Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa na Mgogoro wa Burundi

GPTZ

Member
Sep 27, 2015
84
24
Wakuu Nasikiliza radio sauti ya America kwamba viongozi wa umoja wa nchi za Afrika Mashariki wamemteua Mh Benjamin Mkapa kusuluhisha mgogoro wa Burundi.

Hivi kwa jinsi mgogoro ulivyo huyu mheshimiwa anaweza kuumaliza kweli?

Je, wameangalia vigezo gani mpaka wakamteua huyu mzee?

Najua JamiiForums wapo watu wenye data nyingi za Nchi zetu hizi.

Karibu

 
Kwanza Mzee Ben ni mwanadiplomasia aliyebobea na anaheshimika nchi za nje na hasa jirani zetu hao. Pili Burundi wana imani na Tanzania zaidi katika nchi zinazowazunguka/ nchi za Afrika Mashariki. Kwa sababu hizo Mzee Mkapa atafaulu kuliko Mseveni (ingawa kidiplomasia bado katamkwa). Anachotakiwa asikasirike haraka, awavumilie Warundi wakati mwingine wanamakero. Kumbuka yale ya kwanza yalisimamiwa na Mzee Mandela, Mzee Nyerere na haikuwa rahisi.
 
Endapo watamchanya kidogo tu kama hajawaita walofa na wapumbavu.....

huyu bwana wa hovyo pia

museven wa hovyo kabisa

Hapo nikulazinisha tu .....wapinzani wamkubali nkrunziza....hakuna haki wala nini ni ubabe kwakwenda mbele.
 
Kwanza Mzee Ben ni mwanadiplomasia aliyebobea na anaheshimika nchi za nje na hasa jirani zetu hao. Pili Burundi wana imani na Tanzania zaidi katika nchi zinazowazunguka/ nchi za Afrika Mashariki. Kwa sababu hizo Mzee Mkapa atafaulu kuliko Mseveni (ingawa kidiplomasia bado katamkwa). Anachotakiwa asikasirike haraka, awavumilie Warundi wakati mwingine wanamakero. Kumbuka yale ya kwanza yalisimamiwa na Mzee Mandela, Mzee Nyerere na haikuwa rahisi.

MBONA DIPLOMASIA YAKE HIYO KAITMIA VIBAYA HAPA NYUMBANI AMA HAMWONI ZANZIBAR!
 
Wakuu Nasikiliza radio sauti ya America kwamba viongozi wa Umoja wa nchi za Africa mashariki wamemteua Mh Benja Mkapa kusuruhisha mgogoro wa Burundi.
Hivi kwajinsi mgogoro ulivyo huyu mheshimiwa anaweza kuumaliza kweli? Je wameangalia vigezo gani mpaka wakamteua huyu mzee?

Najua jamii foram wapo watu wenye data nyingi za Nchi zetu hizi. Karibu
Wamempa hiyo nafasi sababu hana kazi inayomfanya asikike so hiyo ndo sababu yakumpa lkn sio kwamba anaweza kusuluhisha ikiwa anakimbia Znz
 
Wakuu Nasikiliza radio sauti ya America kwamba viongozi wa Umoja wa nchi za Africa mashariki wamemteua Mh Benja Mkapa kusuruhisha mgogoro wa Burundi.
Hivi kwajinsi mgogoro ulivyo huyu mheshimiwa anaweza kuumaliza kweli? Je wameangalia vigezo gani mpaka wakamteua huyu mzee?

Najua jamii foram wapo watu wenye data nyingi za Nchi zetu hizi. Karibu
Bora wangeniteua mimi benja ushauri wake ni mbaya nauhakika atashauri uchaguzi burundi urudiwe kama alivyo shauri zanzibar,mbaya zaidi atakapowaita wapinzani wa nkurunzinza kuwa ni 'MALOFA NA WAPUMBAFU' hapa ndipo moto utawaka burundi nashauri lowasa awe mshauri
 
mgogoro wako nyumbani na mkeo umekushinda nakusema hayakuhusu......huyooo mbio kusuluhisha wa jiran na mkewe.
Hapa nivituko kama sio viroja.
 
Mzee in mzoefu unakumbuka ule wa Zanzibar akiwa Rais wa Tanzania mpaka wazanzibar wakawa wakimbizi 21 walizimia
 
Wakuu Nasikiliza radio sauti ya America kwamba viongozi wa Umoja wa nchi za Africa mashariki wamemteua Mh Benja Mkapa kusuruhisha mgogoro wa Burundi.
Hivi kwajinsi mgogoro ulivyo huyu mheshimiwa anaweza kuumaliza kweli? Je wameangalia vigezo gani mpaka wakamteua huyu mzee?

Najua jamii foram wapo watu wenye data nyingi za Nchi zetu hizi. Karibu
Ni usanii mtupu EAC..
Hv ni nchi gani member wa EAC imewahi kufanya uchaguzi wa kidemokrasia ikawa mfano wa kuigwa?
 
Wakuu Nasikiliza radio sauti ya America kwamba viongozi wa Umoja wa nchi za Afrika Mashariki wamemteua Mh Benja Mkapa kusuruhisha mgogoro wa Burundi.

Hivi kwajinsi mgogoro ulivyo huyu mheshimiwa anaweza kuumaliza kweli?

Je, wameangalia vigezo gani mpaka wakamteua huyu mzee?

Najua jamii foram wapo watu wenye data nyingi za Nchi zetu hizi. Karibu

= kusuluhisha

Ben ni mwanadiplomasia aliyebobea.

Ulitaka wamteue Lowassa? Angewaambia atasuluhisha kwa njia ya mtandao maana hata kuongea ni shida
 
Eti "MWANA DIPLOMASIA MBOBEZI"
Huo ubobezi ndio huo aliouonyesha Zanzibar askari wake walipowaua makumi ya Wapemba?
Mjasiriamali wa Kiwira mwenye makengeza msaka noti
 
Wakuu Nasikiliza radio sauti ya America kwamba viongozi wa Umoja wa nchi za Afrika Mashariki wamemteua Mh Benja Mkapa kusuruhisha mgogoro wa Burundi.

Hivi kwajinsi mgogoro ulivyo huyu mheshimiwa anaweza kuumaliza kweli?

Je, wameangalia vigezo gani mpaka wakamteua huyu mzee?

Najua jamii foram wapo watu wenye data nyingi za Nchi zetu hizi. Karibu
Najua atashindwa na mwishowe atasema warundi ni malofa
 
Back
Top Bottom