mzizimkuu1
Senior Member
- Apr 18, 2018
- 134
- 106
Mke hajajifunza kutoka kwa comrade Mugabe?Huyu Yuko madarakani miaka 10 ya mwinyi, 10 ya mkapa, 10 ya JK, 4 ya huyu njuka..hawezi kubwata na kufoka, huyu anatoa lecture, rumors has it alishataka kuachia madaraka Ila mkewe ndiye anaforce, hata mwanawe kainerugaba kumpandisha cheo kua Luteni Jenerali ni mbinu tu kwamba maluteni wengi huweza kupindua nchi, Sasa akichoka mwanawe anaweza 'akampindua' ili familia iendelee kushika hatamu! Watu smart tulijua Hilo kitaaambo, imagine am 28 na mijitu mizima Haina hata akili ya kubaini Hilo..
Vijana bana, kwa hiyo 28yrs unajiona mdogo na unaona hicho unachohisi unakifahamu kilitakiwa kujulikana kwa walio above 28yrs!?
HahahahAt 26 in 1969 Colonel Muammar Ghadafi anapindua Serikal ya Libya na kuwa Rais ,
At 28 Dr Hassy Kitine tayari ni waziri, Hayati Mzee Mungai chini ya Umri wako tayari Waziri, Luteni Kanali mstaafu Afande Jakaya Kikwete at 28 tayar ni Mwandishi wa Minutes za vikao vya Kijeshi kati ya Amiri Jeshi na ma Generali lakin wote hawakuwa wakijisifu
wewe 28 unajiona zaid ya Christopher Columbus kwa ki comment chako cha aya moja na kuanza kutudhalilisha Wakubwa zako
At 22 yrs of ageDr Salim Ahmed Salim tayari ni Balozi wa Tanzania MISRIAt 26 in 1969 Colonel Muammar Ghadafi anapindua Serikal ya Libya na kuwa Rais ,
At 28 Dr Hassy Kitine tayari ni waziri, Hayati Mzee Mungai chini ya Umri wako tayari Waziri, Luteni Kanali mstaafu Afande Jakaya Kikwete at 28 tayar ni Mwandishi wa Minutes za vikao vya Kijeshi kati ya Amiri Jeshi na ma Generali lakin wote hawakuwa wakijisifu
wewe 28 unajiona zaid ya Christopher Columbus kwa ki comment chako cha aya moja na kuanza kutudhalilisha Wakubwa zako
He was only 22 bro. Point of correctionOngezea hapo at 26 Salim Ahmed Salim was the youngest ambassador! Kwa umri wangu, kazi nazofanya kwaajili ya huduma ya nchi hii na ww mzee mpumbavu havilingani!
M7 ni intellectual kiasi chake.Ametufundisha wengi kuwa usizalishe bidhaa nyingi kama watu wako hawatakuwa na uwezo wa kuvinunua na wala hujui ziada utamuuzia nani.
Unaweza kumsikiliza mwanzo mwisho kwakuwa kila sentence yake ina maana,
Ametufundisha wengi kuwa usizalishe bidhaa nyingi kama watu wako hawatakuwa na uwezo wa kuvinunua na wala hujui ziada utamuuzia nani.
Unaweza kumsikiliza mwanzo mwisho kwakuwa kila sentence yake ina maana,
28 mdogo, mi nalijua ilo na nina 22Huyu Yuko madarakani miaka 10 ya mwinyi, 10 ya mkapa, 10 ya JK, 4 ya huyu njuka..hawezi kubwata na kufoka, huyu anatoa lecture, rumors has it alishataka kuachia madaraka Ila mkewe ndiye anaforce, hata mwanawe kainerugaba kumpandisha cheo kua Luteni Jenerali ni mbinu tu kwamba maluteni wengi huweza kupindua nchi, Sasa akichoka mwanawe anaweza 'akampindua' ili familia iendelee kushika hatamu! Watu smart tulijua Hilo kitaaambo, imagine am 28 na mijitu mizima Haina hata akili ya kubaini Hilo..
Kama unamfahamu huyo ni Mzee haikufaa kumtukana kuwa ni mpumbavu. Huo si ustaarabuOngezea hapo at 26 Salim Ahmed Salim was the youngest ambassador! Kwa umri wangu, kazi nazofanya kwaajili ya huduma ya nchi hii na ww mzee mpumbavu havilingani!
Wow!Father of all African Nations tena!Above all Other well known legends like Mwl Nyerere and the likes, are you serious?He's a Historian, Philosopher King, Economist, Educator, Articulator, really Pan African and an Intellectual ( Rational Thinker ). He's one of my favorite modern African Leader together with the people like President Paul Kagame of Rwanda, Late Mwalimu Nyerere ( Tanzania ), Late Patrice Lumumba ( DRC formerly Zaire ), Late Samora Machel ( Mozambique ), Late Nelson Mandela ( South Africa ), Late Kwame Nkurumah ( Ghana ), Late Robert Mugabe ( Zimbabwe ) and Kenneth Kaunda ( Zambia ) To my opinion His Excellence President Yoweri Kaguta Museveni deserves the Title of Father of all African Nations. I mostly admire him and I wish him all the best in his Presidency.
Yeye aliyekaa miaka 40 na sisi tunaobadilisha marais kila baada ya miaka 10 kuna tofauti yoyote ya kiuchumi, kisiasa na kijamii?
Sisi tunao mzigo wa kugharamia marais wastaafu Mwinyi, mkapa, kikwete, Karume, Salmini, nk
Umesahau kuweka title ya despotic ruler of Uganda of all timesHe's a Historian, Philosopher King, Economist, Educator, Articulator, really Pan African and an Intellectual ( Rational Thinker ). He's one of my favorite modern African Leader together with the people like President Paul Kagame of Rwanda, Late Mwalimu Nyerere ( Tanzania ), Late Patrice Lumumba ( DRC formerly Zaire ), Late Samora Machel ( Mozambique ), Late Nelson Mandela ( South Africa ), Late Kwame Nkurumah ( Ghana ), Late Robert Mugabe ( Zimbabwe ) and Kenneth Kaunda ( Zambia ) To my opinion His Excellence President Yoweri Kaguta Museveni deserves the Title of Father of all African Nations. I mostly admire him and I wish him all the best in his Presidency.
Basi hapo unajiona una akili kweli!M7 ni intellectual kiasi chake.
Anasoma vitabu. Anajua tulikotoka na wapi Dunia inaelekea.
Sasa linganisha na kajamaa ketu. Hasomi vitabu. Ujuaji mwingi. Nimeshangaa naye anatoa nukuu siku hizi. Anaamini hakuna asichojua. Ni aina ya akina Idi Amin.
Mwl Nyerere hadi kufikiwa na umauti, bado aliamini kuna mengi ya kujifunza.
sasa 28 unajiona Mdogo? Utajiona mkubwa ukiwa na mingapi?Huyu Yuko madarakani miaka 10 ya mwinyi, 10 ya mkapa, 10 ya JK, 4 ya huyu njuka..hawezi kubwata na kufoka, huyu anatoa lecture, rumors has it alishataka kuachia madaraka Ila mkewe ndiye anaforce, hata mwanawe kainerugaba kumpandisha cheo kua Luteni Jenerali ni mbinu tu kwamba maluteni wengi huweza kupindua nchi, Sasa akichoka mwanawe anaweza 'akampindua' ili familia iendelee kushika hatamu! Watu smart tulijua Hilo kitaaambo, imagine am 28 na mijitu mizima Haina hata akili ya kubaini Hilo..
Kwaio unataka kusema wewe una akili sana au?Huyu Yuko madarakani miaka 10 ya mwinyi, 10 ya mkapa, 10 ya JK, 4 ya huyu njuka..hawezi kubwata na kufoka, huyu anatoa lecture, rumors has it alishataka kuachia madaraka Ila mkewe ndiye anaforce, hata mwanawe kainerugaba kumpandisha cheo kua Luteni Jenerali ni mbinu tu kwamba maluteni wengi huweza kupindua nchi, Sasa akichoka mwanawe anaweza 'akampindua' ili familia iendelee kushika hatamu! Watu smart tulijua Hilo kitaaambo, imagine am 28 na mijitu mizima Haina hata akili ya kubaini Hilo..
Siyo kusugua, wao ni hodari wa kuvuta visimi, utakuta wanawake wa kiganda wanavisimi zaidi ya dole gumba kimeziba nanii. Kuachia mpaka aanze kutoa majiKila kitu tumewazidi labda kwenye kusugua visimi wanaongoza