Rais Samia aache kutuuzia Uoga

Kwisha kazi hapo
Dunia ilitambua kuwe na mamlaka matatu tofauti, Executive, judiciary, parliamentary ikimaanisha binadanu wa nchi husika wapate haki wakiwa na mifumo ya haki.

Ukiweka mamlaka ya mifumo yote, dini zote, watu wote kwa mtu mmoja ni lazima upate shida. Rais wa Tanzania ana mamlaka makubwa kuliko Mungu. Huyu wa sasa hakuna aliyemchagua. Inabidi atumie utemi kubaki madarakani. Sio raia wa Tanganyika.
 
Jiwe yuko wapi? alitoa vitisho hadi mishipa ya shingo ilimtoka, lakini akafa kibwege sana!
 
Sasa mbona wakurungwa wote wako kimya as if Katarama imefika nyegezi inaingia mwanza mjini,kwani kufungua kesi tunashindwa nini hapa.
 
Sasa mbona wakurungwa wote wako kimya as if Katarama imefika nyegezi inaingia mwanza mjini,kwani kufungua kesi tunashindwa nini hapa.
Wengi wanalipwa na mfumo, Rais. Wasiolipwa, wabishi, wazalendo wanatekwa, wanauwawa wanapewa kesi za uzushi. Warudi kwenye mstari, waache harakati.
 
katiba mpya itatatua mambo mengi japo siyo yote
 
Nina rekodi mbaya sana kwa baadhi ya taasisi nilizofanya nazo kazi zinazoongozwa na wanawake walizipukutisha kwa asilimia 70 hadi board of directors ilipo ingilia kati na kuwatimua wanawake wanajitahidi ila inatakiwa iwepo break kwenye kuongoza taasisi, last true call of woman is in kitchen not public matter.
 
Hivi ni kweli matatizo uliyoyataja hapo yameanza wakati wa Samia!
Kwamba Magufuli aliajiri sana mpk hatukuwa na tatizo ajira ila limeanza wakati wa Samia!
Kwamba huko nyuma kulikuwa na majibu mazuri kwa ripoti za CAG ila Samia ndo hana majibu!
Kwamba shilingi ilkuwa very strong huko nyuma ila Samia ndo kaiporomosha!
Kwamba utekeji umeanza wakati wa Samia awamu zilizopita hakukuwa na utekaji!
Au wewe ni kizazi cha 2000?
 
Jibu kwa hoja za msingi Nchi inaangamia kwa watu wenye mawazo mgando kama wewe sawa hata kama matatizo hayo yote yapo siku zote njoo na hoja tufanye nini kama Taifa sio unaongea tu kiboyaboya
 
Jibu kwa hoja za msingi Nchi inaangamia kwa watu wenye mawazo mgando kama wewe sawa hata kama matatizo hayo yote yapo siku zote njoo na hoja tufanye nini kama Taifa sio unaongea tu kiboyaboya
Hata wewe unaweza kusaidia kujibu hiyo hoja sio lazima mimi. Ila tu msitake kuamisha watu shida hizo zimeanza leo.
Haya ss jibu wewe nini kifanyike na sio kujibu kiboyaboya
 
Mwalimu alisema "Amani ya Mwenyenacho itatokana na shibe ya asiyenacho".
 
Hatutaki anayofanya,tunaangalia trend ya household capacity,watu wengi wako kama vichaa wamevurugwa hawaoni future wanajipooza na Cuca pamoja na Kitoko
Sio kazi ya Rais kukuletea unga nyumbani kwako kazi yake ni kuwezesha upatikanaji wa mazingira mazuri ya uzalishaji mali.

Nadhani unakumbuka namna hayati JPM alivyomjibu msukuma mmoja kule Mwanza aliyemwambia mzee tuna njaa, akamjibu unataka nije nikupikie chakula nyumbani kwako!.
 
Watanganyika bahati mbaya wanasemea chooni. Wazanzibar husemea barabarani wanasikika. Yaani mitanganyika ni mioga. Flat screen wana ujasiri na ubaguzi juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…