Rais Samia amepunguza vifo vitokanavyo na UKIMWI - Waziri Ummy

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
119,161
222,084
Katika Hotuba yake Bungeni, akiwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara yake, amezungumza mambo mengi mazuri sana na ya kueleweka.

Isipokuwa mimi labda kutokana na uchovu wa mwili , sijaelewa kwenye jambo hili , naomba Aliyeelewa anieleweshe

Screenshot_2024-05-13-17-41-30-1.png


Natanguliza Shukrani
 
Katika Hotuba yake Bungeni, akiwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara yake, amezungumza mambo mengi mazuri sana na ya kueleweka.

Isipokuwa mimi labda kutokana na uchovu wa mwili , sijaelewa kwenye jambo hili , naomba Aliyeelewa anieleweshe

View attachment 2989434
Aiseh huyu mama atavimbiwa na kupasuka kwa sifa!
 
Katika Hotuba yake Bungeni, akiwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara yake, amezungumza mambo mengi mazuri sana na ya kueleweka.

Isipokuwa mimi labda kutokana na uchovu wa mwili , sijaelewa kwenye jambo hili , naomba Aliyeelewa anieleweshe

View attachment 2989434

Natanguliza Shukrani
Labda nae anasifia ili watoto waende shule kama Nkamia!
 
chadema mnashangaa nini mlitegemea mambukizi yapae juu ,kwa huyu mama mmenoa kwani anazidi kuipa kipaumbele sekta ya afya kila kukicha
 
Kuna mwaka wazungu waliahidi dawa ya UKIMWI itakuwa imepatikana kufikia 2030.

Hisia zangu;
Virus vya UKIMWI vimepungua nguvu kadri miaka inavyozidi kwenda.

Wazungu wanaweza kuja kulipua gonjwa lingine kali baada ya UKIMWI kukosa dili!

Leo hii watu wanapigana mashine sana tofauti na zamani lakini UKIMWI umepungua nguvu sana
 
Back
Top Bottom