zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Je unajua rais mdogo duniani ni rais wa North Korea inakadiliwa kuwa alizaliwa kati ya mwaka 1983-1984.
Baba yake alimuandaa kuwa mrithi wake kwa sababu anafanana na muhasisi wa Taifa hilo.
Mama yake na rais wa North Korea Kim jong-un yeye alimuita "morning star king".
Inasasikika ndie rais msumbufu kwa kizazi hiki na babe.
Baba yake alimuandaa kuwa mrithi wake kwa sababu anafanana na muhasisi wa Taifa hilo.
Mama yake na rais wa North Korea Kim jong-un yeye alimuita "morning star king".
Inasasikika ndie rais msumbufu kwa kizazi hiki na babe.