johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,600
Nauliza tu kwa wale wataalamu wa itifaki za kitaifa kwamba Rais mstaafu ni cheo au ni hadhi?
Kwa mfano pale Kenya Mh. Mwai Kibaki anatambulishwa kama Rais wa zamani wa Kenya na huwa hana misafara yoyote kwenye shughuli zake za ujasiriamali.
Kwa hapa nyumbani ndio sijaelewa kama Rais mstaafu ndio sawa na Rais wa zamani ambaye kwa sasa yuko kwenye maisha yake ya pensheni.
Nawasilisha swali!
Kwa mfano pale Kenya Mh. Mwai Kibaki anatambulishwa kama Rais wa zamani wa Kenya na huwa hana misafara yoyote kwenye shughuli zake za ujasiriamali.
Kwa hapa nyumbani ndio sijaelewa kama Rais mstaafu ndio sawa na Rais wa zamani ambaye kwa sasa yuko kwenye maisha yake ya pensheni.
Nawasilisha swali!