technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,559
- 57,867
Kila Rais Duniani ana Rais either Rafiki, Mshauri kwenye baadhi ya mambo. Ukimtazama Trump unaiona picha ya Waziri mkuu wa Uingereza au Israel. Ukimtazama Putin unaona picha ya Rais wa china pia. hata watu wabishi kama Kim lakini N Korea ni rafiki mkubwa wa China Urusi. sasa ukija kwetu tulijua atashikamana labda na Kagame na mseveni kumbe wala hana hata habari.
Sasa mtu unajiuliza tuna rais wa namna gani ambaye hata marais madicteta wameanza kumtilia shaka anashauriwa na nani kama washauri wa ndani wote wapo kimya juzi kamfuta kazi mshauri wake wa mambo ya sheria? je Rais mshauri wa rais wetu ni nani?
Tanzania tumefika sehemu ya rais wa nchi nyingine kumshutumu rais wetu waziwazi kweli bado tunaamini tupo sawa kama nchi? nchi kama rwanda inazuia magari yetu kwenda kwao tunaona tupo salama,
Mseveni anamshutumu wazi wazi rais wetu sisi tunaona ni sawa tu, nchi rafiki wa kihistoria kama S. Afrika wanatushutumu wazi wazi sisi tunaona sawa tu?
Magufuli nchi rafiki wa Tanzania Ni Nani?
Sasa mtu unajiuliza tuna rais wa namna gani ambaye hata marais madicteta wameanza kumtilia shaka anashauriwa na nani kama washauri wa ndani wote wapo kimya juzi kamfuta kazi mshauri wake wa mambo ya sheria? je Rais mshauri wa rais wetu ni nani?
Tanzania tumefika sehemu ya rais wa nchi nyingine kumshutumu rais wetu waziwazi kweli bado tunaamini tupo sawa kama nchi? nchi kama rwanda inazuia magari yetu kwenda kwao tunaona tupo salama,
Mseveni anamshutumu wazi wazi rais wetu sisi tunaona ni sawa tu, nchi rafiki wa kihistoria kama S. Afrika wanatushutumu wazi wazi sisi tunaona sawa tu?
Magufuli nchi rafiki wa Tanzania Ni Nani?
