Rais Samia abaki na Urais, Uenyekiti wa chama apewe mwingine ili kuondoa mkanganyiko

Pamoja na kwamba ukiona mwana CCM yoyote anashupalia jambo basi ujue anamaslahi yake binafsi!

Lakini kwa hili la kutenganisha Mamlaka ya kichama na Urais!

Niseme wazi kabisa pamoja na maslahi yao kichama, pia kama taifa tutasonga pamoja!

Ifahamike kwamba Ili mwana CCM apitishwe kugombea Ubunge lazima kuwepo baraka za mwenyekiti!

Hilo pekee yake linachangia sana kudumaza Bunge lijae wapambe wanaosifu na kuabudu!

Naomba tujifunze kuona Hekima kwenye kundi la vichaa!

Kuliko kuwa na kofia mbili tumuombe mama kwa hekima kabisa akubali kubaki na Ushungi!

Moja ya ujinga wa wazee wengi hufanya nikuwaaminisha watoto vitu vizuri ni Mwiko!

View attachment 1766130

View attachment 1766131

View attachment 1766132
Mbona Magufuli hamkumwambia Abaki na URAIS?
 
Pamoja na kwamba ukiona mwana CCM yoyote anashupalia jambo basi ujue anamaslahi yake binafsi!

Lakini kwa hili la kutenganisha Mamlaka ya kichama na Urais!

Niseme wazi kabisa pamoja na maslahi yao kichama, pia kama taifa tutasonga pamoja!

Ifahamike kwamba Ili mwana CCM apitishwe kugombea Ubunge lazima kuwepo baraka za mwenyekiti!

Hilo pekee yake linachangia sana kudumaza Bunge lijae wapambe wanaosifu na kuabudu!

Naomba tujifunze kuona Hekima kwenye kundi la vichaa!

Kuliko kuwa na kofia mbili tumuombe mama kwa hekima kabisa akubali kubaki na Ushungi!

Moja ya ujinga wa wazee wengi hufanya nikuwaaminisha watoto vitu vizuri ni Mwiko!

View attachment 1766130

View attachment 1766131

View attachment 1766132
Wakimpa mwenyekiti mwengine tutangaza katiba mpya tuvunje muungano wenu, shwain
 
Pamoja na kwamba ukiona mwana CCM yoyote anashupalia jambo basi ujue anamaslahi yake binafsi!

Lakini kwa hili la kutenganisha Mamlaka ya kichama na Urais!

Niseme wazi kabisa pamoja na maslahi yao kichama, pia kama taifa tutasonga pamoja!

Ifahamike kwamba Ili mwana CCM apitishwe kugombea Ubunge lazima kuwepo baraka za mwenyekiti!

Hilo pekee yake linachangia sana kudumaza Bunge lijae wapambe wanaosifu na kuabudu!

Naomba tujifunze kuona Hekima kwenye kundi la vichaa!

Kuliko kuwa na kofia mbili tumuombe mama kwa hekima kabisa akubali kubaki na Ushungi!

Moja ya ujinga wa wazee wengi hufanya nikuwaaminisha watoto vitu vizuri ni Mwiko!

View attachment 1766130

View attachment 1766131

View attachment 1766132
Mtampaje uenyekiti mzanzibar mshiraz.
 
Pamoja na kwamba ukiona mwana CCM yoyote anashupalia jambo basi ujue anamaslahi yake binafsi!

Lakini kwa hili la kutenganisha Mamlaka ya kichama na Urais!

Niseme wazi kabisa pamoja na maslahi yao kichama, pia kama taifa tutasonga pamoja!

Ifahamike kwamba Ili mwana CCM apitishwe kugombea Ubunge lazima kuwepo baraka za mwenyekiti!

Hilo pekee yake linachangia sana kudumaza Bunge lijae wapambe wanaosifu na kuabudu!

Naomba tujifunze kuona Hekima kwenye kundi la vichaa!

Kuliko kuwa na kofia mbili tumuombe mama kwa hekima kabisa akubali kubaki na Ushungi!

Moja ya ujinga wa wazee wengi hufanya nikuwaaminisha watoto vitu vizuri ni Mwiko!

View attachment 1766130

View attachment 1766131

View attachment 1766132
Mlishawahi kumpa ushauri huu mkuu JIWE? Nauliza tu
 
Nilileta uzi humu kuhusu kofia 2 baada ya kupewa taarifa hizi , lakini uzi haukuomba hata maji
 
Yaani unavyo attack ukanda utazani hoja yangu imekuja na picha ya ziwa Victoria!

Mimi ni mpogoro hayo mambo ya kanda ya ziwa ni hoja dhaifu sana!
Tuijadili hoja; Kwanini sasa!
Jibu ni kwasababu mtangulizi wake kaonesha kasoro kubwa! Hivyo wakati wa mabadiliko ndiyo huu! Isingekuwa rahisi tujadili namna ya kuvuka mto kabla ya kufika mtoni penyewe!

Mpiga makasia kuendesha mitumbwi miwili ni kuhatarisha maisha ya wengine!

Aliyetangulia kaoshea hatari hiyo!
Aliyetangulia alizima mianya ya upigaji ndani ya Chama. Aliminya maslahi ya watu fulani hivyo imeonekana Mama asipewe nafasi tangu mapema.

Mtaukwaza urais wake na mtaikwaza Tanzania anayokusudia kuijenga.
 
Mama anatakiwa awe mwenyekiti ili aweze kusimia chama vizuri na kuindoa makundi hasimu juu ya viongozi kwa chuki binafsi
 
Kutenganisha nafasi ya mwenyekiti na rais ni HATARI kubwa mno.
Imagine rais atofautiane na mwenyekiti, rais aitwe kamati ya maadili mara puu!! rais avuliwa uanachama (coup d'tat).
Hii haikubaliki ni cheos
 
Back
Top Bottom