johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,932
- 141,894
Rais Yoweri Museveni leo ametembelea kituo cha reli ya kisasa ( SGR) jijini Dar es salaam na kuwamwagia sifa Rais Magufuli na mrithi wake mh Samia kwa ujasiri mkubwa wa kubuni mradi huo.
SGR itaendeshwa na umeme wa bwawa la Nyerere ambalo ni baraka za kipekee kutoka kwa Mungu wa mbinguni.
Tukio liko mubashara TBC na Channel ten.
SGR itaendeshwa na umeme wa bwawa la Nyerere ambalo ni baraka za kipekee kutoka kwa Mungu wa mbinguni.
Tukio liko mubashara TBC na Channel ten.