa kwa baadhi ya viongozi waliofariki zimekuwa nyingi;
* Kashfa kwa viongozi walioko madarakani zimekuwa nyingi - hususan uzanzibari, kuondolewa kwa maasai ngorongoro, dp world nk
Maridhiano si matusi, dhihaka na kuzua uongo. CDM wasipodhibitiwa mapema hapo baadae watajenga usugu.
Salaàm!
Nimefuatilia mienendo ya kukijenga chama cha CDM hapa nchini - iko wazi kuwa CDM wanatumia njia hiyo kama sehemu ya haki yao ya kukusanyika, kuandamana, kuongea na kutoa maoni.
Kinachonipa mashaka ni iwapo wanatumia forum HIYO kistarabu
* Kashfa kwa baadhi ya viongozi waliofariki zimekuwa nyingi;
* Kashfa kwa viongozi walioko madarakani zimekuwa nyingi - hususan uzanzibari, kuondolewa kwa maasai ngorongoro, dp world nk
Maridhiano si matusi, dhihaka na kuzua uongo. CDM wasipodhibitiwa mapema hapo baadae watajenga usugu.