Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassani, amekubali kuendeleza ujenzi wa msikiti mkubwa wa Masjid Al-Huda, ulianzishwa ujenzi wake na Hayti Dk. John Pombe Magufuli, wilayani Chato, mkoani Geita, unaotarajiwa kugharimu zaidi ya shilingi bilioni moja na nusu katika kukamilika kwa ujenzi wake ambao utakuwa na uwezo wa kuchukua zaidi waumini wa kiisilamu elfu kumi kwa wakati mmoja katika ibada.
Soma, Pia: Rais Samia ameahidi kujenga Msikiti wa Kisasa Vigwaza/Migude wenye hadhi ya Rais. Sheikh Walid ampigia debe urais 2025
Taarifa hiyo imetolewa na Sheikh wa Wilaya ya Chato Abdurahamani Ismail Abdala na kusema kuwa waumini wa dini hiyo wameupokea kwa mikono miwili uamuzi huo wa Mheshimiwa Rais.
Soma, Pia: Rais Samia ameahidi kujenga Msikiti wa Kisasa Vigwaza/Migude wenye hadhi ya Rais. Sheikh Walid ampigia debe urais 2025
Taarifa hiyo imetolewa na Sheikh wa Wilaya ya Chato Abdurahamani Ismail Abdala na kusema kuwa waumini wa dini hiyo wameupokea kwa mikono miwili uamuzi huo wa Mheshimiwa Rais.