Nimesikitishwa kusoma na kuona habari katika picha katika gazeti la Mwananchi la leo ukurasa wa saba (7) Rais wa Miss Utalii, Gidion Chipungahelo akipigana na mmoja wa Majaji wa Shindano hilo kwa kutaja mshindi tofauti.
Miss Utalii kama lilivyo shindano hilo ni moja ya njia za kutangaza utalii nchini na nje ya nchi sasa kama utalii unageuka kuwa masumbwi na sehemu ya kudhalilisha kuna haja ya kuendelea kuwapo?
Miss Tanzania, Miss Utalii, Miss International, Miss Universe, zote ni DILI!
Anafaa kuandaa mashindano ya ndondi na siyo u-Miss!!! hata sijui ilikuwaje akapewa kuwa muandaaji mkuu wa hili shindano..