Rais Samia amepoteza kanda ya ziwa- Gwajima apigilia msumari

Rais Samia amepoteza kanda ya ziwa- Gwajima apigilia msumari

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
16,818
Reaction score
62,030
Katika nchi yetu, ukiona umepoteza ushwishi kanda ya ziwa ujue una hali ngumu sana ya kisiasa. Kwa sasa dalili zote za kisiasa zinaonyesha kuwa Samia amepoteza uungwaji mkono wa kanda ya ziwa.

1. Press conference ya Gwajima imeizimua kanda ya ziwa.

Katika mitandao ya kijamii nimefuatilia watu ambao wanajitambulisha kama wasukuma au kutoka kanda ya ziwa, wengi wao wanaonyesha kumuunga mkono Gwajima kwa press yake, na kwa kuwa wengi wa hawa ni influencers ni dhahiri moto wa kisiasa dhidi ya Samia huko kanda ya ziwa unawaka.

2. Wananchi wengi waliokuwa mashabiki wa Magufuli wanamuunga mkono Lissu.

Katika angalia yangu ya maudhui katika mitandao ya kijamii na maongezi, wengi wa wanaomkubali Magufuli wanamkubali zaidi Lissu kuliko Samia. Hii inaonyesha kuwa kama watu wa chini, ambao kimsingi wanamkubali sana Magufuli sasa wanamkubali Lissu zaidi basi ni dhahiri Samia ana hali ngumu sana kisiasa. Kwa kulitambua hili mbunge kutoka kanda ya Ziwa Luhaga Mpina amewahi kutweet kuonyesha kuwa hali ya kisiasa ya CCM chini ya Samia ina hali ngumu sana kanda ya ziwa.

3. Umakamu Mwenyekiti wa Heche umeongeza uungwaji mkono wa CHADEMA kanda ya Ziwa.

Kiasili, kanda ya ziwa imekuwa ni kanda ya upinzani, kilichosababisha kabda hiyo kurudi CCM ni urais wa Magufuli. Leo hii kanda hiyo imerejea katika default settings zake za kussurport upinzani. Hii imechangiwa na makamu mwenyekiti kutoka kanda hiyo, na pia kuonekana ni mtu aliyenyooka, mwenye misimamo isiyoyumba na kipawa kikubwa cha ushawishi na sauti yenye mamlaka.

4. Mfumo dume haujamuacha Samia salama huko kanda ya ziwa.

Ukanda wa kanda ya ziwa bado haujaamini mwanamke kuwa kiongozi wa kaya. Haujamwamini bado mwanamke kuwa Jemedari wa kuongoza mapambano. Kwa hiyo it seems Samia bado hajawashawishi watu wa ukanda huo kuwa atosha.

MWISHO.
Ipo kazi kubwa sana ambayo Samia anayo ili kuweza kuwin hearts and minds za Wakazi wa kanda ya ziwa. Hii maana yake ni kuwa kama kanda ya ziwa itaitikia mwito wa no reforms no election basi Samia atakuwa rais atakayekosa legitimacy kubwa sana 2025-2030. Hii haitakuwa afya kwa urais wake na Taifa kiujumla.
 
Katika nchi yetu, ukiona umepoteza ushwishi kanda ya ziwa ujue una hali ngumu sana ya kisiasa. Kwa sasa dalili zote za kisiasa zinaonyesha kuwa Samia amepoteza uungwaji mkono wa kanda ya ziwa.

1. Press conference ya Gwajima imeizimua kanda ya ziwa.

Katika mitandao ya kijamii nimefuatilia watu ambao wanajitambulisha kama wasukuma au kutoka kanda ya ziwa, wengi wao wanaonyesha kumuunga mkono Gwajima kwa press yake, na kwa kuwa wengi wa hawa ni influencers ni dhahiri moto wa kisiasa dhidi ya Samia huko kanda ya ziwa unawaka.

2. Wananchi wengi waliokuwa mashabiki wa Magufuli wanamuunga mkono Lissu.

Katika angalia yangu ya maudhui katika mitandao ya kijamii na maongezi, wengi wa wanaomkubali Magufuli wanamkubali zaidi Lissu kuliko Samia. Hii inaonyesha kuwa kama watu wa chini, ambao kimsingi wanamkubali sana Magufuli sasa wanamkubali Lissu zaidi basi ni dhahiri Samia ana hali ngumu sana kisiasa. Kwa kulitambua hili mbunge kutoka kanda ya Ziwa Luhaga Mpina amewahi kutweet kuonyesha kuwa hali ya kisiasa ya CCM chini ya Samia ina hali ngumu sana kanda ya ziwa.

3. Umakamu Mwenyekiti wa Heche umeongeza uungwaji mkono wa CHADEMA kanda ya Ziwa.

Kiasili, kanda ya ziwa imekuwa ni kanda ya upinzani, kilichosababisha kabda hiyo kurudi CCM ni urais wa Magufuli. Leo hii kanda hiyo imerejea katika default settings zake za kussurport upinzani. Hii imechangiwa na makamu mwenyekiti kutoka kanda hiyo, na pia kuonekana ni mtu aliyenyooka, mwenye misimamo isiyoyumba na kipawa kikubwa cha ushawishi na sauti yenye mamlaka.

4. Mfumo dume hajamuacha Samia salama huko kanda ya ziwa.

Ukanda wa kanda ya ziwa bado haujaamini mwanamke kuwa kiongozi wa kaya. Haujamwamini bado mwanamke kuwa Jemedari wa kuongoza mapambano. Kwa hiyo it seems Samia bado hajawashawishi watu wa yjanda huo kuwa atosha.

MWISHO.
Ipo kazi kubwa sana ambayo Samia anayo ili kuweza kuwin hearts and minds za Wakazi wa kanda ya ziwa. Hii maana yake ni kuwa kama kanda ya ziwa itaitikia mwito wa no reforms no election basi Samia atakuwa rais atakayekosa legitimacy kubwa sana 2025-2030. Hii haitakuwa afya kwa urais wake na Taifa kiujumla.
Acha walazimishe uchaguzi, lakini voter turnout haiwezi kufika hata 30% ya registered voters!
 
Bila data uliyoandika yote ni porojo tu.

Katika nchi yetu, ukiona umepoteza ushwishi kanda ya ziwa ujue una hali ngumu sana ya kisiasa. Kwa sasa dalili zote za kisiasa zinaonyesha kuwa Samia amepoteza uungwaji mkono wa kanda ya ziwa.

1. Press conference ya Gwajima imeizimua kanda ya ziwa.

Katika mitandao ya kijamii nimefuatilia watu ambao wanajitambulisha kama wasukuma au kutoka kanda ya ziwa, wengi wao wanaonyesha kumuunga mkono Gwajima kwa press yake, na kwa kuwa wengi wa hawa ni influencers ni dhahiri moto wa kisiasa dhidi ya Samia huko kanda ya ziwa unawaka.

2. Wananchi wengi waliokuwa mashabiki wa Magufuli wanamuunga mkono Lissu.

Katika angalia yangu ya maudhui katika mitandao ya kijamii na maongezi, wengi wa wanaomkubali Magufuli wanamkubali zaidi Lissu kuliko Samia. Hii inaonyesha kuwa kama watu wa chini, ambao kimsingi wanamkubali sana Magufuli sasa wanamkubali Lissu zaidi basi ni dhahiri Samia ana hali ngumu sana kisiasa. Kwa kulitambua hili mbunge kutoka kanda ya Ziwa Luhaga Mpina amewahi kutweet kuonyesha kuwa hali ya kisiasa ya CCM chini ya Samia ina hali ngumu sana kanda ya ziwa.

3. Umakamu Mwenyekiti wa Heche umeongeza uungwaji mkono wa CHADEMA kanda ya Ziwa.

Kiasili, kanda ya ziwa imekuwa ni kanda ya upinzani, kilichosababisha kabda hiyo kurudi CCM ni urais wa Magufuli. Leo hii kanda hiyo imerejea katika default settings zake za kussurport upinzani. Hii imechangiwa na makamu mwenyekiti kutoka kanda hiyo, na pia kuonekana ni mtu aliyenyooka, mwenye misimamo isiyoyumba na kipawa kikubwa cha ushawishi na sauti yenye mamlaka.

4. Mfumo dume hajamuacha Samia salama huko kanda ya ziwa.

Ukanda wa kanda ya ziwa bado haujaamini mwanamke kuwa kiongozi wa kaya. Haujamwamini bado mwanamke kuwa Jemedari wa kuongoza mapambano. Kwa hiyo it seems Samia bado hajawashawishi watu wa yjanda huo kuwa atosha.

MWISHO.
Ipo kazi kubwa sana ambayo Samia anayo ili kuweza kuwin hearts and minds za Wakazi wa kanda ya ziwa. Hii maana yake ni kuwa kama kanda ya ziwa itaitikia mwito wa no reforms no election basi Samia atakuwa rais atakayekosa legitimacy kubwa sana 2025-2030. Hii haitakuwa afya kwa urais wake na Taifa kiujumla.
 
Katika nchi yetu, ukiona umepoteza ushwishi kanda ya ziwa ujue una hali ngumu sana ya kisiasa. Kwa sasa dalili zote za kisiasa zinaonyesha kuwa Samia amepoteza uungwaji mkono wa kanda ya ziwa.

1. Press conference ya Gwajima imeizimua kanda ya ziwa.

Katika mitandao ya kijamii nimefuatilia watu ambao wanajitambulisha kama wasukuma au kutoka kanda ya ziwa, wengi wao wanaonyesha kumuunga mkono Gwajima kwa press yake, na kwa kuwa wengi wa hawa ni influencers ni dhahiri moto wa kisiasa dhidi ya Samia huko kanda ya ziwa unawaka.

2. Wananchi wengi waliokuwa mashabiki wa Magufuli wanamuunga mkono Lissu.

Katika angalia yangu ya maudhui katika mitandao ya kijamii na maongezi, wengi wa wanaomkubali Magufuli wanamkubali zaidi Lissu kuliko Samia. Hii inaonyesha kuwa kama watu wa chini, ambao kimsingi wanamkubali sana Magufuli sasa wanamkubali Lissu zaidi basi ni dhahiri Samia ana hali ngumu sana kisiasa. Kwa kulitambua hili mbunge kutoka kanda ya Ziwa Luhaga Mpina amewahi kutweet kuonyesha kuwa hali ya kisiasa ya CCM chini ya Samia ina hali ngumu sana kanda ya ziwa.

3. Umakamu Mwenyekiti wa Heche umeongeza uungwaji mkono wa CHADEMA kanda ya Ziwa.

Kiasili, kanda ya ziwa imekuwa ni kanda ya upinzani, kilichosababisha kabda hiyo kurudi CCM ni urais wa Magufuli. Leo hii kanda hiyo imerejea katika default settings zake za kussurport upinzani. Hii imechangiwa na makamu mwenyekiti kutoka kanda hiyo, na pia kuonekana ni mtu aliyenyooka, mwenye misimamo isiyoyumba na kipawa kikubwa cha ushawishi na sauti yenye mamlaka.

4. Mfumo dume hajamuacha Samia salama huko kanda ya ziwa.

Ukanda wa kanda ya ziwa bado haujaamini mwanamke kuwa kiongozi wa kaya. Haujamwamini bado mwanamke kuwa Jemedari wa kuongoza mapambano. Kwa hiyo it seems Samia bado hajawashawishi watu wa yjanda huo kuwa atosha.

MWISHO.
Ipo kazi kubwa sana ambayo Samia anayo ili kuweza kuwin hearts and minds za Wakazi wa kanda ya ziwa. Hii maana yake ni kuwa kama kanda ya ziwa itaitikia mwito wa no reforms no election basi Samia atakuwa rais atakayekosa legitimacy kubwa sana 2025-2030. Hii haitakuwa afya kwa urais wake na Taifa kiujumla.
We bwege nenda kaharishe huo uvundo, nchi yetu haiendeshwi kikanda. Hakuna mtanzania mwenye akili atamzingatia yule tapeli anayedai anafufua wafu. Ht hivyo acha kuwaza kipumbavu eti kuna kanda ndio inaamua Rais wa nchi hii, acha kuwaza upuuzi.
 
Gwajima ameshajua Jimbo linarudi kwa Halima. Hajapata ahadi ya kubebwa kama enzi za. JPM

("Nasema nireteeeni Gwajimaaa..")
 
Screenshot_2025-05-19-14-15-16-1-1.png

#FREE TUNDU LISSU
 
Mleta mada bwana, yani ni kipi usichokijua, apoteze, asipoteze kwa wasukuma hiyo haijalishi hata kidogo, Chadema hawamo kwenye sanduku la kupiga kura, huyo mpinzani wa mama anataoka wapi wa kuendesha kampeni nchi nzima. Mpinzani wao kawekwa lupango na kuenda akatolewa baada ya uchaguzi kuisha.
Kumbuka kauli ya Napolian, alisema kutangazwa nani ni mshindi inategemea na mtangazaji ni nani, na anatoka chama gani na mambo mengine kadha wa kadha, maana yake ni kwamba matokeo ya uchaguzi kama kuna mtanzania hajui matoke ya wanaochaguliwa ajitafakari sana.
Uchaguzi finital my friend, MITANO TENA
 
Katika nchi yetu, ukiona umepoteza ushwishi kanda ya ziwa ujue una hali ngumu sana ya kisiasa. Kwa sasa dalili zote za kisiasa zinaonyesha kuwa Samia amepoteza uungwaji mkono wa kanda ya ziwa.

1. Press conference ya Gwajima imeizimua kanda ya ziwa.

Katika mitandao ya kijamii nimefuatilia watu ambao wanajitambulisha kama wasukuma au kutoka kanda ya ziwa, wengi wao wanaonyesha kumuunga mkono Gwajima kwa press yake, na kwa kuwa wengi wa hawa ni influencers ni dhahiri moto wa kisiasa dhidi ya Samia huko kanda ya ziwa unawaka.

2. Wananchi wengi waliokuwa mashabiki wa Magufuli wanamuunga mkono Lissu.

Katika angalia yangu ya maudhui katika mitandao ya kijamii na maongezi, wengi wa wanaomkubali Magufuli wanamkubali zaidi Lissu kuliko Samia. Hii inaonyesha kuwa kama watu wa chini, ambao kimsingi wanamkubali sana Magufuli sasa wanamkubali Lissu zaidi basi ni dhahiri Samia ana hali ngumu sana kisiasa. Kwa kulitambua hili mbunge kutoka kanda ya Ziwa Luhaga Mpina amewahi kutweet kuonyesha kuwa hali ya kisiasa ya CCM chini ya Samia ina hali ngumu sana kanda ya ziwa.

3. Umakamu Mwenyekiti wa Heche umeongeza uungwaji mkono wa CHADEMA kanda ya Ziwa.

Kiasili, kanda ya ziwa imekuwa ni kanda ya upinzani, kilichosababisha kabda hiyo kurudi CCM ni urais wa Magufuli. Leo hii kanda hiyo imerejea katika default settings zake za kussurport upinzani. Hii imechangiwa na makamu mwenyekiti kutoka kanda hiyo, na pia kuonekana ni mtu aliyenyooka, mwenye misimamo isiyoyumba na kipawa kikubwa cha ushawishi na sauti yenye mamlaka.

4. Mfumo dume hajamuacha Samia salama huko kanda ya ziwa.

Ukanda wa kanda ya ziwa bado haujaamini mwanamke kuwa kiongozi wa kaya. Haujamwamini bado mwanamke kuwa Jemedari wa kuongoza mapambano. Kwa hiyo it seems Samia bado hajawashawishi watu wa yjanda huo kuwa atosha.

MWISHO.
Ipo kazi kubwa sana ambayo Samia anayo ili kuweza kuwin hearts and minds za Wakazi wa kanda ya ziwa. Hii maana yake ni kuwa kama kanda ya ziwa itaitikia mwito wa no reforms no election basi Samia atakuwa rais atakayekosa legitimacy kubwa sana 2025-2030. Hii haitakuwa afya kwa urais wake na Taifa kiujumla.
Rais ni Samia msipoteze mda wenu
 
Nilishauri chama kubadili mgombea,

Ushauri huu inawezekana,

Muda bado upo,

Tusubiri 🙏
Kwamba wakibadilisha mgombea ndio CCM itashinda kwa kura? Au kwamba CCM inashida sana na kura za watu kutoka Kanda ya ziwa??

Munajizima data na matokeo ya kura zilizopigwa mwishoni mwa mwaka jana?? Au ni namna ya kujifariji na kujipa umuhimu tusiokua nao??

Samia hata akiamua kuwa raisi maisha yake nafasi hiyo anayo.
 
Back
Top Bottom