ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,109
- 49,811
Habari zenu..
Jarida la Forbes linalochapisha masuala makubwa Duniani,Limemtaja Rais wa Tanzania Dr.Samia kuwa Miongoni mwa wanawake 100 Wenye Ushawishi Mkubwa Duniani.
Katika toleo lake la mwaka 2022,Dr.Samia Yuko Kumi Bora.Hii sio tuu kwamba inampa sifa binafsi Rais Wetu Bali inaipa Nchi fursa ya kufuatilia zaidi na sauti kwenye nyanja za Diplomasia na Biashara hivyo kuongezeka Kwa ushawishi wa Rais Samia ni royal tour nyingine..
Hongera sana kwake na hongera Kwa
Tanzania,unastahili zaidi..
Jarida la Forbes linalochapisha masuala makubwa Duniani,Limemtaja Rais wa Tanzania Dr.Samia kuwa Miongoni mwa wanawake 100 Wenye Ushawishi Mkubwa Duniani.
Katika toleo lake la mwaka 2022,Dr.Samia Yuko Kumi Bora.Hii sio tuu kwamba inampa sifa binafsi Rais Wetu Bali inaipa Nchi fursa ya kufuatilia zaidi na sauti kwenye nyanja za Diplomasia na Biashara hivyo kuongezeka Kwa ushawishi wa Rais Samia ni royal tour nyingine..
Hongera sana kwake na hongera Kwa
Tanzania,unastahili zaidi..