Rais mlalamikaji: Je, ni udhaifu?

Lorenzo Samike

JF-Expert Member
Jun 18, 2021
1,188
1,912
Kwanini huyu mama yetu mpendwa samia analalamika tu bila kuchukua hatua?

Wananchi wanapenda kuona Rais mwenye uwezo wa kutumia Mamlaka tuliyompa.

Yaani watu milioni sitini wa nchi hii, wote kwa pamoja tumekukabidhi wewe mamlaka yote lakini bado unalia lia tu kama mtu mwingine wa kawaida?

Wamachinga wanabomolewa vibanda unalia! Ati sikuagiza wabomoe nahujumiwa!

Ufisadi bandarini huchukui hatua! Ati kuna watu wanakuhujumu!

Ukiletewa kero za wananchi unaishia tu kusema "HILI TUNALICHUKUA TUTALIFANYIA KAZI".

Wananchi hawapendi uzembe uzembe. Wanahitaji Kiongozi anayechukua hatua za makusudi kutatua changamoto na kuendesha nchi!

Mara ooooh tunaunda tume, tutaangalia, tuko kwenye mkakati kabambe, sijui upembuzi... mara nahujumiwa....

Utalia mpaka lini? Mimi nafikiri ni wakati sasa mama yetu akumbushwe kwamba yeye ndio Rais wa nchi.

Vinginevyo tuamini kwamba amenyang'anywa mamlaka yake na watu tusiowajua!
 
Halalamiki,anakupa taarifa,Jana ulisema wamebomolewa na serikali,Leo mkuu wa serikali kasema hakuagiza,anakupa taarifa..
 
Ila ulalamikaji wake umetusaidia kugundua kuwa kumbe ufisadi mkubwa ulianzia kwenye awamu ya tano ya Bwana Chato
View attachment 2032789
Ukisema awamu ya tano
Yeye unamtoaje hapo
Waziri mkuu unamtoaje hapo
Waziri mpango ,ambae kwa sasa ni makamo wa rais unamtoaje hapo
Ni ikithibitishwa ya kuwa huo ufisadi ulianzia awamu wa tano serikali nzima inatakiwa ijiudhuru kwa sababu ni sehemu ya hiyo serikali iliyopita ....tafakuri kwanza kabla aujatoa maoni yako

Sent from my SM-E625F using JamiiForums mobile app
 
Kwanini huyu mama yetu mpendwa samia analalamika tu bila kuchukua hatua?

Wananchi wanapenda kuona Rais mwenye uwezo wa kutumia Mamlaka tuliyompa.

Yaani watu milioni sitini wa nchi hii, wote kwa pamoja tumekukabidhi wewe mamlaka yote lakini bado unalia lia tu kama mtu mwingine wa kawaida?

Wamachinga wanabomolewa vibanda unalia! Ati sikuagiza wabomoe nahujumiwa!

Ufisadi bandarini huchukui hatua! Ati kuna watu wanakuhujumu!

Ukiletewa kero za wananchi unaishia tu kusema "HILI TUNALICHUKUA TUTALIFANYIA KAZI".

Wananchi hawapendi uzembe uzembe. Wanahitaji Kiongozi anayechukua hatua za makusudi kutatua changamoto na kuendesha nchi!

Mara ooooh tunaunda tume, tutaangalia, tuko kwenye mkakati kabambe, sijui upembuzi... mara nahujumiwa....

Utalia mpaka lini? Mimi nafikiri ni wakati sasa mama yetu akumbushwe kwamba yeye ndio Rais wa nchi.

Vinginevyo tuamini kwamba amenyang'anywa mamlaka yake na watu tusiowajua!
Unahangaika sana wewe sukuma gang!! Samia ndo Rais wako hadi 2030. Hata uanzishe nyuzi 500 kwa siku we jua Hilo tu
 
Kwanini huyu mama yetu mpendwa samia analalamika tu bila kuchukua hatua?

Wananchi wanapenda kuona Rais mwenye uwezo wa kutumia Mamlaka tuliyompa.

Yaani watu milioni sitini wa nchi hii, wote kwa pamoja tumekukabidhi wewe mamlaka yote lakini bado unalia lia tu kama mtu mwingine wa kawaida?

Wamachinga wanabomolewa vibanda unalia! Ati sikuagiza wabomoe nahujumiwa!

Ufisadi bandarini huchukui hatua! Ati kuna watu wanakuhujumu!

Ukiletewa kero za wananchi unaishia tu kusema "HILI TUNALICHUKUA TUTALIFANYIA KAZI".

Wananchi hawapendi uzembe uzembe. Wanahitaji Kiongozi anayechukua hatua za makusudi kutatua changamoto na kuendesha nchi!

Mara ooooh tunaunda tume, tutaangalia, tuko kwenye mkakati kabambe, sijui upembuzi... mara nahujumiwa....

Utalia mpaka lini? Mimi nafikiri ni wakati sasa mama yetu akumbushwe kwamba yeye ndio Rais wa nchi.

Vinginevyo tuamini kwamba amenyang'anywa mamlaka yake na watu tusiowajua!
Bonge la uzi...
 
Ukisema awamu ya tano
Yeye unamtoaje hapo
Waziri mkuu unamtoaje hapo
Waziri mpango ,ambae kwa sasa ni makamo wa rais unamtoaje hapo
Ni ikithibitishwa ya kuwa huo ufisadi ulianzia awamu wa tano serikali nzima inatakiwa ijiudhuru kwa sababu ni sehemu ya hiyo serikali iliyopita ....tafakuri kwanza kabla aujatoa maoni yako

Sent from my SM-E625F using JamiiForums mobile app
Nadhani wakati anaongea kuwa hayo mambo yalitokea awamu ya nyuma, alisahau kuwa na yeye alikwemo kwenye hiyo awamu.
 
Kwanini huyu mama yetu mpendwa samia analalamika tu bila kuchukua hatua?

Wananchi wanapenda kuona Rais mwenye uwezo wa kutumia Mamlaka tuliyompa.

Yaani watu milioni sitini wa nchi hii, wote kwa pamoja tumekukabidhi wewe mamlaka yote lakini bado unalia lia tu kama mtu mwingine wa kawaida?

Wamachinga wanabomolewa vibanda unalia! Ati sikuagiza wabomoe nahujumiwa!

Ufisadi bandarini huchukui hatua! Ati kuna watu wanakuhujumu!

Ukiletewa kero za wananchi unaishia tu kusema "HILI TUNALICHUKUA TUTALIFANYIA KAZI".

Wananchi hawapendi uzembe uzembe. Wanahitaji Kiongozi anayechukua hatua za makusudi kutatua changamoto na kuendesha nchi!

Mara ooooh tunaunda tume, tutaangalia, tuko kwenye mkakati kabambe, sijui upembuzi... mara nahujumiwa....

Utalia mpaka lini? Mimi nafikiri ni wakati sasa mama yetu akumbushwe kwamba yeye ndio Rais wa nchi.

Vinginevyo tuamini kwamba amenyang'anywa mamlaka yake na watu tusiowajua!
Tunashindwa kuwa na msimamo tunataka nini hasa sisi Watanzania. Magufuli alikuwa mkali na wakati mwingine anatumbua watu hovyo. Tukalalamika ooh! anatumbua watu hovyo, bila kufuata utaratibu. Haya amekuja mama hatumbui watumishi hadharani hovyo, ili kuruhusu uchunguzi ili mtu akitumbuliwa awe ametumbuliwa kwa haki. Haya hao tena tumeshaanza kumsema.
Kuongoza watu ni kazi ngumu sana. Ni rahisi kuongoza wanyama kuliko kiumbe anaitwa binadamu. Ufanye au usifanye mema utashutumiwa tu.
 
Back
Top Bottom