Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,812
- 156,946
Wakuu si tumekubaliana tusimtaje tena mutu yule?... ukisikia kupumzika sasa ndio huku baada ya kazi kubwa iliyobadilisha kabisa mtazamo na matumaini ya wananchi in a very positive way ndani ya muda mfupi! Sio jitu linatoka kufukarisha na kukatisha wananchi tamaa halafu eti liko mapumzikoni; so what?