mjerumaniwapahi
JF-Expert Member
- Sep 4, 2014
- 379
- 271
Wanyonge ndio tumekandamizwa kabisa , maana ajira kasitisha kwa madai ya kutozidi miez 2 lakin mpaka sasa ni miezi 2+
Watoto wa matajir hawawez umia kivile maana kama ni mitaji watapewa na wazazi wao na ndugu zao
Masikin tumebaki tukiumia ukizingatia na bei ya mazao kama huku kwetu ni hatari iko chin mno , mbaazi bei ni mbaya kuliko mwaka Jana , ufuta tuliuza kwa bei ya kutupa, alizeti nayo ni majanga
Ama kweli hii ndio tz ya wanyonge ,acha tuendelee kunyongeka maana tuliipenda wenyewe
Watoto wa matajir hawawez umia kivile maana kama ni mitaji watapewa na wazazi wao na ndugu zao
Masikin tumebaki tukiumia ukizingatia na bei ya mazao kama huku kwetu ni hatari iko chin mno , mbaazi bei ni mbaya kuliko mwaka Jana , ufuta tuliuza kwa bei ya kutupa, alizeti nayo ni majanga
Ama kweli hii ndio tz ya wanyonge ,acha tuendelee kunyongeka maana tuliipenda wenyewe