JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,177
- 7,472
Amesema hilo litawezekana kutokana na serikali kufanikiwa kuweka mfumo wa kulipa madeni ya serikali kwa kuunda akanti maalumu ambayo kila mwezi serikali inaweka dola milioni 15 kutoka dola milioni kumi iliyokua ikiwekwa awali ambazo hizo zinatumika katika kulipa madeni hayo.
Amesema, serikali imeiagiza wizara ya fedha kuhakikisha kila mwezi fedha hizo zinaingia katika akaunti maalum ya kulipa mikopo na ndio sababu kubwa ya serikali kuendelea kukopa na kufanya miradi mikubwa ya maendeleo.
Video: Wasafi TV