GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,553
- 108,889
Yaani Unaacha Kupumzika Kwako na Kucheza na Wajukuu zako Kibao ( Wengi ) bado tu unapenda Mambo ya Vijana na unataka Kulazimisha kuwa Wewe bado hujawa Mzee na unaweza Kujichanganya katika Kumbi za Starehe au kwenda pale palipokuwa Kijiweni Kwako Saigoni kupiga Soga na Masela, Wahuni, Wadau na Watoto wa Mjini.
Hivi kweli Rais Mstaafu Kikwete Wewe ni wa kwenda katika Tamasha la Kijana Mlimani City Siku ya Jumamosi hii ijayo?
Hivi nyimbo za huyo Kijana zina Maadili kwa Jamii yetu na kwa Hadhi yako kama Rais Mstaafu ni Heshima Kwako kwenda Kuhudhuria ukichanganya na huo Umri wako unaochanja Mbuga kwa sasa?
au unaenda Kuhudhuria hilo Tamasha kwakuwa huyo Kijana ni Mwananchi ( mwana Yanga SC ) Mwenzako na kuna Wimbo kaisifia sana Yanga SC yako huku akiikandia Simba SC?
au labda una Mpango wa Kugombea tena Urais wa Tanzania hivyo unatumia mbinu za Kujichanganya na Watu mbalimbali ( hasa Wasanii ) ili Jina lako lizidi Kung'aa na labda mwaka 2025 umuombe Mama akuachie hiyo miaka Mitano ( 5 ) ijayo ili utupige zaidi kwa Madili mbalimbali kama ulivyotufanyia mwaka 2005 hadi 2015 kiasi kwamba aliyechukua Kijiti chako alikuta kule Jikoni Kiuchumi hakuna Kitu?
Mbona Wastaadu wenzako wengi tu ( achilia mbali wale waliokuwa Marais kama Wewe ) bali hata waliokuwa Makamu wa Marais, Mawaziri Wakuu, Makatibu Wakuu ( CS's ), Mabalozi na Wakuu wa Majeshi hawana Shobo na Viherehere vya kutaka Kung'ang'ania Mambo ya Vijana na Ujana na badala yake Wametulia tu huku wakimtumikia zaidi Mwenyezi Mungu Kimaombi?
Hivi huwa haujishtukii tu Sometimes?
Hivi kweli Rais Mstaafu Kikwete Wewe ni wa kwenda katika Tamasha la Kijana Mlimani City Siku ya Jumamosi hii ijayo?
Hivi nyimbo za huyo Kijana zina Maadili kwa Jamii yetu na kwa Hadhi yako kama Rais Mstaafu ni Heshima Kwako kwenda Kuhudhuria ukichanganya na huo Umri wako unaochanja Mbuga kwa sasa?
au unaenda Kuhudhuria hilo Tamasha kwakuwa huyo Kijana ni Mwananchi ( mwana Yanga SC ) Mwenzako na kuna Wimbo kaisifia sana Yanga SC yako huku akiikandia Simba SC?
au labda una Mpango wa Kugombea tena Urais wa Tanzania hivyo unatumia mbinu za Kujichanganya na Watu mbalimbali ( hasa Wasanii ) ili Jina lako lizidi Kung'aa na labda mwaka 2025 umuombe Mama akuachie hiyo miaka Mitano ( 5 ) ijayo ili utupige zaidi kwa Madili mbalimbali kama ulivyotufanyia mwaka 2005 hadi 2015 kiasi kwamba aliyechukua Kijiti chako alikuta kule Jikoni Kiuchumi hakuna Kitu?
Mbona Wastaadu wenzako wengi tu ( achilia mbali wale waliokuwa Marais kama Wewe ) bali hata waliokuwa Makamu wa Marais, Mawaziri Wakuu, Makatibu Wakuu ( CS's ), Mabalozi na Wakuu wa Majeshi hawana Shobo na Viherehere vya kutaka Kung'ang'ania Mambo ya Vijana na Ujana na badala yake Wametulia tu huku wakimtumikia zaidi Mwenyezi Mungu Kimaombi?
Hivi huwa haujishtukii tu Sometimes?