Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,104
- 136,773
Last edited by a moderator:
mwinyi kaanza vizuri lakini baadaye amechanganya kati ya public policy na private policy suala la dini ni la mtu binafsi n private policy, yeyekm mtu ambaye alikuwa kiongozi wa nchi na anakula kodi ya watu wote ilibidi aongelee public policy ambayo haisemi lolote kuhusu masuala ya kuchinja. unasema usingependa kugawa watu huku ukivuta upande mmoja. i like him at least he took a stand although he maybe wrong rather than mr.dhaifu who is afraid to take a stand.
jamani sheria ya nchi inasemaje kuhusu kuchinja ?? sheria ya nchi haina dharura wala au dini fulani full stop. mwislamu akileta mtazamo wake kwenye suala fulani naye mkristo akatafasili kitu hicho kwa dini yake tutafika kweli ???tufuate sheria ya nchi full stop.
Huyu ameonyesha uthubutu ingawa amechanganya mambo. Suala hili bado ni gumu. Hakuna dini inayoruhusu kula vibudu, mnyama ni lazima achinjwe.
Mkuu upo sahihi kabisa. Nadnani suala hili limechanganywa na wanasiasa, kwa kuwa kimsingi halina mantiki. Nijuavyo mimi, hakuna dini inayopeleka mtu kuwa mchinjaji, lakini mwenye kitoweo humwita awaye-yeyote ilmradi anajina la kiislam kuja kuchinja. Haijulikani endapo wachinjaji ni waislam safi au ni kwa ajili ya jina, ama wamesomea elimu ya uchinjaji. Bila shaka suala hili lingekuwa dogo kama wanasiasa wangewaachia viongozi wa dini, badala ya wao kutoa matamko ambayo hayatetewi na sheria zilizopo.Wakati mwingine unapofanya analysis ya public policy lazima uzingatie factors nyinginezo ambazo jamii hiyo imezifuata au inazifuata kama vile utamaduni na dini. Vinginevyo kabla ya kuandaa policy husika ufanye "factor relaxing" kwa maana uitoe hiyo jamii katika hizo "other factors" kwanza au (you have to ignore other factors) kama ile ya ceteris paribus. Binafsi ni muislamu lakini naamini wanaojishughulisha na uchinjaji kwenye maeneo mbalimbali nchini(lets say ni waislam) wameingia huko "by chance" wala si kwa ueledi wao wa kusoma dua, au misikiti imewapeleka specially kwa ajili ya kuchinja au vyovyote(niko tayari kukosolewa hapa kama siko sahihi) kwani huenda wengine hawajui hata huko kusoma hizo dua(ila nia yao ni kuchinja watu wale na wanakula). Hivyo wataalam tunaomba maana na tafsiri ya kuchinja.
Endeleeni kujadiliana kuhusu kuchinja.sie huku twapanga jinsi ya kuanza wapatia standard 1 laptop.Mkihamia pande hii sisi tutaenda mbali zaidi.
I guess you had severe birth asphyxia, which was later complicated by Kernicterus.Endelea kugombania kuchinja.This is the only way you can survive in east african federationHalafu watachomeka waya matakon.ni kuchaji, na wakirudi nyumbani wataikatakata vipande vipande hiyo laptop na kuila ili waweze kupata nguvu ya kufanya homework maanake njaa nyao, duh!