Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
Raisi akisema inakuwa sheria. We wa wapi?
mimi naishi kibiti mkuu.
kumbe rais ndiyo mtunga sheria za nchi??
Raisi akisema inakuwa sheria. We wa wapi?
Nataka kuamini kwamba huyu bwana hayuko sawa sawa wapi aliambiwa korokoroni inasaidia kuleta utengamano ni mambo ya ajabu sanaHeshima kwenu wakuu,
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli, amemuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara Mwijage kuhakikisha Wote waliouziwa Viwanda halafu wakashindwa kuviendeleza, wakamatwe na wawekwe ndani.
Anasisitiza kwamba Tanzania ya Magufuli ni Tanzania ya Viwanda, anataka kuona Viwanda kama ambavyo pwani wamefanya. Sasa hivi pwani ina viwanda zaidi ya 371.
=====
Pwani. Rais John Magufuli amemwagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Charles Mwijage, kuwanyang’anya viwanda wamiliki ambao wameshindwa kuviendeleza.
Ameyazungumza hayo leo (Alhamisi) akiwa katika ziara yake ya siku tatu mkoani Pwani ambako amezindua viwanda saba.
“Kipindi cha nyuma tulipofanya makosa ni pale tulipouza viwanda kwa watu binafsi, sasa kuna viwanda 197 vimeshakufa waliouziwa hawajishughulishi na vingine vipo kama magofu,” amesema.
Kutokana na hilo, Rais amesema; "natoa wito kwa wote waliouziwa viwanda kipindi cha nyuma na sasa wameshindwa kuviendeleza , naagiza sasa basi mrudishe na wewe Waziri Mwijage tumia hata nguvu kama kuwaweka ndani weka tu siku akitoka huko atakuta kiwanda kimeanza kazi."
Chanzo: Mwananchi
Kutawaliwa na magufuli....i think it's a suitable crime it was not a crime then when signing but its jail time thru this governingalafu watashitakiwa kwa kosa gani??
Unanyongwa in kessys voice....Hivi kwa mfano nikiuziwa gari halafu nikawa silitumii nakamatwa?
Bro that was a mistake today he proved he needs his medication........Na yeye nyumba za serikali
Swissme
Aiseee kumbe kwa serikali ipi ccm ya Zaman au mpya ya kesho after upinzanimnajua hata kama kumchukia Magu isifikie huku...hv mnajua viwanda vingi vilivyobinafsishwa vimegezwa maghala tu mi nampa big up sana atunyoshe tu aisee
Votingsijui tumemkosea nini Mungu.
Ndani kwanza, uchunguzi baadae. Huna hatia unaachiliwa, Tatizo liko wapi?
Kulikuwa na makubaliano yoyote? tuanzie hapoUkiwapanga wanasiasa wote walio hai hapa nchini.
Magufuli is second to none.
hilo halihitaji kuandamana wala elimu ya juu mkuu.
hata wewe unajua sema kiburi tu...
Huyo jamaa hapo juu kaleta kipande cha habari badala ya habari utadhani alikuwa anakimbizwa...
naona umechelewa umekuta ameshafanya editing.
Kama umemikili kiwanda kwa makubaliano ya kukiendeleza na umevunja kwa sababu zisizoeleweka lazima uchukuliwe hatua hakuna namna...
sasa unadhani wavikuta vimekufa wakingia na kujimilikisha bila utaratibu...Kulikuwa na makubaliano yoyote? tuanzie hapo
Tusiishi kwa kudhanisasa unadhani wavikuta vimekufa wakingia na kujimilikisha bila utaratibu...
Kwa kosa lipi?Hivi kwa mfano nikiuziwa gari halafu nikawa silitumii nakamatwa?
Acheni kucheza na Mali za watu bana. Mnaweza kuamka pwani asbuhi bure!.
Ila kama unapewa kiwanda uendeleze alafu unaleta usanii korokoroni ni mahala sahihi pia kwa kujifunzia madhara ya kutemper na mali za watu 40Mil
Hahahahahahaha shauri yako. Reformation na overhaul ya mfumo wa kisekta hasa sekta za uchumi na ukizingatia hali iliyokuwa imefika ni lazima mkuu wa nchi awe hivi. Baadae mwishoni tukikaa sawa ananogesha na kakatiba basi maisha yanakuwa mswano kabisa. Lakini kwenye hii transitional period tutake tusikate kama tunataka kujinasua ni lazima taratibu hizi zifuatwe. Lazima zitakuwa chungu kwa baadhi ya wadau but hatuna jinsi. "The hard way The only Way"mimi naishi kibiti mkuu.
kumbe rais ndiyo mtunga sheria za nchi??
kosa la criminal racket chini ya sheria ya uhujumu uchumi Juzuu namba 200 kama ilivyorekebishwa 2002alafu watashitakiwa kwa kosa gani??
Hao watu walipewa hivyo viwanda kwa utaratibu gani? Kulikuwa na mikataba au walipewa sandakalawe? Kwenye uzi uliouadhisha ukaukimbia, umejidai wewe ni muumini wa sheria lakini nimekueleza ukweli kuwa wewe si muumini wa sheria bali ni mshangiliaji tu kama unavyoshangilia hapa. Hii nchi imejaa washangiliaji na haitofika kokote!Ukiwapanga wanasiasa wote walio hai hapa nchini.
Magufuli is second to none.
hilo halihitaji kuandamana wala elimu ya juu mkuu.
hata wewe unajua sema kiburi tu...
Huyo jamaa hapo juu kaleta kipande cha habari badala ya habari utadhani alikuwa anakimbizwa...
naona umechelewa umekuta ameshafanya editing.
Kama umemikili kiwanda kwa makubaliano ya kukiendeleza na umevunja kwa sababu zisizoeleweka lazima uchukuliwe hatua hakuna namna...
Uhujumu uchumialafu watashitakiwa kwa kosa gani??