Cushite
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,886
- 3,578
siyo kwamba ni Super Power. Ni kwamba SA wameanza kujitamua.Kwa hiyo SA ni super power Duniani?
SA ilishawahi kumiliki nyuklia kabla hawajaiondoa.
siyo kwamba ni Super Power. Ni kwamba SA wameanza kujitamua.Kwa hiyo SA ni super power Duniani?
Ona hii mendeHahaha nchi za kijamaa zina mikwara mbuzi
Angalia North Korea hata chakula tu Cha raia ni shida halafu anampiga biti USA!Ona hii mende
SahihMbona SA walishaweka hili wazi kabisa kuwa sio TU kwamba hawtamkamata ila pia watamuongezea ulinzi maana ni mkuu wa nchi hawezi kamatwa hovyo halafu ICC wao si waende Russia wamkamate mbona yupo au watrack ndege hewani waikamate(Hijack)
Upo dunia ya wapi mkuuPutin hayupo, wala hajaenda Afrika ya Kusini
Hawezi kukamatwa tena kama tayari ana kinga ya kidiplomasia.South africa wamempa ulinzi wa kidiplomasia,ila ulinzi ni kwa viongozi wote waliohudhuria mkutano wa BRICS.
Ngoja tuone kama watamdaka kama kina Albashir na laurent Nkunda.
Yaani hata BBC huangalii ajabu sanaPutin ameenda Afrika Kusini lini? Mbona hakuna hizo habari?
Upo nyuma sana mkuu!!....hv kwa akili yako ulikuwa unategemea kuna mtu anaweza kumkamata rais wa russia dunia hiihapo BBC wanajadili kwa lugha ipi..?...manaake tatizo linaweza kuwa liko hapo...., Putin hayuko SA... eleweni hivyo nyie watu...alieko SA ni FM lavrov....na kabla ya kwenda SA Lavrov alipita Kenya, Burundi na Msumbiji...Putin huenda akawepo SA mwezi wa August.....
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Ulikuwa unaishi NK sehemu gani?Angalia North Korea hata chakula tu Cha raia ni shida halafu anampiga biti USA!
Nchi za kijamaa zina biti sana. Kelele kibao action zero
Kwanini usiseme mbagala DasalamDuuh Pro russia mnamihemko sana.
Hii habari mmetoa wapi? Labda Putin wa Nkuhungu Dodoma ndio yupo S.A
Una uelewa mdogo sanaputin wa kuchonga huyo! Original yupo ndani ya mashimo (bunkers) Kama mbewa!
Anawindwa na Warusi wenziwe na drones!
Akifunua hijabu tu ameshaliwa kichwa!
Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
Wakati Nancy akijiandaa kwenda Taiwan mjamaa uchwara(china) alipiga biti USA inacheza na moto! Nancy kafika katua kalala, alivyosepa eti wanaanza mazoezi ya kurusha ndege... patheticNchi za kijamaa zina biti sana. Kelele kibao action zero