barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,804
Wananchi wanalalamika, rais analalamika wakati ana nyenzo zote za kuadabisha wanaomsababiahia aonekane dhaifu.....
Mie nasema aendelee tu kuwarembulia wajanja wamnyooshe.... mitaani anaonekana yeye ndio dhaifu...
Mie nasema aendelee tu kuwarembulia wajanja wamnyooshe.... mitaani anaonekana yeye ndio dhaifu...