Umeongea vitu ambavyo havifanani na ustaarabu wa mada husika. Labda umepotea njia, ulitaka kuchangia jukwaa jingine na kwa bahati mbaya ukaja jukwaa hili.Tangu zamani watoto walilala pamoja na wageni; lakini mlawiti mmoja ndiye aliyewafanya wazazi waone umhimu wakutenganisha watoto na wageni!
Unapouliza Kwanini sasa na Mimi nitakuuliza unataka hadi watoto wangapi walawitiwe?
Jamaa zangu wa kanda ya ziwa wanatunza hasira pasipo kuwa na msingi wowote.Kwa nini wakati wa Samia?.
Dah mkuu umegusa penyewe... how did we find ourselves in this situation?? Ila ya Mungu mengi. Mapenzi yake yatimizweHili lingefaa kwenye mwaka 2025. Sa hivi mpeni mama kilicho chacke..
Huyu mama najua anatesa watu vichwa kwasababu tatu.
1.Kuwa Raisi mwanamke(hapa watu wa kanda ya ziwa na wenye kupenda mfumo dume wanaumia sana, hili swala nadhani wanajutia hata kwanini Magu alichagua msaidiazi mwanamke.)
2. Raisi Wakike alafu Mwislam(ukweli wengi inawakera sana kuona shungi ikiongoza nchi ) Ila kwa upande wangu bora tumepata wa hivi kuliko tungepata Raisi wale wanajiiti kutetea haki za wanawake tungekoma.
3. Raisi wa kike kutokea Zanzibar. yaaan hi imepeleka hadi Humu JF mada ya muungano kuwa nyingi ilimradi tupate chakumtoa mama madarakani
Ngojea mama apewe uenyekiti ,dawa yao inachemka mbwa haoKanda ya ziwa mna nongwa sana!
Huyu mlawiti wakati analawiti ulifanya nini?Tangu zamani watoto walilala pamoja na wageni; lakini mlawiti mmoja ndiye aliyewafanya wazazi waone umhimu wakutenganisha watoto na wageni!
Unapouliza Kwanini sasa na Mimi nitakuuliza unataka hadi watoto wangapi walawitiwe?
Huwezi kuona umhimu wa katiba mpya kama hili utaliona lipo sawa!Ngojea mama apewe uenyekiti ,dawa yao inachemka mbwa hao
Hawa wasukuma ni wanafiki sana,,ngojea mama achukue uenyekiti washugulikiwe ipasavyo na kiongozi wao bashiru ,dotto jems na kina makondaHizi povu mbona hamkuzimwaga nyakati za jiwe au kwa vile ulihakikishiwa uchawa
Mtalimia meno soon, wasukuma siku zenu zinahesabika, mnamuhujumu madam presidentHuwezi kuona umhimu wa katiba mpya kama hili utaliona lipo sawa!
Usichokielewa huoni umhimu wa kutenganisha kwanza ndo mengine yaendelee?Huyu mlawiti wakati analawiti ulifanya nini?
Unajua hiko ndicho kinatumika kukuhesabia hapa? Incident inaendelea na ndani ya chama watu wakawa kimya, hakukua hata na anonymous aliyesemea kulawitiwa.
Kishe leo kila mtu anajitokeza. Ni kama vile hasira za kushindwa kusema kipindi chote zinamaliziwa kipindi hichi.
Katiba inasema Rais halizimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote katika kutekeleza majukumu yake ...Hamuelwi ,siyo salama kutenganisha kofia ya Urais na unyekiti wa chama .....Hiyo sii dawa,dawa ni uhuru wa kufanya siasa ,na katiba mpya
Hakuna kutenganisha urais na uenyekiti mpaka mtueleze kwanini kwa John mliona ni sawa ila siyo kwa Madame President.Usichokielewa huoni umhimu wa kutenganisha kwanza ndo mengine yaendelee?
Au hadi alawiti wangapi ndipo utenganishe?
sasa itakuwaje asee,sio mbaya japo tubakiwe na mtu mmoja kwenye kofia hiyo labda tutaendelea kuwepo ndani na atulindie maslahi utey<Mliozoea maisha yakula bila kunawa huko ugambani mmeshaanza kuhusi kutupwa nje ya ulaji tafuteni kazi mfanye sio kuwa wapambe
Pamoja na kwamba ukiona mwana CCM yoyote anashupalia jambo basi ujue anamaslahi yake binafsi!
Lakini kwa hili la kutenganisha Mamlaka ya kichama na Urais!
Niseme wazi kabisa pamoja na maslahi yao kichama, pia kama taifa tutasonga pamoja!
Ifahamike kwamba Ili mwana CCM apitishwe kugombea Ubunge lazima kuwepo baraka za mwenyekiti!
Hilo pekee yake linachangia sana kudumaza Bunge lijae wapambe wanaosifu na kuabudu!
Naomba tujifunze kuona Hekima kwenye kundi la vichaa!
Kuliko kuwa na kofia mbili tumuombe mama kwa hekima kabisa akubali kubaki na Ushungi!
Moja ya ujinga wa wazee wengi hufanya nikuwaaminisha watoto vitu vizuri ni Mwiko!
View attachment 1766130
View attachment 1766131
View attachment 1766132