Rais Samia anadanganywa sana. Anapanga safu ya mstaafu bila kujua

Rais Samia anadanganywa sana. Anapanga safu ya mstaafu bila kujua

Hamnaga mzuri kwenu daima. Hamkumpenda kikwete eti anachekacheka, mkasema mnataka rais dikteta akaja Magufuli akaanza kuwadektetua mara mkaanza kuomboleza kwa vilio ...mkata demokrasia kaja mama kawaachia uhuru na demokrasia, mmeanza kumtukana matusi na kutaka kumpanda kichwani Sasa ngoja awanyooshe ili mjitambue.

Tatizo wapinzani hamjawahi kueleweka nini mnachohitaji . Mlimuita lowasa fisadi hatari kwamba hafai kuwa rais mara mkamtakasa akawa mgombea wenu ,mkambeba na nyalandu mkataka awe mgombea haya Sasa wote wamewakimbia wamerudi ccm ...
Sasa nyie tuwaelewe vipi ? Hamjui mnachokisimamia Wala mnachokihitaji.. inaonyesha wazi lengo lenu sio kuikomboa nchi Kama mnavyojinadi majukwaani Lengo lenu na nyie mpate ulaji basiii ...kwa jinsi hii kweli mnataka tuwape nchii aasubutuuu .... acheni tupambane na ccm tu
Pumbavu utoe nchi!!! Kwani nchi hii ya babako!! Unakera
 
Et msomi hu reason!!!!!huyu kabundi aliyeokotwa jalalan na yule Iblis au????
Hakufika Chuo Kikuu. Aliunganisha unganisha Certificates mara Diploma mara short courses. Msomi hu reason kisomi. Juzi alipotoa neno hili "Hivi karibuni nitabadilisha baraza la Mawaziri bla bla!"
Msomi hutunza maneno. Nikajiuliza hasira ni hasara.
 
Yeye mwenyewe yupo kwenye safu ya mstaafu kwa hiyo mambo ni bull bull🐒
 
Hawa wanazubaishwa na kule kufoka foka,hamna kitu mule kwa mzee wa jalalan
Ndiyo kabisa, huyo mzee wa Madagascar? Mwingine huyo ni nyodo kuliko. Labda kama unaangalia appearance na kujinadi ktk vyombo vya habari. Jua uwaziri siyo upambe wala one-man show. Bali ni usikivu na ufikiaji wa malengo ya serikali yako.
 
Utakufa bure kwa roho yako mbaya,Maza yupo mpaka 2050
Bro,natamani tukutane nje ya hapa jf,tupigane bila sababu ukinishinda nitarudi nyumbani. Lengo nikupige hata ngumi moja nizitoe hizi hasira nilizonazo. Mjinga we we. Niko bukene tabora. Uko wapi nije?
 
Rais ni taasisi ww ni genge tu!! Cjui unatoa wapi uchuku kama huu ?
 
Back
Top Bottom