Rais Museveni awataka Waganda kula Mihogo kama mbadala wa mkate

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Dec 1, 2021
19,589
14,137
Museveni awachana live Waganda.

Kuleni Mihogo kama mkate umepanda bei.👇

Screenshot_20220502-104336.png
 
Ila pia kuna mikate ya mihogo ingawa ubunifu wetu ni zero na hatutaki kujifunza kwa wengine
Waafrika kila kitu tunacho ila kukitengeneza tunaona kazi kubwa kwa uvivu wetu wenyewe tunaamua kula kama Ng’ombe
IMG_6459.jpg
 
Back
Top Bottom