Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Afanya Mazungumzo Na Rais Tuong Wa Vietnam Leo

Rashdind

Senior Member
Jul 19, 2011
194
60
CCM1.jpg


Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akimkaribisha Rais wa Vietnam Truong Tan Sang, kwa ajili ya mazungumzo ya pamoja na viongozi wengine katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. Rais huyo yupo katika ziara ya kikazi nchini.
 
Halotel ! Halotel ! Halotel Halotel !
Halotel ! Halotel ! Halotel ! Halotel ! Halotel ! Halotel ! Halotel ! Halotel !
Halotel ! Halotel ! Halotel ! Halotel !

Mtandao wenye speed!

Kuna mtu hajaelewa tuu badoo?
 
Mimi magambas huwa siwaelewi! Sasa hii ziara ya Rais wa Vietnam ni ya kichama au ya kiserikali? Mwenye kuwa na fununu anisaidie.
 
Unajua nini kinafuata? Utasikia mh. Kikwete amekwenda tena ikulu kuonana na mh. Magufuli
 
dah uswahili shida sana

Ni kweli kabisa ndiyo maana wenzetu walikuja wakachukua mbegu ya korosho wakaenda wakapanda wakavuna..., sisi bado tunakaa barazani na kusugua miguu na kuimba twaarab, ikawa kama haitoshi tukaamua kwenda kucheza kwenye bembea ughaibuni, tutafika kweli!!?
 
Back
Top Bottom