Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,388
- 9,757
Mkuu anaitwa Augustine Mahiga
I thought Mzee kasafiri yupo Arabuni
Mkuu anaitwa Augustine Mahiga
Kuna watu sijua ni wajumbe wa ibilisi...nami nimeuona uzi huoMungu amjalie maisha marefu sana huyu mzee wetu.
Kuna mtu kaanzisha uzi humu kuwa mzee kafariki.
so sad kwa kweli kwa uzushi huu.
Ikiwa kweli je????Tunso
Tunaomba mods wachukue hatua kali dhidi ya mtu huyo
Mtoa topic muongoooo . Ame copy na ku paste picha...lakini inaonekana hajui kusoma.
Nilikuwapo kwenye sherehe na hazija fanyika oysterbay. Hizi zimefanyila Hyatt Kilimamjaro Hotel.
rekebisha habari yako
Nop... hapo ni Kibo Hall ...walipamba upande mmoja kuweka sofa na keki ilikatwa baada yahotuba mbele ya wageni...Picha inaonyesha nyumbani nyumbani labda baada hapo wakaenda Hyatt sasa baada ya keki.......
Mlikula pilau eeh!Mtoa topic muongoooo . Ame copy na ku paste picha...lakini inaonekana hajui kusoma.
Nilikuwapo kwenye sherehe na hazija fanyika oysterbay. Hizi zimefanyila Hyatt Kilimamjaro Hotel.
rekebisha habari yako
Mlikula pilau eeh!
Mpuuzi sana.Mungu amjalie maisha marefu sana huyu mzee wetu.
Kuna mtu kaanzisha uzi humu kuwa mzee kafariki.
so sad kwa kweli kwa uzushi huu.
Mlikula pilau eeh!