Huyu anastahili kulazwa milembe hospitalalafu watashitakiwa kwa kosa gani??
Magu wala hana tatizo na jela hata Leo kaweka magereza kwa yoyote ye anafanya kwa ajili ya Mungu wake....unajua nilichojifunza magu so mwanasiasa na kaamua kutunyosha tu....tunyoshe tu babaNafikiri ni kama keshajitabiria!
saa tatu asubuhi serikali itaanguka mahakamani.Uhujumu uchumi. Matumizi mabaya ya mali ya umma. nk.
haijalishi wawe walivinunua ama vipi,wao wavirudishemo tu,UFAFANUZI.
1/Hakuna mtu alipewa bure kiwanda, viwanda vyote hivyo viliuzwa, vilibinafsishwa au vilifiliwa kisheria na serikali.
2/Mambo yote hayo yalifanyika kisheria, hivyo kutumia nguvu sasa ni kutaka kuwatisha watu na kunyonga haki za wanyonge.
3/Viwanda vyote ambavyo serikali 'ilivitoa' vilikuwa kwenye hali mbaya kibiashara, kiuzalishaji au kiteknologia, hivyo kuvibinasisha ilikuwa ni jaribio la kuokoa visife kabisa au kufufuka, hivyo kama havizalishi chochote sasa sio ajabu.
4/Kama serikali inataka kuvirudisha tena hivyo viwanda inapaswa kutumia taratibu na sheria ambazo pia ndizo zilizotumika wakatii wa kuvibinafsisha kwa watu binafsi.
5/Viwanda ni biashara, kuna faida na hasara, kama wamiliki wa hivyo viwanda wamepata hasara basi wangevifunga tu, na kama wangepata faida wangekuwa wanaendelea na uzalishaji mpaka sasa.
haijalishi wawe walivinunua ama vipi,wao wavirudishemo tu,UFAFANUZI.
1/Hakuna mtu alipewa bure kiwanda, viwanda vyote hivyo viliuzwa, vilibinafsishwa au vilifiliwa kisheria na serikali.
2/Mambo yote hayo yalifanyika kisheria, hivyo kutumia nguvu sasa ni kutaka kuwatisha watu na kunyonga haki za wanyonge.
3/Viwanda vyote ambavyo serikali 'ilivitoa' vilikuwa kwenye hali mbaya kibiashara, kiuzalishaji au kiteknologia, hivyo kuvibinasisha ilikuwa ni jaribio la kuokoa visife kabisa au kufufuka, hivyo kama havizalishi chochote sasa sio ajabu.
4/Kama serikali inataka kuvirudisha tena hivyo viwanda inapaswa kutumia taratibu na sheria ambazo pia ndizo zilizotumika wakatii wa kuvibinafsisha kwa watu binafsi.
5/Viwanda ni biashara, kuna faida na hasara, kama wamiliki wa hivyo viwanda wamepata hasara basi wangevifunga tu, na kama wangepata faida wangekuwa wanaendelea na uzalishaji mpaka sasa.
haijalishi wawe walivinunua ama vipi,wao wavirudishemo tu,UFAFANUZI.
1/Hakuna mtu alipewa bure kiwanda, viwanda vyote hivyo viliuzwa, vilibinafsishwa au vilifiliwa kisheria na serikali.
2/Mambo yote hayo yalifanyika kisheria, hivyo kutumia nguvu sasa ni kutaka kuwatisha watu na kunyonga haki za wanyonge.
3/Viwanda vyote ambavyo serikali 'ilivitoa' vilikuwa kwenye hali mbaya kibiashara, kiuzalishaji au kiteknologia, hivyo kuvibinasisha ilikuwa ni jaribio la kuokoa visife kabisa au kufufuka, hivyo kama havizalishi chochote sasa sio ajabu.
4/Kama serikali inataka kuvirudisha tena hivyo viwanda inapaswa kutumia taratibu na sheria ambazo pia ndizo zilizotumika wakatii wa kuvibinafsisha kwa watu binafsi.
5/Viwanda ni biashara, kuna faida na hasara, kama wamiliki wa hivyo viwanda wamepata hasara basi wangevifunga tu, na kama wangepata faida wangekuwa wanaendelea na uzalishaji mpaka sasa.
Atashitakiwa kwa uzembealafu watashitakiwa kwa kosa gani??
hahahahaha uwii nahisi na mm ntawekwa korokoroni soonDuh....
Lah salaleee!