Rais Samia anadanganywa sana. Anapanga safu ya mstaafu bila kujua

Rais Samia anadanganywa sana. Anapanga safu ya mstaafu bila kujua

Sheikh Yahaya alitabiri 2025 upinzani unachukua nchi ,upinzani wenyewe utatoka ndani ya wanaccm wenyewe
Tusiongee sana kuhusu hili, watu wanajipanga kimyakimya mwishoni mwaka 2024 tutashuhudia mengi sana.

Kama unafahamu elimu ya Mama yetu huyu naomba uweke hapa boss, maana kuna vitu vinatendeka hadi unajiuliza why this?
 
Huyu Mama badala ya kutengeneza mfumo wake, lakni yupo kumjengea mtu fulani, hatoamini macho yake 2025.

Mwenye kujua elimh ya Rais wetu tunaomba atuwekee pia, maana kuna vitu vinafanyika hadi unajiuliza zile briefing anazopelekewa kila siku anazipitia kweli?

Sijaulizia ELIMU yake kwa bahati mbaya?
Kama mambo yataenda hivi 2025 si njema sana maana hata walala hoi wanalalamika
 
Ukiangalia mabadiliko aliyoyafanya ya baraza la mawaziri na makatibu wakuu wa wizara amefanya kwa kudanganywa .
Si kweli kwa maoni yangu kwamba proffessor Palamagamba ,Willium Lukuvi,Goefrey Mwambe,Kitlya Mkumbo,na Mwita Waitara ndio tishio na wanajipanga kwa urais 2025.
Kwanza kuutamani urais si dhambi .hata yeye ni mmoja Kati ya wanaoutamani urais kuendelea nao siku zijazo (kanogewa)

Tujiulize ,hivi kuna vijana wanaoutamani urais kuliko January Makamba ,Mwigulu Nchemba na Ridhiwani kikwete?

Rais ameingizwa chaka ,katoa wasaidizi muhimu ,na kaingiza kundi lenye uchu wa madaraka litamsumbua sana huko mbeleni.

Kundi hilo wanahakikisha kila wanaemuona ni kikwazo kwao, humdanganya rais Samia ya kuwa anahujumiwa ili njia iwe nyepesi kwao.
Hebu tuone haya mabadiliko yaliofanywa na Jakaya Kikwete kama ya na maslahi kwa taifa ,muda utaongea soon
Mtu mmoja ana watoto wawili ambao ni mawaziri?
 
Ukiangalia mabadiliko aliyoyafanya ya baraza la mawaziri na makatibu wakuu wa wizara amefanya kwa kudanganywa .
Si kweli kwa maoni yangu kwamba proffessor Palamagamba ,Willium Lukuvi,Goefrey Mwambe,Kitlya Mkumbo,na Mwita Waitara ndio tishio na wanajipanga kwa urais 2025.
Kwanza kuutamani urais si dhambi .hata yeye ni mmoja Kati ya wanaoutamani urais kuendelea nao siku zijazo (kanogewa)

Tujiulize ,hivi kuna vijana wanaoutamani urais kuliko January Makamba ,Mwigulu Nchemba na Ridhiwani kikwete?

Rais ameingizwa chaka ,katoa wasaidizi muhimu ,na kaingiza kundi lenye uchu wa madaraka litamsumbua sana huko mbeleni.

Kundi hilo wanahakikisha kila wanaemuona ni kikwazo kwao, humdanganya rais Samia ya kuwa anahujumiwa ili njia iwe nyepesi kwao.
Hebu tuone haya mabadiliko yaliofanywa na Jakaya Kikwete kama ya na maslahi kwa taifa ,muda utaongea soon
Kwanini mnalazimisha kutuaminisha kwamba SSH hana macho, masikio, akili au busara? Kwamba haoni na wala hajui anachokifanya? Kwahiyo anafanyiwa kila kitu? Amekuwa gogo au mfu? Kwahiyo ndani ya chama mtu anaweza kufikia hatua ya kuwa mwanachama, mbunge, waziri na akapanda hadi kufikia ngazi ya makamu wa Rais bila cha akili wala hekima? Acheni kutuchosha kwa hoja za ajabu ajabu!
 
Ukiangalia mabadiliko aliyoyafanya ya baraza la mawaziri na makatibu wakuu wa wizara amefanya kwa kudanganywa .
Si kweli kwa maoni yangu kwamba proffessor Palamagamba ,Willium Lukuvi,Goefrey Mwambe,Kitlya Mkumbo,na Mwita Waitara ndio tishio na wanajipanga kwa urais 2025.
Kwanza kuutamani urais si dhambi .hata yeye ni mmoja Kati ya wanaoutamani urais kuendelea nao siku zijazo (kanogewa)

Tujiulize ,hivi kuna vijana wanaoutamani urais kuliko January Makamba ,Mwigulu Nchemba na Ridhiwani kikwete?

Rais ameingizwa chaka ,katoa wasaidizi muhimu ,na kaingiza kundi lenye uchu wa madaraka litamsumbua sana huko mbeleni.

Kundi hilo wanahakikisha kila wanaemuona ni kikwazo kwao, humdanganya rais Samia ya kuwa anahujumiwa ili njia iwe nyepesi kwao.
Hebu tuone haya mabadiliko yaliofanywa na Jakaya Kikwete kama ya na maslahi kwa taifa ,muda utaongea soon
Mabadiliko aliyokuwa anayafanya Magu yalikuwa ya nani? Maana mmekomaa na JK kweli. Hiyo imetoka wapumzike tu!
 
Ukiangalia mabadiliko aliyoyafanya ya baraza la mawaziri na makatibu wakuu wa wizara amefanya kwa kudanganywa .
Si kweli kwa maoni yangu kwamba proffessor Palamagamba ,Willium Lukuvi,Goefrey Mwambe,Kitlya Mkumbo,na Mwita Waitara ndio tishio na wanajipanga kwa urais 2025.
Kwanza kuutamani urais si dhambi .hata yeye ni mmoja Kati ya wanaoutamani urais kuendelea nao siku zijazo (kanogewa)

Tujiulize ,hivi kuna vijana wanaoutamani urais kuliko January Makamba ,Mwigulu Nchemba na Ridhiwani kikwete?

Rais ameingizwa chaka ,katoa wasaidizi muhimu ,na kaingiza kundi lenye uchu wa madaraka litamsumbua sana huko mbeleni.

Kundi hilo wanahakikisha kila wanaemuona ni kikwazo kwao, humdanganya rais Samia ya kuwa anahujumiwa ili njia iwe nyepesi kwao.
Hebu tuone haya mabadiliko yaliofanywa na Jakaya Kikwete kama ya na maslahi kwa taifa ,muda utaongea soon
umeshasema hakuna asie na uchu wa madaraka. mwache apange team yake.
 
Kwanini mnalazimisha kutuaminisha kwamba SSH hana macho, masikio, akili au busara? Kwamba haoni na wala hajui anachokifanya? Kwahiyo anafanyiwa kila kitu? Amekuwa gogo au mfu? Kwahiyo ndani ya chama mtu anaweza kufikia hatua ya kuwa mwanachama, mbunge, waziri na akapanda hadi kufikia ngazi ya makamu wa Rais bila cha akili wala hekima? Acheni kutuchosha kwa hoja za ajabu ajabu!
Wewe na mama yako ni hope less
 
Ukiangalia mabadiliko aliyoyafanya ya baraza la mawaziri na makatibu wakuu wa wizara amefanya kwa kudanganywa .
Si kweli kwa maoni yangu kwamba proffessor Palamagamba ,Willium Lukuvi,Goefrey Mwambe,Kitlya Mkumbo,na Mwita Waitara ndio tishio na wanajipanga kwa urais 2025.
Kwanza kuutamani urais si dhambi .hata yeye ni mmoja Kati ya wanaoutamani urais kuendelea nao siku zijazo (kanogewa)

Tujiulize ,hivi kuna vijana wanaoutamani urais kuliko January Makamba ,Mwigulu Nchemba na Ridhiwani kikwete?

Rais ameingizwa chaka ,katoa wasaidizi muhimu ,na kaingiza kundi lenye uchu wa madaraka litamsumbua sana huko mbeleni.

Kundi hilo wanahakikisha kila wanaemuona ni kikwazo kwao, humdanganya rais Samia ya kuwa anahujumiwa ili njia iwe nyepesi kwao.
Hebu tuone haya mabadiliko yaliofanywa na Jakaya Kikwete kama ya na maslahi kwa taifa ,muda utaongea soon
Unazungumza kirahisi sana! Siyo sahihi kabisa,nchi ina Rais na Amiri Jeshi Mkuu mwenye full power kikatiba halafu unasema Baraza la Mawaziri la Rais mstaafu Mzee Kikwete? Tafadhali!

Hivi mfumo unaongoza dola uko rahisi kihivyo upate amri na maelekezo kutoka kwa Rais mstaafu? Huu siyo Uhuru wa maoni. Hamjui tu maandishi kama haya ya upotoshaji yanasambaza sumu kali sana mitaani kwa watu wasiojua kuchuja habari.
 
MKOA WA PWANI una MAWAZIRI 5 katika Baraza jipya.
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze

2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji

3. Jafo Mbunge wa Kisarawe

4. Kipanga Mbunge wa Mafia

5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga

Msoga Oyeeee
 
Ukiangalia mabadiliko aliyoyafanya ya baraza la mawaziri na makatibu wakuu wa wizara amefanya kwa kudanganywa .
Si kweli kwa maoni yangu kwamba proffessor Palamagamba ,Willium Lukuvi,Goefrey Mwambe,Kitlya Mkumbo,na Mwita Waitara ndio tishio na wanajipanga kwa urais 2025.
Kwanza kuutamani urais si dhambi .hata yeye ni mmoja Kati ya wanaoutamani urais kuendelea nao siku zijazo (kanogewa)

Tujiulize ,hivi kuna vijana wanaoutamani urais kuliko January Makamba ,Mwigulu Nchemba na Ridhiwani kikwete?

Rais ameingizwa chaka ,katoa wasaidizi muhimu ,na kaingiza kundi lenye uchu wa madaraka litamsumbua sana huko mbeleni.

Kundi hilo wanahakikisha kila wanaemuona ni kikwazo kwao, humdanganya rais Samia ya kuwa anahujumiwa ili njia iwe nyepesi kwao.
Hebu tuone haya mabadiliko yaliofanywa na Jakaya Kikwete kama ya na maslahi kwa taifa ,muda utaongea soon
Hajadanganywa, haihitaji hata kupiga ramli kujua miongoni mwa hao aliowachagua wanautamani urais, lakini tukumbuke hata kama Samia atagombea 2025, mwisho wake ni 2030, na hao uliowataja bado watakua kwenye wakati mzuri kiumri na uwezo kuchukua urais, kwahiyo anawandaa kwa 2030
 
Hajadanganywa, haihitaji hata kupiga ramli kujua miongoni mwa hao aliowachagua wanautamani urais, lakini tukumbuke hata kama Samia atagombea 2025, mwisho wake ni 2030, na hao uliowataja bado watakua kwenye wakati mzuri kiumri na uwezo kuchukua urais, kwahiyo anawandaa kwa 2030
Si rais Samia anayewandaa,bali wastaafu wanawaandaa vijana wao,uongozi wa kurithishana
 
MKOA WA PWANI una MAWAZIRI 5 katika Baraza jipya.
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze

2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji

3. Jafo Mbunge wa Kisarawe

4. Kipanga Mbunge wa Mafia

5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga

Msoga Oyeeee
Tupe majina yao na sie tuwajue
 
Back
Top Bottom