johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,618
- 142,962
Binafsi nilishangaa sana kumsikia Komredi Kinana akizungumza suala la Fomu Moja kana kwamba ndio anatoa Mwongozo
CCM kupitia mkutano mkuu wa taifa ilishamchagua kwa Kura Dr Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030
2025 ni wakati wa Vyama Vya Upinzani kujaribu bahati yao kama wataweza kumtoa kwa kura halali za Wananchi
2025 Sisi CCM Jukumu letu ni kutetea urais Wetu wa JMT unaoshikiliwa na Mwenyekiti Wetu Dr Samia kwa kuwahimiza Wananchi watuunge mkono
Happy New Year
CCM kupitia mkutano mkuu wa taifa ilishamchagua kwa Kura Dr Samia kuwa Rais wa JMT hadi 2030
2025 ni wakati wa Vyama Vya Upinzani kujaribu bahati yao kama wataweza kumtoa kwa kura halali za Wananchi
2025 Sisi CCM Jukumu letu ni kutetea urais Wetu wa JMT unaoshikiliwa na Mwenyekiti Wetu Dr Samia kwa kuwahimiza Wananchi watuunge mkono
Happy New Year