Huyu mama ni zawadi ya upendeleo kwa watz ni Mungu tu katupendelea imagine tuna viwanda vingi kuliko Japan, America na Germany.Tunaongoza kwa mauzo ya nje yaan exports kwa Africa nzima. Pia tuna unemployment rate ndogo kuliko nchi zote Africa na Asia at 12%. Pia tunaimport kwa kias kidogo kuliko nchi zote Africa. Tuna stable source of energy yaan umeme haukatiki kwa juhudi za mama za kumalizia bwawa la Nyerere